Kwaniini watu wanakula sana (kushiba)?

Uku kwetu bondeni utaskia tanua utumbo dogo sio unakwenda kwa mchezaji unashindwa kutafuna.unaweza kula mifuko miwili?
 
safari baaa hakuna ugali wala wali wa kushiba pale ila ile special utumbo ndio yenyewe ya kutosha
Lakini si unajua mbezi yote haina mgahawa, sehemu ambayo unaweza kaa umechomekea na ukatapata heshima ni Safari baar, maana pale kwa mama Tabu, akikuona unakushusha sana, sasa nani anataka kushuka.
 
Hivi Kimara napo si Kuna safari bar?!
Tatizo Kidot, she is very demanding.
Hee sorry bado Wana Kahana?
Niaje washkaji zangu.? Leo nineona bora nimshauri jambo moja kubwa na la msingi sana Alikiba a.k.a mzee wa #aje.
Naamini hata nyie humu wengi mtaniunga mkono.
Msanii mkubwa kama Alikiba mambo yake mengi anayofanya kwenye sosho media yanaonekana Duniani kote kwa sababu anamashabiki Dunia nzima. Tatizo linakuja katika Picha zake na Video anazoposti kwenye soshomedia hazina kiwango kama yeye alivyo na kiwango. Picha zake na video nyingi zinapigwa ama "Kushutiwa" kwa simu ya mkononi. Msanii kama Kiba anatakiwa awe na Mtu/watu maalum ambao watakuwa wanahusika na Picha na Video zake. Natumaini Soon Sony music wataliona hili na watalifanyia kazi. Kwasasa msanii wetu huyu yupo katika ramani ya dunia kwahiyo hana budi kufanya kazi zake "Kiprofeshno" Zaidi.
Nawasilisha kwa hisani ya #mckonjetv
 
Uku kwetu bondeni utaskia tanua utumbo dogo sio unakwenda kwa mchezaji unashindwa kutafuna.unaweza kula mifuko miwili?
Huko ndiko kuzuri nitatembela huko, asikudanganye bw. Mtu kula, kuna rafiki yangu nilimuona pale kwa Mathias Kibaha, anazipiga chapati 15 na chupa moja ya chai, mwenyewe anakuambia ni mlo wa kawaida wa kila siku na wala sio wa Sikukuu.
 
Huko ndiko kuzuri nitatembela huko, asikudanganye bw. Mtu kula, kuna rafiki yangu nilimuona pale kwa Mathias Kibaha, anazipiga chapati 15 na chupa moja ya chai, mwenyewe anakuambia ni mlo wa kawaida wa kila siku na wala sio wa Sikukuu.
Duuu uyo wana wanamgombania.yaani safari nje nje.
 
kila kidogo chakula chenye nutrients zote ni vyema Kukiko kuka sana halafu ni mataputapu .
Wengi tunadanganywa na ulimi .
 
kila kidogo chakula chenye nutrients zote ni vyema Kukiko kuka sana halafu ni mataputapu .
Wengi tunadanganywa na ulimi .
bila kujali unakula matapu tapu au mboga saba, cha kwanza ni kuganga njaa, kushiba ni maana yake ni kilidhika kwa tumbo. Tumbo halijalidhika hujashiba, na kama hujashiba unanjaa, alafu nikumbushe tu asilimia watu wasiokula vyakula visivyo pangiliwa, ndiyo wenye miili iliyojengeka na afya njema yenye nguvu tele. Hao wanaopangilia vyakula ukikuta mtu mnene kilimani anahema sana, uzito wake nguvu zake huwa haziendani na miili yao.
 
Lakini si unajua mbezi yote haina mgahawa, sehemu ambayo unaweza kaa umechomekea na ukatapata heshima ni Safari baar, maana pale kwa mama Tabu, akikuona unakushusha sana, sasa nani anataka kushuka.
kwa mama tabu ni hapa kwenye chocho?kuna babu mmoja anajua sana kucare wateja
 
Ukishiba sana ubongo hauwezi kufikiria vizuri manake upo busy kumeng'enya chakula!
Kula kwa kiasi inaepusha mengi.
 
Tatizo msosi wetu bongo n wamasaa utakuta wngne wana milo 2 kwa siku ss mtu anaona bora alee ndiiiiiiii iliawez kufidiA masaa mengn yanayobaki mpk kuutafuta mlo mwng....lkn wenztu wazngu utakuta asbh akiamk anaamkia na chai ikifka mida ya saa nne iv katupia labd kasupu hajakaa sana mid ya saa6 katupia matund kdgo imeend hy saa nane katafuna kakitu kma vicripsi amekaa saa kumi iv nd labd kala kawali kdg jion jion vinyama choma kidogo mpk kfki usku labd kanywa juicy yk nziiito n visaladii kdg aaha cku imepita hy. Huwez fananish na sisi tuNAokula mpk tusikie njaa matokeo yk nd hayo
 
Kuna baadhi ya makabila mtoto akiwa jandoni analishwa chakula kingi tena kwa mfululizo wakiamini eti ndiowatapona mapema na ukishindwa kumaliza huo msosi kwa muda waliokupangia ( dk 2 au 3) nikichapo cha hatari
 
Ndiyo ni hapo hapo, nikitoka hapo naenda kupata maziwa pale juu, stend mpya stend ya magari ya kinyelezi, jirani na ile baar.
nhahaaa kwa nyuma ya mama mnyiramba wa maziwa kuna bar kwa pembeni ni kitimoto tupu ipo chimbo fulani hivi
safari bar imepwaya baada ya kuvunjwa hivi karibuni
 
nhahaaa kwa nyuma ya mama mnyiramba wa maziwa kuna bar kwa pembeni ni kitimoto tupu ipo chimbo fulani hivi
safari bar imepwaya baada ya kuvunjwa hivi karibuni
Ni kweli ila sasa amejenga upya, anachotakiwa kufanya kuondoa lile jengo lililo bomolewa iwe sehemu ya kupaki magari, alafu ajenge sehemu inayokusanya watu wengi kama mwanzo.
 
Tatizo la afrika ni watu wanafanya kazi za ofisini kwenye viyoyozi wanakula kama watu wanaofanya kazi ya kulima au kuchimba mitaro kwa kutumia mikono
For sure yani ktk watu ambao inabidi wasile sana ni wale ambao shughuli zao wamekaa siku nzima
 
View attachment 364039

HUWA NATAFAKARI SANA

Ninapoona mama haridhiki mtoto akila chakula kidogo hadi anafikia kumchapa ati ale ashibe hadi aone tumbo limejaa

Mtu mzima anakula lakini asiposhiba yaani chakula kidogo haridhiki ...ukitaka kuuona huu ubishi hasa uende wanapouzia chips utasiki 'za kushiba'

Hivi hii asili yake ni nini hasa?

ina tija yoyote kwenye mwili ama akili ya mwanadamu ama ni mazoea tu y kurithi?


View attachment 364038

Je unapendelea kula sana hadi tumbo liwe gundu kama kindiki?

Fahamu kuwa kula sana hadi kuvimbiwa siyo sifa, bali ni hatari kwa afya yako. Unaweza kusababisha matatizo ya kiafya ambayo yasiyoweza kurekebishika.

Ni vizuri kula chakula kiasi kwa wakati mmoja ili kutunza afya bora na kupunguza kiungulia. Kula chakula kingi kupita uwezo kwa wakati mmoja hufanya tumbo kutanuka zaidi ya uwezo na kusababisha chakula kurudi kwenye njia ya koromeo.
A layman thinking .....
 
Kula mpaka ushibe sana inatokana na chakula chetu kuwa na calories chache pamoja na kutokuwa na uhakika kuwa utapata lini mlo mwingine hivyo tulijenga tabia ya kujaza matumbo kadiri ya uwezo wa matumbo yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom