rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Anne Makinda alisafiri akiwa amevaa vazi la kiislamu kuelekea Zanzibar, lakini ukiangalia kwa undani sana hiyo safari yake ilikuwa na mambo mengi,Baada ya kukataa kuhairisha bunge wakati meli inazama na kulazimishwa kufanya vile haikuwa mwisha wa story nzima
vikao viliendelea baada ya kuonekana kama bunge la watanganyika linadharau raia wa zanzibar hasa ikizingatiwa kuna matatizo zanzibar.
Kwa mara ya kwanza Anne Makinda alivalishwa hijabu wakati yeye binafsi ni mkristo, tunaona jinsi mambo yanavyoendeshwa ndani ya serikali kwa kubahatisha na inaonekana dhairi hii serikali ni dhaifu mno na inaendeshwa kwa hofu kubwa.
Inawezekana wanarekebisha mambo haraka kila mtu na idara yake ili mwisho wa siku asije tupiwa lawama kuwa yeye ndiye chanzo cha chama chao kushindwa.
Lakini sidhani kama ni idea nzuri kuendesha nchi kwa woga,kuna haja ya kukaa na kutafakazi tutapaje watu wa kusaidia kuongoza nchi yetu kwa kujiamini.
Confidence inasababisha mwenye nayo kufanya kazi zake kwa uhakika, waoga wanakimbia hata wasipokimbizwa!
vikao viliendelea baada ya kuonekana kama bunge la watanganyika linadharau raia wa zanzibar hasa ikizingatiwa kuna matatizo zanzibar.
Kwa mara ya kwanza Anne Makinda alivalishwa hijabu wakati yeye binafsi ni mkristo, tunaona jinsi mambo yanavyoendeshwa ndani ya serikali kwa kubahatisha na inaonekana dhairi hii serikali ni dhaifu mno na inaendeshwa kwa hofu kubwa.
Inawezekana wanarekebisha mambo haraka kila mtu na idara yake ili mwisho wa siku asije tupiwa lawama kuwa yeye ndiye chanzo cha chama chao kushindwa.
Lakini sidhani kama ni idea nzuri kuendesha nchi kwa woga,kuna haja ya kukaa na kutafakazi tutapaje watu wa kusaidia kuongoza nchi yetu kwa kujiamini.
Confidence inasababisha mwenye nayo kufanya kazi zake kwa uhakika, waoga wanakimbia hata wasipokimbizwa!