Kwanini ACT Wazalendo wasimpinge Rais Mwinyi Zanzibar? Lazima kuna Tatizo

KISHADA

JF-Expert Member
Oct 18, 2012
2,224
3,290
Mada inajieleza. ACT ni mdau ndani ya Serikali ya Zanzibar. Makamu wa kwanza wa Rais ndie mshauri Mkuu wa Rais ingawa Rais hapangiwi la kufanya sawa.

Tatizo linakuja kwenye Dhamira ya kweli ya kile anachohubiri Rais Mwinyi. Haiwezekani katika hali ya mashaka ya kile kilichotokea uchaguzi wa 2020 na kilichotokea Zanzibar hasa Pemba kuuliwa watu wasiopungua 20 kwa uchaguzi ulioacha makovu halafu Rais Mwinyi amrejeshe Mkurugenzi wa ZEC huyo anaeshutumiwa kwa uharibifu. Lazima kuna tatizo.

Mahubiri ya Mh Rais ya maridhiano ya kweli yametatizwa kwa makusudi ama na yeye mwenyewe au hao waliomzunguka. Haiwezekani kwamba mpaka maamuzi ya uteuzi yanafanyika bila ushauri wa pande muhimu.

Speculations.
1. Rais aidha hana dhamira nzuri za maridhiano.
2. ACT wanalazimishwa kukwamishwa kwa makusudi ndani ya serikali pengine kuna azma imepangwa
3. Rais kaelemewa na mzigo wa chama chake kwa kulazimishwa kumrejesha mkurugenzi anayelalamikiwa.
4. CCM inamkwamisha Rais Mwinyi juu ya haja ya maridhiano ya kweli vyenginevyo wangeliona hili na kumshauri.

Hayo ni mawazo yangu tu.

Haiwezekani kwamba wiki moja imepita nyuma imetoka ripoti ya kamati Maalumu kuhusu Demokrasia na maridhiano Zanzibar na kupendekeza hatua kadhaa za kujenga zama mpya halafu papo hapo Rais ateue mtu ambae kwa uhakika alijua ataleta zogo kwa muktadha wa Zanzibar hapo lazima kuna tatizo.

Kishada.
 
Haiwezekani kwamba wiki moja imepita nyuma imetoka ripoti ya kamati Maalumu kuhusu Demokrasia na maridhiano Zanzibar na kupendekeza hatua kadhaa za kujenga zama mpya halafu papo hapo Rais ateue mtu ambae kwa uhakika alijua ataleta zogo kwa muktadha wa Zanzibar hapo lazima kuna tatizo.
 
Mada inajieleza. ACT ni mdau ndani ya Serikali ya Zanzibar. Makamu wa kwanza wa Rais ndie mshauri Mkuu wa Rais ingawa Rais hapangiwi la kufanya sawa.

Tatizo linakuja kwenye Dhamira ya kweli ya kile anachohubiri Rais Mwinyi. Haiwezekani katika hali ya mashaka ya kile kilichotokea uchaguzi wa 2020 na kilichotokea Zanzibar hasa Pemba kuuliwa watu wasiopungua 20 kwa uchaguzi ulioacha makovu halafu Rais Mwinyi amrejeshe Mkurugenzi wa ZEC huyo anaeshutumiwa kwa uharibifu. Lazima kuna tatizo.

Mahubiri ya Mh Rais ya maridhiano ya kweli yametatizwa kwa makusudi ama na yeye mwenyewe au hao waliomzunguka. Haiwezekani kwamba mpaka maamuzi ya uteuzi yanafanyika bila ushauri wa pande muhimu.

Speculations.
1. Rais aidha hana dhamira nzuri za maridhiano.
2. ACT wanalazimishwa kukwamishwa kwa makusudi ndani ya serikali pengine kuna azma imepangwa
3. Rais kaelemewa na mzigo wa chama chake kwa kulazimishwa kumrejesha mkurugenzi anayelalamikiwa.
4. CCM inamkwamisha Rais Mwinyi juu ya haja ya maridhiano ya kweli vyenginevyo wangeliona hili na kumshauri.

Hayo ni mawazo yangu tu.

Haiwezekani kwamba wiki moja imepita nyuma imetoka ripoti ya kamati Maalumu kuhusu Demokrasia na maridhiano Zanzibar na kupendekeza hatua kadhaa za kujenga zama mpya halafu papo hapo Rais ateue mtu ambae kwa uhakika alijua ataleta zogo kwa muktadha wa Zanzibar hapo lazima kuna tatizo.

Kishada.
CCM haina , haijawahi na haitokuja kuwa na dhamira njema
 
Mada inajieleza. ACT ni mdau ndani ya Serikali ya Zanzibar. Makamu wa kwanza wa Rais ndie mshauri Mkuu wa Rais ingawa Rais hapangiwi la kufanya sawa.

Tatizo linakuja kwenye Dhamira ya kweli ya kile anachohubiri Rais Mwinyi. Haiwezekani katika hali ya mashaka ya kile kilichotokea uchaguzi wa 2020 na kilichotokea Zanzibar hasa Pemba kuuliwa watu wasiopungua 20 kwa uchaguzi ulioacha makovu halafu Rais Mwinyi amrejeshe Mkurugenzi wa ZEC huyo anaeshutumiwa kwa uharibifu. Lazima kuna tatizo.

Mahubiri ya Mh Rais ya maridhiano ya kweli yametatizwa kwa makusudi ama na yeye mwenyewe au hao waliomzunguka. Haiwezekani kwamba mpaka maamuzi ya uteuzi yanafanyika bila ushauri wa pande muhimu.

Speculations.
1. Rais aidha hana dhamira nzuri za maridhiano.
2. ACT wanalazimishwa kukwamishwa kwa makusudi ndani ya serikali pengine kuna azma imepangwa
3. Rais kaelemewa na mzigo wa chama chake kwa kulazimishwa kumrejesha mkurugenzi anayelalamikiwa.
4. CCM inamkwamisha Rais Mwinyi juu ya haja ya maridhiano ya kweli vyenginevyo wangeliona hili na kumshauri.

Hayo ni mawazo yangu tu.

Haiwezekani kwamba wiki moja imepita nyuma imetoka ripoti ya kamati Maalumu kuhusu Demokrasia na maridhiano Zanzibar na kupendekeza hatua kadhaa za kujenga zama mpya halafu papo hapo Rais ateue mtu ambae kwa uhakika alijua ataleta zogo kwa muktadha wa Zanzibar hapo lazima kuna tatizo.

Kishada.
Kishada,
Ahsante sana kwa post hii.
Umeandika maneno ya kufikirisha sana.

Ahsante sana ndugu yangu.
 
Mada inajieleza. ACT ni mdau ndani ya Serikali ya Zanzibar. Makamu wa kwanza wa Rais ndie mshauri Mkuu wa Rais ingawa Rais hapangiwi la kufanya sawa.

Tatizo linakuja kwenye Dhamira ya kweli ya kile anachohubiri Rais Mwinyi. Haiwezekani katika hali ya mashaka ya kile kilichotokea uchaguzi wa 2020 na kilichotokea Zanzibar hasa Pemba kuuliwa watu wasiopungua 20 kwa uchaguzi ulioacha makovu halafu Rais Mwinyi amrejeshe Mkurugenzi wa ZEC huyo anaeshutumiwa kwa uharibifu. Lazima kuna tatizo.

Mahubiri ya Mh Rais ya maridhiano ya kweli yametatizwa kwa makusudi ama na yeye mwenyewe au hao waliomzunguka. Haiwezekani kwamba mpaka maamuzi ya uteuzi yanafanyika bila ushauri wa pande muhimu.

Speculations.
1. Rais aidha hana dhamira nzuri za maridhiano.
2. ACT wanalazimishwa kukwamishwa kwa makusudi ndani ya serikali pengine kuna azma imepangwa
3. Rais kaelemewa na mzigo wa chama chake kwa kulazimishwa kumrejesha mkurugenzi anayelalamikiwa.
4. CCM inamkwamisha Rais Mwinyi juu ya haja ya maridhiano ya kweli vyenginevyo wangeliona hili na kumshauri.

Hayo ni mawazo yangu tu.

Haiwezekani kwamba wiki moja imepita nyuma imetoka ripoti ya kamati Maalumu kuhusu Demokrasia na maridhiano Zanzibar na kupendekeza hatua kadhaa za kujenga zama mpya halafu papo hapo Rais ateue mtu ambae kwa uhakika alijua ataleta zogo kwa muktadha wa Zanzibar hapo lazima kuna tatizo.

Kishada.
Kwanini WAMPINGE wakati ni WAMOJA? Nakukumbusha ACT sio Chama cha UPINZANI ni Chama cha KUKIPINGA Chama cha UPINZANI CHADEMA
JamiiForums970773439.jpg
JamiiForums1424324739.jpg
 
Mada inajieleza. ACT ni mdau ndani ya Serikali ya Zanzibar. Makamu wa kwanza wa Rais ndie mshauri Mkuu wa Rais ingawa Rais hapangiwi la kufanya sawa.

Tatizo linakuja kwenye Dhamira ya kweli ya kile anachohubiri Rais Mwinyi. Haiwezekani katika hali ya mashaka ya kile kilichotokea uchaguzi wa 2020 na kilichotokea Zanzibar hasa Pemba kuuliwa watu wasiopungua 20 kwa uchaguzi ulioacha makovu halafu Rais Mwinyi amrejeshe Mkurugenzi wa ZEC huyo anaeshutumiwa kwa uharibifu. Lazima kuna tatizo.

Mahubiri ya Mh Rais ya maridhiano ya kweli yametatizwa kwa makusudi ama na yeye mwenyewe au hao waliomzunguka. Haiwezekani kwamba mpaka maamuzi ya uteuzi yanafanyika bila ushauri wa pande muhimu.

Speculations.
1. Rais aidha hana dhamira nzuri za maridhiano.
2. ACT wanalazimishwa kukwamishwa kwa makusudi ndani ya serikali pengine kuna azma imepangwa
3. Rais kaelemewa na mzigo wa chama chake kwa kulazimishwa kumrejesha mkurugenzi anayelalamikiwa.
4. CCM inamkwamisha Rais Mwinyi juu ya haja ya maridhiano ya kweli vyenginevyo wangeliona hili na kumshauri.

Hayo ni mawazo yangu tu.

Haiwezekani kwamba wiki moja imepita nyuma imetoka ripoti ya kamati Maalumu kuhusu Demokrasia na maridhiano Zanzibar na kupendekeza hatua kadhaa za kujenga zama mpya halafu papo hapo Rais ateue mtu ambae kwa uhakika alijua ataleta zogo kwa muktadha wa Zanzibar hapo lazima kuna tatizo.

Kishada.
Niliposikia Bawacha wamefanya mkuty mkubwa Zanzibar na baadae Viongozi Wakuu wa Chadema wameikwa Ikulu Zanzibar nikajua kuna Jambo!
 
ACT wanavuna walichopanda, wao ni wanafiki na wameshajulikana tabia yao na hao mabosi wao wa CCM ndio maana sasa wanatiwa kidole cha jicho makusudi.
 
Mada inajieleza. ACT ni mdau ndani ya Serikali ya Zanzibar. Makamu wa kwanza wa Rais ndie mshauri Mkuu wa Rais ingawa Rais hapangiwi la kufanya sawa.

Tatizo linakuja kwenye Dhamira ya kweli ya kile anachohubiri Rais Mwinyi. Haiwezekani katika hali ya mashaka ya kile kilichotokea uchaguzi wa 2020 na kilichotokea Zanzibar hasa Pemba kuuliwa watu wasiopungua 20 kwa uchaguzi ulioacha makovu halafu Rais Mwinyi amrejeshe Mkurugenzi wa ZEC huyo anaeshutumiwa kwa uharibifu. Lazima kuna tatizo.

Mahubiri ya Mh Rais ya maridhiano ya kweli yametatizwa kwa makusudi ama na yeye mwenyewe au hao waliomzunguka. Haiwezekani kwamba mpaka maamuzi ya uteuzi yanafanyika bila ushauri wa pande muhimu.

Speculations.
1. Rais aidha hana dhamira nzuri za maridhiano.
2. ACT wanalazimishwa kukwamishwa kwa makusudi ndani ya serikali pengine kuna azma imepangwa
3. Rais kaelemewa na mzigo wa chama chake kwa kulazimishwa kumrejesha mkurugenzi anayelalamikiwa.
4. CCM inamkwamisha Rais Mwinyi juu ya haja ya maridhiano ya kweli vyenginevyo wangeliona hili na kumshauri.

Hayo ni mawazo yangu tu.

Haiwezekani kwamba wiki moja imepita nyuma imetoka ripoti ya kamati Maalumu kuhusu Demokrasia na maridhiano Zanzibar na kupendekeza hatua kadhaa za kujenga zama mpya halafu papo hapo Rais ateue mtu ambae kwa uhakika alijua ataleta zogo kwa muktadha wa Zanzibar hapo lazima kuna tatizo.

Kishada.
CCM inafanya maigizo tupu wala hakuna nia njema na jambo lolote
 
ACT wanavuna walichopanda, wao ni wanafiki na wameshajulikana tabia yao na hao mabosi wao wa CCM ndio maana sasa wanatiwa kidole cha jicho makusudi.
Tupe ufafanuzi ili tupate faida mkuu. Unafiki wao ni upi ?
 
Ccm hana rafiki. Si Lipumba, Mbatia na Mrema (rip) wote wamelizwa walipo amini wako salama na CCM. Ni vizuri ACT hili wanaliona mapema. CCM hawana urafiki wala ustaarabu wao ni chamadola.
 
Back
Top Bottom