CUTE
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 1,230
- 591
Mwambie Mjamaa aje nimpeleke kwa kina Mizengo P, AKAPEWE kitu cha KUNATIANA ili awe na AMANI YA ROHO.
Unataka kuua band sasa
Mwambie Mjamaa aje nimpeleke kwa kina Mizengo P, AKAPEWE kitu cha KUNATIANA ili awe na AMANI YA ROHO.
mm ni mmoja wao nipm mama hayo makitu mm tatoa gariWana JF,
mimi ni binti wa miaka 23, nimeolewa na nina mtoto mmoja. Kwa maumbile, sio siri nina makalio makubwa sana kiasi kwamba kila nikipita sehemu watu wote wanawake kwa wanaume hawaachi kunitazama.................mwanzoni nilikuwa naona aibu sana, lakini sasa hivi nimeshajizoelea...............I mean naona kawaida.
Juzi nilikorofishana na baba watoto, katika kujibizana maneno akanambia, .........."kwanza mwanamke gani wewe, ni presha tupu kukaa na wewe humu ndani................kama ningejua hayo makalio yatafikia hivyo, nisingekuoa..............." kwa hayo maneno nilijihisi vibaya sana na ilibidi ninyamaze kubishana................sasa naona amenichoka na ananitafutia sababu ya kuniacha...........ciju nifanyaje coz najua huu ci ugonjwa, wapo wanaonitamani!
Mkuu umeona mbali sana
Wana JF,
mimi ni binti wa miaka 23, nimeolewa na nina mtoto mmoja. Kwa maumbile, sio siri nina makalio makubwa sana kiasi kwamba kila nikipita sehemu watu wote wanawake kwa wanaume hawaachi kunitazama.................mwanzoni nilikuwa naona aibu sana, lakini sasa hivi nimeshajizoelea...............I mean naona kawaida.
Juzi nilikorofishana na baba watoto, katika kujibizana maneno akanambia, .........."kwanza mwanamke gani wewe, ni presha tupu kukaa na wewe humu ndani................kama ningejua hayo makalio yatafikia hivyo, nisingekuoa..............." kwa hayo maneno nilijihisi vibaya sana na ilibidi ninyamaze kubishana................sasa naona amenichoka na ananitafutia sababu ya kuniacha...........ciju nifanyaje coz najua huu ci ugonjwa, wapo wanaonitamani!
Mwambie Mjamaa aje nimpeleke kwa kina Mizengo P, AKAPEWE kitu cha KUNATIANA ili awe na AMANI YA ROHO.
Ww Jamaa umeongea sana point, ebu nenda kachukue beer kwa Mangi hapo, nakuja kulipaUmemalizia vizuri sana wapo wanaokutamani ila hawakupendi kama mumeo anavyokupenda wanataka tu wakutumie waishie zao so kuwa mwangalifu na ni vyema kama umejitambua kwa hilo