Kwanini Afrika Kusini huandikwa kwa kifupi ZA?

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,532
Ni urithi kutoka kwa wa-holanzi waliotawala nchi hiyo kiholanzi kilikuwa lugha rasmi nchini Afrika Kusini, na wakati Kiafrikani kiliposhika hatamu na kuwa lugha ya taifa bado kiholanzi kilionekana kuwa na ushawishi.

Zuid-Afrika 'ZA' ikawa ndio kifupisho cha South Afrika badala ya 'SA'

Mwaka 1936 nk ZA ikawa ndo utambulisho kwenye usajili wa magari na hata wakati wa zama za new technology tovuti za nchi hiyo zikawa zinatambuliwa kwa kifupi hicho
 
Hiyo ni Country code zinazotolewa na ISO kwa kila nchi.
Tanzania ni TZ
Kenya ni KE
South Africa ni ZA

Kuna 2-Letter kama hizo hapo juu na kuna 3-Letter kama Tanzania ni TZA, Kenya ni KEN, na South Africa ni ZAF.
 
shukrani mkuu maana hiki kitu niliwahi kujiuliza kutokana website zao kuandikwa ".za".
Hiyo ni code yao, sawa na ya Tanzania Tz
Screenshot_20200820-223959_Chrome.jpg
 
Hicho ni ki Afrikaans au Kiafrika, Zuid Afrika (ZA), Kiafrikaans ndiyo lugha rasmi ya AK, na ndiyo lugha pekee ya bara la Afrika inayobeba jina la Afrika, lkn bado ni lugha ya Muzungu, hata Kiswahili chetu neno Ki-swahili (suaehel) ni Kiarabu na siyo Kiafrika kwa hiyo lugha pekee ya Kiafrika ni Afrikaans ambayo ni lugha ya Muzungu, hapo sasa, ndo maana nashindwa kuelewa kwa nini hatubadilishi neno Kiswahili na kuita Kitanzania? Kwani Kiafrikaans kilikuwa ni Kiholanzi Muzungu alivyo mjanja akabadilisha na kuita Afrikaans maana yake ni Kiafrika lkn ni Kiholanzi, ...
 
Hiyo ni Country code zinazotolewa na ISO kwa kila nchi.
Tanzania ni TZ
Kenya ni KE
South Africa ni ZA

Kuna 2-Letter kama hizo hapo juu na kuna 3-Letter kama Tanzania ni TZA, Kenya ni KEN, na South Africa ni ZAF.


Tanzania siyo TZ bali EA(T) tangia Ukoloni mpaka leo hatujabadilisha, kwanza sisi ni dehemu ya kenya bado, kwa maana EA ni Kenya, urithi wa Muzungu, ...
 
Nyerere alifeli sana.. hapo.. kitanganyika.
Hicho ni ki Afrikaans, Zuid Afrika (ZA), Kiafrikaans ndiyo lugha rasmi ya AK, na ndiyo lugha pekee ya bara la Afrika inayobeba jina la Afrika, lkn bado ni lugha ya Muzungu, hata Kiswahili chetu neno Ki-swahili (suaehel) ni Kiarabu na siyo Kiafrika kwa hiyo lugha pekee ya Kiafrika ni Afrikaans ambayo ni lugha ya Muzungu, hapo sasa, ndo maana nashindwa kuelewa kwa nini hatubadilishi neno Kiswahili na kuita Kitanzania? Kwani Kiafrikaans kilikuwa ni Kiholanzi Muzungu alivyo mjanja akabadilisha na kuita Afrikaans lkn ni Kiholanzi, ...
 
Back
Top Bottom