Kwanini ajira za muda mfupi za kusimamia Uchaguzi kipaumbele wanapewa walimu waliojiriwa?

Jana tukiwa kwenye folen ya kupeleka maombi ya kusimamia uchaguzi mkuu alisikika mwalim mmoja alisema "Hawa wanajisumbua tu kwanza kisheria mahali popote anapoomba mwalimu wengine wote wanawekwa pembeni anapewa mtumishi kwanza"

Sasa kama kigezo ni ualim uku nje tuna diploma na degree zaidi ya 50,000 ambazo ni jobless, kwanini serikali isinge-forcus kuwapa nafasi hawa ambao hawana kazi badala yake inawap watu ambao mwisho wa mwezi wana uhakika wa chochote
Kwel asee alafu hao walimu wanakua na kiburi 😂😂😂
 
Umepewa kazi wewe wa mtaa siku ya uchaguzi kituoni hutokei unaingia mitini tutakupata wapi, lkn ticha tutamkuta kwenye cheki namba yake simpo kama hivo
 
Kwanza
Walimu wapo wengi kwa idadi kulinganisha na fani zingine
Pili wana uzoefu wa kushughulika na makundi mengi kwa pamoja(wazai,wanafunzi,wao wenyewe vikao vyao)
Pia akivurunda atawajibishwa kwa kuwa ni majiriwa.
Nne Matumizi ya lugha uvaaji mahali pa kazi ,umakini na utii.
Tano hawana semina na deal nyingi nyingi nje ya kazi waloajiliwa ya ualimu hivyo watajali muda na kuipa kipaumbele na ni kipaumbele chao km motisha.

Aisee ziko nyingi na ww umaweza kuongeza zako.
 
Hizi kazi huwa ni za waalimu (pvt + govt). Wacha nao wafaidi keki ya taifa.
Kumweka mwalimu kuna faida kubwa.. Hata akikimbia na box la kura, tunajua pa kumpata!
 
Jana tukiwa kwenye foleni ya kupeleka maombi ya kusimamia Uchaguzi Mkuu alisikika mwalim mmoja alisema "Hawa wanajisumbua tu kwanza kisheria mahali popote anapoomba mwalimu wengine wote wanawekwa pembeni anapewa mtumishi kwanza"

Sasa kama kigezo ni ualimu huku nje tuna diploma na degree zaidi ya 50,000 ambazo ni jobless, kwanini Serikali isinge-forcus kuwapa nafasi hawa ambao hawana kazi badala yake inawap watu ambao mwisho wa mwezi wana uhakika wa chochote
Walimu wanatii sheria bila shuruti na niwavumilivu ata hiyo pesa ya posho ya kusimamia uchaguzi wakinyimwa wanatulia ila sisi wa mtaani hatukawii kulalamika
 
ndiyo rushwa yao kutokana na level ya ulewa wao, huoni wanapewa kusimamia uchaguzi na kupewa kanga za TANU?

waalimu ni tabaka hovyo sana,japo siwote, waalimu walikuwa kabla ya 2005 ila wle wa mwendokasi hamna kitu
Hilo tabaka la hivyo ndio linakufanya unaandika yote hayo,na kuwadharau,bila ya wao usingeandika hapa
 
Hilo tabaka la hivyo ndio linakufanya unaandika yote hayo,na kuwadharau,bila ya wao usingeandika hapa
Infiriority complex, waalimu ndio wametufikisha hapa.
Usitafute hurma eti kwakuwa wametufundisha kusoma na kuandika basi upuuzi wowote wanao ufanye usikemewe kisa "waalimu ndio wameufunza" shubaaamit wewe!

Upuuzi wao lazma usemwe!
kumbuka si wote, nimenukuu wale wa voda fasta, labda kama wewe ulikuwa hujazaliwa na hujui "walimu wa voda fasta" pamoja na wale wa UPE.
 
Yani huyo mwalimu uliyemsikia ndio chanzo chako cha habari?

You cant be serious dude!
 
Money attracts money hiyo iko wazi... Kabisa..

Any way mtushi wa umma Yuko na udhamin kiasi kwamba inaaminika atafanya kawzi kwa uadilifu ili kulinda kibalua chake. Huyu mwingine Ni ngumu Sana kumpata maana anaweza tokomea mbali zaidi
 
Yaan pale palikua na watu ambao ukiwaangalia adi huruma yupo mmoja kaja na ndala imekatika elim yake degree ya ualim yaan ukimuangalia adi huruma hela tu ya kuprintia cv alikua hana yaan kuna watu io kazi n ya siku mbili lakini kwao n Kama Yesu kaja kuwakomboa yaan watu wamepigika uku nje huwezi jua io hela kwake itasolve nini.
Hahahaa, nacheka kama mazuri

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom