robertmpumilwa
Member
- May 15, 2016
- 46
- 13
habari wandugu. naomba wataalamu wanisaidie ni kwann app ya DSTV NOW inagoma kufanya kazi kwenye tv yangu SMART TV INCH32 OULING? pia nisaidiwe kama kuna njia nyingine ya kuitumia kwenye hii TV yangu.
kila kitu nimejisajili. maana kwenye simu natumia vnzr kabsUmejisajili kupitia account namba yako ya king’amuzi? Au inagomaje?
sijui shida nini ila kuna jamaa alinambia eti inakubali kwenye tv za lg, samsung, hiasence basiMzee nadhani ni setting tu inanigomea ata mimi kwa tv zaidi ya tano na ikikubali ni sauti na sio picha
kwenye simu natumia vnzr tu aiseeumefanikiwa kuipakua kwenye tv?na umelipia kifurushi?
hiyo nayo inapeleka sauti tu badala ya picha aisee. ingawa app nyingine zinaona poah kbsjaribu T-Cast kwa simu
Anakudanganya nadhani hii apps imefungwa kutumia casting na TV kiongozi, nimejaribu kwa TV hizo usemazo na hakuna jipya DSTV wako makini hawatak uwaharibie biashara kiongozisijui shida nini ila kuna jamaa alinambia eti inakubali kwenye tv za lg, samsung, hiasence basi
Mkuu hio app ni ya os gani na tv yako ni os gani?habari wandugu. naomba wataalamu wanisaidie ni kwann app ya DSTV NOW inagoma kufanya kazi kwenye tv yangu SMART TV INCH32 OULING??pia nisaidiwe kama kuna njia nyingine ya kuitumia kwenye hii tv yangu.
Mimi imegoma tu kwenye simukila kitu nimejisajili. maana kwenye simu natumia vnzr kabs