Kwanini ajali ya Chacha Wangwe na Lissu madereva wao wote hawakudhurika? ?

U
watanzania wa Leo si wajana ...baada ya ajali ya wangwe, makamba alikutwa na laptop ya wangwe, aliipata wapi ndani ya dk 15 baada ya ajali? Kwanini hoja binafsi ya wangwe juu ya mgodi wa nyamongo ulizimwa... Tafakari ... Kupandikiza migogoro kwa wapinzani ni sehemu ya mikakati endelevu ya maadui wa upinzani tanzania
Uzalendo umenipofua macho kiasi kwamba siioni serikali wala siioni chadema ktk hili...nawaona wazungu aka mabepari walozoea kujichukulia madini ya bure sasa kuambiwa hii ni mali ya Tz na sio yenu wameanza manuva....
 
Tutakumbuka miaka kadhaa iliyopita,mwanasiasa machachari wa wakati ule chache wangwe,alipata ajali mbaya ya Gari wakati akitokea dodoma kwenye vikao vyakibunge,njiani akiwa na dereva wake,inasemekana walipata ajali mbaya mno hali iliyopelekea ndugu wangwe kupoteza maisha,gari iliharibika vibaya sana ila upande wa dereva kutoka salama bila mkwaruzo wowotee mwilini,hali hii ilileta sintofahamu miongoni mwa watanzania,ukizingatia wakati ule ndugu wange hakuwa na maelewano mazuri na viongozi waandamizi wa chadema taifa,hasa katika kinyang'anyiro cha uongozi wa juu wa chama hicho.

Miaka kadhaa baadae mwanasiasa machachari wa upinzani Tundu lisu anapatwa na msukosuko wa shambulizi za risasi 32 zote zikiwa zimelenga kuupata mwili wake,bahati nzuri risasi chache ndizo ziliupata mwili wake na nyingi kupita mbali ya mwili, hali ambayo kila mmoja anaona ukuu wa Mungu katika jambo hili,chakushangaza katika tukio hili,ambalo lilimuhusu mheshimiwa lisu na dereva wake ambao wote walikuwa sehemu moja katika gari dereva hakudhurika hata kwakukwaruzwa na risasi hili linawezekanaje ingali lisu alikuwa mita chache kutoka alipokaa dereva?

Mazingaumbwe haya na ajali ya chacha mbona hayatofautiani?? Maswali yakujiuliza kwanini dereva asiumie kwa namna yeyote??

Muda utaongea hakuna jambo lisilo na mwisho ilitokea kwa wangwe dereva katoka mzima huku wangwe kapoteza maisha,ikatokea kwa lisu kwa bahati nzuri katoka majeruhi huku dereva katoka mzima wa afya bila mkwaruzo naamini siku moja ukweli utajualikana.
Dereva walisu kawakwamisha sana .kumwanbia Lisu asishuke kwenye gari ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naposoma post kama hizi huwa najiuliza binafsi "assasination plot/assasination attempt ifanywe na CHADEMA, PoliCCM wasikomae na uchunguzi hadi kumkamata muuaji?". Hutokea nikasogea mbele kidogo kujiuliza kilofa "kama CHADEMA wameua au wamejaribu kuua eg Chacha Wangwe, Mwangosi, Mtikila, Saanane etc, je PoliCCM wanazidiwa ujanja,mbinu na maarifa na CHADEMA?". Huwa sipati wa kumuuliza haya maswali anipe majibu so naishia kutabasamu na kuendelea kugida Mbege yangu

na mm napata shida na hayo maswali maana mpaka leo hao wauaji wa hao watu bado hawajajulikana kabisa
 
Hivi unajuwa kuwa risas inapopita na kupenya kwenye uzio inapungua speed, na risas zililengwa kwenye upande wa Lisu.
 
Tutakumbuka miaka kadhaa iliyopita,mwanasiasa machachari wa wakati ule chache wangwe,alipata ajali mbaya ya Gari wakati akitokea dodoma kwenye vikao vyakibunge,njiani akiwa na dereva wake,inasemekana walipata ajali mbaya mno hali iliyopelekea ndugu wangwe kupoteza maisha,gari iliharibika vibaya sana ila upande wa dereva kutoka salama bila mkwaruzo wowotee mwilini,hali hii ilileta sintofahamu miongoni mwa watanzania,ukizingatia wakati ule ndugu wange hakuwa na maelewano mazuri na viongozi waandamizi wa chadema taifa,hasa katika kinyang'anyiro cha uongozi wa juu wa chama hicho.

Miaka kadhaa baadae mwanasiasa machachari wa upinzani Tundu lisu anapatwa na msukosuko wa shambulizi za risasi 32 zote zikiwa zimelenga kuupata mwili wake,bahati nzuri risasi chache ndizo ziliupata mwili wake na nyingi kupita mbali ya mwili, hali ambayo kila mmoja anaona ukuu wa Mungu katika jambo hili,chakushangaza katika tukio hili,ambalo lilimuhusu mheshimiwa lisu na dereva wake ambao wote walikuwa sehemu moja katika gari dereva hakudhurika hata kwakukwaruzwa na risasi hili linawezekanaje ingali lisu alikuwa mita chache kutoka alipokaa dereva?

Mazingaumbwe haya na ajali ya chacha mbona hayatofautiani?? Maswali yakujiuliza kwanini dereva asiumie kwa namna yeyote??

Muda utaongea hakuna jambo lisilo na mwisho ilitokea kwa wangwe dereva katoka mzima huku wangwe kapoteza maisha,ikatokea kwa lisu kwa bahati nzuri katoka majeruhi huku dereva katoka mzima wa afya bila mkwaruzo naamini siku moja ukweli utajualikana.
Je, dereva wa marehemu Sokoine Edward pamoja NA wale waamnata wake unawakumbuka au hukuwepo wakati wa tukio ama kusoma historia husika?
 
Hivi unajuwa kuwa risas inapopita na kupenya kwenye uzio inapungua speed, na risas zililengwa kwenye upande wa Lisu.
Huyo hamna haja ya kumuelimisha, anajua ukweli sema tu alitaka Lissu afe. Ila Mungu kamtetea, we risasi 38 unadhani mchezo mchezo nn hata Tembo angekufa. Ila Mungu akasema NO.
 
We jamaa nikuulize swali?? Unaona faida gani kudukua/kuiba avatar yangu aisee...Yaani hii avatar nimeibadilisha kwa kuwa mtu mwingine aliniibia nimeweka na hii na wewe umeeiba unaweka kwako kirahisi tu??

Acha usanii mkuu, Kuna mamilioni ya picha (avatar) huko lakini unaona SAWA kutumia hii ya kwangu ambayo nimeweka na jina langu kabisa...

kiroho safi nakuomba ubadilishe hii avatar kwa maana mimo nitaonekana msanii na hata sifa mbaya huku jukwaani..

Hapa JF kila mtu ana avatar yake inayomtambulisha...nakuambia hivi kwa kuwa wewe ni mgeni na hata kama ni mwenyeji umefungua ID mpya hilo jambo unalofanya ni UZINGUAJI MKUU..

ACHA WIZI WA KUIBA AVATAR ZA WATU

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk
Ni yule yule mwizi wako kafungua tena ID nyingine
 
Marisasi yote hayo dereva asiguswe hata kidogo. Mhhhh
Unahitaji kujua jografia ya mahari pa tukio itakusaidia kujua kwanini dereva hakuzurika pia ikumbukwe kuwa lisu alilalia kwa dereva na ndio salama yake (maelezo kutoka mdogo wake lisu )
 
Mleta mada hebu fikilia hivi target ya hao wauaji ilikua ni nani lissu au dereva

Kama tunajua kabisa kwamba target ilikua ni lissu afu Leo unatuuliza kwa nn dereva hajaumia Mkuu a u serious
 
Back
Top Bottom