matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,544
- 15,217
Wanaongea Kwa ukali na jszba
Wanatisha na kutishana
Wengine wanadiriki hata kuomba wenzao waporwe haki ya kuvuta pumzi.
(mfano clips za bulembo bungeni).
Wapinzani
Kama sio wale waliokuwa wakitokwa povu enzi zile
Wamekuwa kama kondoo
Wamekuwa kama wakina mangi Sina wanapambana passively.
Wamekuwa kama watalibani wakifanya mashambulizi ya kisiasa Kwa kushtukiza ila madhara yake sio ya kitoto.
Nakiri kabisa bibi yangu akijiunga insta leo nakuona clips za kibabe za vijana wa CCM na wabunge kuhusu WB na ZZK atabatilisha slogan yake "sichagui wapinzani Kwa sababu nimeambiwa wataleta machafuko).
Wapinzani msikae kimya au kufanya passive politics leteni maideas, points, creative constructive arguments na hoja nzito.
CCM na nyie mmekuwaje siku hizi mnajaa upepo kirahisi sana. Kidogo tu mtu flani msaliti, afai kuishi, afukuzwe.
Mnatukosesha uhondo wafuatiliaji wa siasa za vita vya hoja za kichwani sio mikononi.
Hii ndio rai yangu mimi matunduizi niliyemdogo na my once nisiyestahili kelegeza gidamu hata za mjumbe wa nyumba kumikumi
Wanatisha na kutishana
Wengine wanadiriki hata kuomba wenzao waporwe haki ya kuvuta pumzi.
(mfano clips za bulembo bungeni).
Wapinzani
Kama sio wale waliokuwa wakitokwa povu enzi zile
Wamekuwa kama kondoo
Wamekuwa kama wakina mangi Sina wanapambana passively.
Wamekuwa kama watalibani wakifanya mashambulizi ya kisiasa Kwa kushtukiza ila madhara yake sio ya kitoto.
Nakiri kabisa bibi yangu akijiunga insta leo nakuona clips za kibabe za vijana wa CCM na wabunge kuhusu WB na ZZK atabatilisha slogan yake "sichagui wapinzani Kwa sababu nimeambiwa wataleta machafuko).
Wapinzani msikae kimya au kufanya passive politics leteni maideas, points, creative constructive arguments na hoja nzito.
CCM na nyie mmekuwaje siku hizi mnajaa upepo kirahisi sana. Kidogo tu mtu flani msaliti, afai kuishi, afukuzwe.
Mnatukosesha uhondo wafuatiliaji wa siasa za vita vya hoja za kichwani sio mikononi.
Hii ndio rai yangu mimi matunduizi niliyemdogo na my once nisiyestahili kelegeza gidamu hata za mjumbe wa nyumba kumikumi