Hivi hapa inakuwaje wakuu unaalikwa kwenye part unaenda peke yako au kimada, wife yuko home au wengine hata njiani tu utakuta wako safari moja lakini mwanaume anakaribia mtaa wa pili mwanamke ndio anaingia mtaa wa kwanza.
Hivi inakuwaje kama unaona sio taipu yako usingemuoa basii khaa....
N.B Mimi simo lakini.
Hivi inakuwaje kama unaona sio taipu yako usingemuoa basii khaa....
N.B Mimi simo lakini.