Kwanini Albert Einstein Alikuwa Genius?

Jamaa I was thinking unajua Phyiscs, Hakuna theory zinapinga zingine? Kipindi cha medieval it was believed and theorized kwamba Ni Jua linazunguka dunia.. lakini Galileo Akaja na theory yake kwamba Ni dunia linazunguka jua.. je huku si kupinga?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kijana husomi hoja zangu ukazielewa au unasoma kwa wasi wasi.

Nimesema hakuna theory inayoweza kukosoa theory nyingine na hakuna theory inayoweza kuifanya theory nyingine kuwa kweli, kwani wanayo yasema huwa katika hali nyingine. Ulichokiandika ndicho nilichokisema huko awali, kwamba wao wenye theory wanapingana wenyewe kwa wenyewe, wewe unakuja kurudia nilichokisema, jenga hoja.

Dunia haizungukia wala jua halizunguki dunia. Wote waongo mzee. Nakufundisha msingi wa nadharia hizi ni mitazamo ya watu, kwa kuegemea milango ya fahamu na majaribio.

Nakuuliza tu swali rahisi, ni majaribio gani yq kisayasi yalifanyika kuthiitisha ukweli wa nadharia hizo ?
 
Albert Einstein is perhaps most famous for introducing the world to the equation E=mc2. In essence, he discovered that energy and mass are interchangeable, setting the stage for nuclear power—and atomic weapons.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchango wa Einstein ni upi katika Atomic Weapons ? Wa kinadharia au kivitendo ?
 
Karibia asilimia 90 ya kila unachokifanya kwa siku unamzungumzia Newton.uyo Einsten hata asilimia 5 haifiki, alafu bado mnasema sijui yupo juu kwa Newton.hii si ni sawa kufananisha Noah na V8

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why was Albert Einstein a genius?
Jibu ni moja tu. Alikuwa mbunifu.
Einstein hakuwa anajua hesabu kama Sir Isaac Newton au wanasayansi wengine. Ndio, alikuwa anajua hesabu kiasi chake lakini angekuwa anategemea tu ujuzi wake wa hesabu kuna uwezekano mkubwa sana tusingekaa kulisikia hili jina la Einstein.
Einstein is synonymous with genius.
Kuna mnao uliza je Einstein ana impact gani kuliko Newton? Ana nini kipya?
Niseme tu kwa ufupi kwamba Dunia yetu hii ya sasa na namna tunavyoishi na namna tutakavyoishi hata miaka 1000 ijayo ni kwasababu ya mawazo na fikra zake. Hakubuni chochote moja kwa moja lakini waliobuni walimtumia sana Einstein. Bila yeye tusingekuwa na internet connection, smartphones, satellites, computers, etc.
Na bado hatujamaliza kumtumia. Quantum mechanics, space travel, colonization of the galaxy, discovery of other dimensions, etc.
Kwa ufupi Einstein ni moja kati ya msingi wa binadamu hasa huko tunapoenda.
Newton ni moja kati ya watu waliosaidia sana tukafika hapa, Einstein ni moja kati ya watu watakao tusaidia kwenda mbele.
Hivyo basi kwanini Einstein alikuwa genius? Aliweza kuufikirisha ubongo na kuwaza namna gani mwanga, sayari na spacetime zinavyo behave ili kuufanya ulimwengu uwe kama ulivyo. Alikuja na mawazo ambayo watu hawakuamini na ya kushangaza kabisa. Walihisi ni kama uchawi, na bado tuna hisi ni uchawi kwasababu kwa jinsi binadamu tulivyo hatuwezi kuelewa kiurahisi haya mambo. But each and every time he has always been proven right.
And this is why Einstein was a genius.
 
Why was Albert Einstein a genius?
Jibu ni moja tu. Alikuwa mbunifu.
Einstein hakuwa anajua hesabu kama Sir Isaac Newton au wanasayansi wengine. Ndio, alikuwa anajua hesabu kiasi chake lakini angekuwa anategemea tu ujuzi wake wa hesabu kuna uwezekano mkubwa sana tusingekaa kulisikia hili jina la Einstein.
Einstein is synonymous with genius.
Kuna mnao uliza je Einstein ana impact gani kuliko Newton? Ana nini kipya?
Niseme tu kwa ufupi kwamba Dunia yetu hii ya sasa na namna tunavyoishi na namna tutakavyoishi hata miaka 1000 ijayo ni kwasababu ya mawazo na fikra zake. Hakubuni chochote moja kwa moja lakini waliobuni walimtumia sana Einstein. Bila yeye tusingekuwa na internet connection, smartphones, satellites, computers, etc.
Na bado hatujamaliza kumtumia. Quantum mechanics, space travel, colonization of the galaxy, discovery of other dimensions, etc.
Kwa ufupi Einstein ni moja kati ya msingi wa binadamu hasa huko tunapoenda.
Newton ni moja kati ya watu waliosaidia sana tukafika hapa, Einstein ni moja kati ya watu watakao tusaidia kwenda mbele.
Hivyo basi kwanini Einstein alikuwa genius? Aliweza kuufikirisha ubongo na kuwaza namna gani mwanga, sayari na spacetime zinavyo behave ili kuufanya ulimwengu uwe kama ulivyo. Alikuja na mawazo ambayo watu hawakuamini na ya kushangaza kabisa. Walihisi ni kama uchawi, na bado tuna hisi ni uchawi kwasababu kwa jinsi binadamu tulivyo hatuwezi kuelewa kiurahisi haya mambo. But each and every time he has always been proven right.
And this is why Einstein was a genius.
Sisi watu wengine tunatumia asilimia chache sana ya ubongo wetu kufikiri. Watu waliotumia asilimia kubwa kufikiria sana wametrain bongo zao kuwa super na wakafanya mambo ya kushangaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom