Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,291
- 1,121
Hivi kwa nini wachangiaji wa hoja mbalimbali katika idhaa za kiswahili za wazungu kama vile bbc,dw n.k asilimia karibu mia ni watanzania na wanakua busy sana kuchangia kuhusu mambo ya nchi za watu na hata kama kuna habari kubwa kuhusu tanzania inayohitaji uchangiaji wa hoja wenyewe watakazania kuchangia kuhusu congo,sudan uingereza n.k