tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Wakuu, nimefuatilia kwa umakini sana jinsi viongozi wetu serikalini awamu hii, wanavyopenda kuonekana mbele ya Camera.
Mfano, Kiongozi unataka ufafanuzi wa jambo toka kwa wale unaowaongoza, kwa nn uje mbele ya Camera? Kwa nn usitumie taratibu zilizopo kupeana taarifa (internal communication/mawasiliano ya ndani).
Mwenye sababu afunguke plz.
Mfano, Kiongozi unataka ufafanuzi wa jambo toka kwa wale unaowaongoza, kwa nn uje mbele ya Camera? Kwa nn usitumie taratibu zilizopo kupeana taarifa (internal communication/mawasiliano ya ndani).
Mwenye sababu afunguke plz.