Kwanini 50cent na Floyd Mayweather wanachukiana??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Tazama katika fun page zao uone
Screenshot_2019-02-15-13-56-20.jpeg
Screenshot_2019-02-15-13-55-40.jpeg
Screenshot_2019-02-15-13-51-23.jpeg
Screenshot_2019-02-15-13-44-59.jpeg
Screenshot_2019-02-15-13-45-27.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugomvi wao ni katika ile product ya blackface pull-up sweater iliyozinduliwa na Gucci juzi kati yenye gharama zaidi ya $890 ambayo inahusishwa kuwa na some racist imagery. So fif anapiga na may ana support the product despite of the mistake made by the Gucci brand designer.
images(3).jpeg
 
Ugomvi wao ni katika ile product ya blackface pull-up sweater iliyozinduliwa na Gucci juzi kati yenye gharama zaidi ya $890 ambayo inahusishwa kuwa na some racist imagery. So fif anapiga na may ana support the product despite of the mistake made by the Gucci brand designer. View attachment 1023296
Hii beef niyajuzi goma lilianza kipindi Floyd anapigana na mflipino

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom