ENGINE CONTROL
Senior Member
- Nov 20, 2011
- 136
- 27
Wakuu aulizaye anataka kujua ni bora nionekane mshamba na mpumbavu kwa mda.
Wataalam na wenye ufaham na ujuzi naomba kufahamishwa na kuelimishwa juu ya hili.Je zile tv za chogo kwa nin huwezi kuzitumia kama monitor??
Je kama inawezekana ni nin inabidi kiongezwe au kupunguza au kwa kuwa hazina sehem ya kuconect cpu??
Na je mbona kuna hizi tv za flat ambazo unaweza kutumia kama monitor kwanin kwa hizo iwezekane na kwa zile tv chogo ishindikane??
Na je kwa monitor zile za chogo huwezi kuzitumia kama tv ya kawaida?? Je ni vitu gan inabidi viongezwe ili iwezekane??
Naomba mnitoe ushamba mwenzenu.
Wataalam na wenye ufaham na ujuzi naomba kufahamishwa na kuelimishwa juu ya hili.Je zile tv za chogo kwa nin huwezi kuzitumia kama monitor??
Je kama inawezekana ni nin inabidi kiongezwe au kupunguza au kwa kuwa hazina sehem ya kuconect cpu??
Na je mbona kuna hizi tv za flat ambazo unaweza kutumia kama monitor kwanin kwa hizo iwezekane na kwa zile tv chogo ishindikane??
Na je kwa monitor zile za chogo huwezi kuzitumia kama tv ya kawaida?? Je ni vitu gan inabidi viongezwe ili iwezekane??
Naomba mnitoe ushamba mwenzenu.