Hellow wadau mambo vipi.
Unajua Nini nilikuwa nacheki TV dakika kadhaa zilizopita nikamona Ali Kiba na wimbo wake. Basi nikakumbuka kitu huyu Ali sijasikia akitoa pole, rambirambi wala kufika mazikoni.
Je, ana shida gani? Sio umbeya but ye ni star lazima tuulizie. Au vipi wadau?
Unajua Nini nilikuwa nacheki TV dakika kadhaa zilizopita nikamona Ali Kiba na wimbo wake. Basi nikakumbuka kitu huyu Ali sijasikia akitoa pole, rambirambi wala kufika mazikoni.
Je, ana shida gani? Sio umbeya but ye ni star lazima tuulizie. Au vipi wadau?