Kwanini Afrika ni masikini?

Duniani kuna aina za nchi kulingana na mfumo, nguvu zake kiuchumi, kijeshi na kisiasa:

1. Super powers
Hizi ni nchi zinazoitawala dunia. Ndiyo zinashikilia mfumo unaoendesha dunia (ideology) Ndani yake kuna taifa kiongozi (leading nation) ambayo kwa hali ya sasa mfumo Ni Ubepari (capitalism), superpowers ni nchi kama Amerika, China, Urusi, Ujerumani, na taifa kiongozi ni Amerika

2. Independent States
Hizi ni nchi huru ambazo zinaweza kuamua sera zake zenyewe bila kulazimishwa na superpowers. Hizi huwa nchi zenye uwezo pia. Nchi kama Sweden, Denmark, Switzerland zinaingia hapa

3. Subordinate States
Hizi ni nchi zinazokoloniwa, hazina sera binafsi bali sera zake ni sera za mkoloni wa muda huo. Nyingi ni nchi masikini za Afrika na zinazoendelea. Wakoloni hupanga chama cha kutawala, muda wa kutawala, na nani atawale,nk

Afrika inaingia kwenye hili kundi la tatu hivyo haina mfumo, haina uhuru, haina nguvu za kijeshi, kiuchumi, wala kisiasa na kwahiyo inabaki kuwa masikini
we are poor because we are poor
 
Wewe ndio huna akili ndugu, hii mipaka ni ya kufikirika, iondoe kabisa kichwani mwako utatoboa mbaya mbovu, kwani kunawahindi wangapi ni matajiri kuliko wazungu kibao? Dangote kwa mfano, ni muafrika na kaburuza mamilioni ya wazungu kwa ukwasi na wengine wengi wapo dizaini yake…

Usihangaike na mchezo wa wazungu wa kutujumlisha, pambania hali yako na jipime wewe kama wewe, ukianza kutaka kujumlisha na walevi wanaoshinda baa asubuhi mpaka jioni, malaya wahongaji waliokubuhu na wapuuzi wengine kwamba wote mtoke kimasomaso utachelewa sana, wapo wabongo wenzako wanaishi zaidi ya ulaya, na wapo wazungu ulaya safari ya kuja Tanzania tu mfano wanajipanga miaka mitano na zaidi… unadhani kila mzungu anaweza kuwa na lifestyle ya Mengi, Mo, Rostam, Rugemalila, Mbowe, Shirima, Samatta, AY, FA, Kinje, na wengine wengi tu wasio maarufu, tena hiyo ni bongo tu, vp Kenya, Rwanda, Nigeria, Morocco, Egypt, SA aiseeee!!!!.

Hatuko vibaya sana, tunajikongoja, safari bado mbichi hii, time will tell….
Ni akili atuna tuache visingizio
 
Wewe ndio huna akili ndugu, hii mipaka ni ya kufikirika, iondoe kabisa kichwani mwako utatoboa mbaya mbovu, kwani kunawahindi wangapi ni matajiri kuliko wazungu kibao? Dangote kwa mfano, ni muafrika na kaburuza mamilioni ya wazungu kwa ukwasi na wengine wengi wapo dizaini yake…

Usihangaike na mchezo wa wazungu wa kutujumlisha, pambania hali yako na jipime wewe kama wewe, ukianza kutaka kujumlisha na walevi wanaoshinda baa asubuhi mpaka jioni, malaya wahongaji waliokubuhu na wapuuzi wengine kwamba wote mtoke kimasomaso utachelewa sana, wapo wabongo wenzako wanaishi zaidi ya ulaya, na wapo wazungu ulaya safari ya kuja Tanzania tu mfano wanajipanga miaka mitano na zaidi… unadhani kila mzungu anaweza kuwa na lifestyle ya Mengi, Mo, Rostam, Rugemalila, Mbowe, Shirima, Samatta, AY, FA, Kinje, na wengine wengi tu wasio maarufu, tena hiyo ni bongo tu, vp Kenya, Rwanda, Nigeria, Morocco, Egypt, SA aiseeee!!!!.

Hatuko vibaya sana, tunajikongoja, safari bado mbichi hii, time will tell….
Mbona kama umepanic?
 
Duniani kuna aina za nchi kulingana na mfumo, nguvu zake kiuchumi, kijeshi na kisiasa:

1. Super powers
Hizi ni nchi zinazoitawala dunia. Ndiyo zinashikilia mfumo unaoendesha dunia (ideology) Ndani yake kuna taifa kiongozi (leading nation) ambayo kwa hali ya sasa mfumo Ni Ubepari (capitalism), superpowers ni nchi kama Amerika, China, Urusi, Ujerumani, na taifa kiongozi ni Amerika

2. Independent States
Hizi ni nchi huru ambazo zinaweza kuamua sera zake zenyewe bila kulazimishwa na superpowers. Hizi huwa nchi zenye uwezo pia. Nchi kama Sweden, Denmark, Switzerland zinaingia hapa

3. Subordinate States
Hizi ni nchi zinazokoloniwa, hazina sera binafsi bali sera zake ni sera za mkoloni wa muda huo. Nyingi ni nchi masikini za Afrika na zinazoendelea. Wakoloni hupanga chama cha kutawala, muda wa kutawala, na nani atawale,nk

Afrika inaingia kwenye hili kundi la tatu hivyo haina mfumo, haina uhuru, haina nguvu za kijeshi, kiuchumi, wala kisiasa na kwahiyo inabaki kuwa masikini
Wasio na hakili mgando husubir matukio ili wapate pa kuanzia,

ufupi tu wao hawana hakili kabisa maana hoja za kujenga hawana , zaid ni kungoja anaethubutu afanye ili akishafeli wapate neno pasipo kutoa credit kwa yule anaethubutu


Pasipo kutambua kua athubutue anabaki kua best initiator ktk dunia yetu
 
Labda mapenzi ya Mungu! Angalia JPM alivyojitokeza kuikomboa TZ kimaendeleo, hakukamilisha kazi yake Mungu kamuita. Samahani nimemtaja Mungu, ila inaweza ikawa mchezo wa binadamu.
 
Labda mapenzi ya Mungu! Angalia JPM alivyojitokeza kuikomboa TZ kimaendeleo, hakukamilisha kazi yake Mungu kamuita. Samahani nimemtaja Mungu, ila inaweza ikawa mchezo wa binadamu.

Huwezi juwa,, angeendelea mambo yangezidi kuwa mabaya na nchi ingepoteza mwelekeo. Ndio maana tukaletewa mama, mwenye huruma na imani. Mungu ni mkubwa
 
Wapinzani wanachangia Africa kuwa maskini Kwasababu wanatumika na Mabeberu kuharibu Amani na utulivu wa Nchi za kiafrica
Viongozi wa kiafrika maendeleo Yao ni ngono, ulevi, Mali Za ngawira, madaraka Na kuwauwa wanaowapinga
 
Labda mapenzi ya Mungu! Angalia JPM alivyojitokeza kuikomboa TZ kimaendeleo, hakukamilisha kazi yake Mungu kamuita. Samahani nimemtaja Mungu, ila inaweza ikawa mchezo wa binadamu.
Huyo alikuwa ni moja wa watawala wa hovyo kuwahi kutokea katika bara la Afrika na Mungu aliliona hilo kutuzidi. Let God reign.
 
Back
Top Bottom