Kwanini Ali Kiba hajaonekana kabisa kwenye msiba wa mke wa Babu Tale?

Sela Son

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,620
6,078
Hellow wadau mambo vipi.

Unajua Nini nilikuwa nacheki TV dakika kadhaa zilizopita nikamona Ali Kiba na wimbo wake. Basi nikakumbuka kitu huyu Ali sijasikia akitoa pole, rambirambi wala kufika mazikoni.

Je, ana shida gani? Sio umbeya but ye ni star lazima tuulizie. Au vipi wadau?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom