Kwani Ufaulu Kidato cha Nne ni Lazima ili Kusomea Ufundi?
Kwa mfano, kijana anataka kusoma mafunzo ya ufundi (VTC/VETA/NTA Level IV): Kwa nini baadhi wanaweka masharti ya kwamba alete cheti cha ufaulu kidato cha nne?
Lakini kama sitaki elimu ya vidato, nataka ya ufundi? Wao wanaotaka elimu ya vidato watajisikiaje watakapoambiwa hakuna kusoma sekondari mpaka uwe umehitimu VETA?
Lakini kama sitaki elimu ya vidato, nataka ya ufundi? Wao wanaotaka elimu ya vidato watajisikiaje watakapoambiwa hakuna kusoma sekondari mpaka uwe umehitimu VETA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.