Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,507
- 23,704
Halafu ungewekeza kwenye elimu.maana bandiko lako lina makosa mengi sana ya kiuandishi. Ndo maana hata waraka unaweza kukushinda ujipange vipi kuandika kitaalamu.
Ponda anaonewa kama ulivyosema sababu hayuko na BAKWATAHili la ushehe ndio linalomponza Maalim ponda kwa sababu kila aina ya ubaya hutupiwa mashehe.
Kwa aliyoyasema binafsi sijaona jambo baya ila cheo chake tu na yupo nje ya bakwata mfumo.
Badala ya zile kauli za fuata maneno yangu usifuate vitendo vyangu, sasa inakuwa shughulika na wadhifa wangu kupitia kauli zangu
Unaweza kutaja hizo kauli?! Hivi unaishi nchi gani wewe unayosema eti "maafisa huwa hawamkamati mtu hivi hivi"? Are you serious?! Maofisa hawa hawa wa polisi ambao si mara moja wala mara mbili wamekuwa wakionekana kuishabikia CCM hadharani, au maafisa gani hasa?Kauli za udini sio mzuri ndio zinazoleta chuki na uhasama ,Maafsa huwa hawamjamati mtu hivhuv lazima kuna mambo wameyafuatilia na wakaona hayapo sawa kwa mtuhumiwa .
Unafiki wa Waislamu upo mikononi mwa BAKWATA kwa ile tabia yao ya kutegemea serikali sio tu kwa kujaza matumbo yao bali hata mustakabali wao.
Kuvaa nguo nyeupe ni kosa kisheria?
Ponda anaonewa kama ulivyosema sababu hayuko na BAKWATA
SureNinavyojua ni kuwa rangi nyeupe ni rangi ya amani
Hilo si ni shina la CCMHili Bakwata ni hatari sana kwa afya ya mshikamano wetu sote hapa nchini.
Je, unataka akamatwe?Atakapofanya uchochezi wa kiwango cha Sheikh Ponda atakamatwa,atakapo toa kauli za kichochezi kama za Sheikh Ponda Atakamatwa, Atakapokuwa na influence kama ya Sheikh Ponda atakamatwa.Askofu Bagonza amekuwa akiikosoa serikali waziwazi na mara ya mwisho amehamasisha watu wavae nguo nyeupe maarufu kama 7/7 na Polisi kuzuia maandamano siku hio lakini alietoa tamko hajakamatwa.
Namna masuala yanavoshughulikiwa ndipo dhana mbaya hujegeka...
Hilo si ni shina la CCM
Mpaka akili ikae sawa.Waislam wa siku hizi wengi wao ni waoga sana, hivyo mtaendelea kuteswa hadi pale akili itakapowakaa sawa.
Kama amefanya makosa lazima ashughulikiwe alafu pia naona umemtaga Askofu Gwajima kwamba alianzisha vikundi vya kikabila mbona aliitwa kuhijiwa au umejisahaulisha? Usilete udini kwenye Mambo ya nchi nduguAskofu Bagonza amekuwa akiikosoa serikali waziwazi na mara ya mwisho amehamasisha watu wavae nguo nyeupe maarufu kama 7/7 na Polisi kuzuia maandamano siku hio lakini alietoa tamko hajakamatwa.
Namna masuala yanavoshughulikiwa ndipo dhana mbaya hujegeka...
mkuu umenena vyemaWatu hujenga dhana pale double standards zinapojitokeza.
Kuna upande hua hauguswi au kwa vile upo connected na mabeberu. KKKT- beberu la Germany na hutoa sn misaada
Acha chuki!! Chuki zako wala hazitaonesha kwamba wewe ni Mkristo Kindakindaki, sana sana zinafanya uonekane another stupid and idiot Christian of Gwajima Type!!Daah, Waislam mnajua kutukana sana aisee
Ndivyo mnavyofundishwa huko Masjid eeh
Angalia ulivyo mjinga!! Hoja ya Gwajima nimeleta mimi, sasa suala la "mnaonekana" linatoka wapi?!Btw, ni nani mwenye akili timamu asiyefahamu chuki na udini wa Gwajima?! Kuna Maaskofu, mapadri, Mitume, manabii na wachungaji wangapi?! Ulishawahi kwanini hoja yake niihusishe na Gwajima na sio mwingine yeyote yule?Mnaonekana sio wa maana kwa ujinga Kama huu Sasa Gwajima hapa ameingiaje? Unaacha kujikita kwenye hoja una attack mtu ambaye hata JF hayupo