Kwani udalali ni lazima iwe viwanja | nyumba | magari?

Gien Banks

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
304
734
Habarini Wandugu JF

To the Point

Kumekua na Dhana Kwamba Mtu kuwa dalali au kutaka kujihusisha na udalali ni lazima iwe kwenye viwanja / nyumba na Magari (magari ndio trend ya siku hizi) + ni kazi flani inadharaulika wakati majuu kuna watu millionaires in $ kwa udalali tu kwani hapa kwetu tuna fail nn ??

Dhumuni la kuleta uzi huu ikifaa ni ku brainstorm idea zingine za udalali mtu anaweza ji position as his / her profession na maisha yakaenda ukicheck swala la ajira limekua mtihani kwa sasa kwenye jamii zetu.

Idea mbili tatu za udalali ambazo mimi binafsi nimewaza

1. Spare za Magari
2. Kudalalia Mafundi
i.e
Fundi Welding (Unachukua kazi unatafuta fundi
Mnapatana bei and u make ur margin)

Fundi Masofa (hivyo hivyo)

Designer Clothing (Mambo ya Suit za Maharusi etc Washonaji wachache sana wengi wana idea tu ila washonaji ni wengine)

Karibuni Wadau Tu Share Maarifa.

My dream ni kuwa a big dalali in Kariakoo big tym.
 
MBNA Hao madalali wapo sisi madalali tunadalalia vitu tofauti tofauti,, kama mm
Simu, magari, ufundi simu n.k, TV, radio nasubwoofer, nguo, saa n.k na vyote na zaidi nimedalalia...
 
Mkuu mbona udalali upo wa aina nyingi tu hapa bongo wengine ni madalali wa mademu bongo hii.
Ukitaka demu mkali na huna connection unatoa noti watu wanakuletea na 10% wamekulaa.

Au hata hapo k.koo ukienda kununua bidhaa ujue kuna mtu wa kati kala hela yako labda kama umeongea na mwenye duka mwenyewe.
Uchumi wa kati. Mi 5 tena.
 
MBNA Hao madalali wapo sisi madalali tunadalalia vitu tofauti tofauti,, kama mm
Simu, magari, ufundi simu n.k, TV, radio nasubwoofer, nguo, saa n.k na vyote na zaidi nimedalalia...

Ni kweli ila wengine wanafanya kizamani sana wanaishia kupata hela ya mboga tu.

How do we do it in a big way such that we win and move out of the ghetto for good.

In a much more smatter way.
 
Mkuu mbona udalali upo wa aina nyingi tu hapa bongo wengine ni madalali wa mademu bongo hii.
Ukitaka demu mkali na huna connection unatoa noti watu wanakuletea na 10% wamekulaa.

Au hata hapo k.koo ukienda kununua bidhaa ujue kuna mtu wa kati kala hela yako labda kama umeongea na mwenye duka mwenyewe.
Uchumi wa kati. Mi 5 tena.


Hapo kwa bidhaa za kariakoo hapo. How does it go ?? Ndipo napo pataka mm.

Assuming simjui mtu kkoo na sina duka kkoo ila nataka niwe broker.
 
Hapo kwa bidhaa za kariakoo hapo. How does it go ?? Ndipo napo pataka mm.

Assuming simjui mtu kkoo na sina duka kkoo ila nataka niwe broker.
Unaenda kwa wenye maduka ya bidhaa unazotaka kuwa broker wake unawaomba picha za bidhaa na bei zake pia kuongea nao juu ya intention yako kutangaza biashara na kila kichwa utachukua asilimia fulani. Hakuna mfanyabiashara asiependa kuuza zaidi. Hivyo mtafikia makubalino ukileta mteja unachukua chako.
Inafika kipindi hadi mwenye duka anaweza kukupa bidhaa ukaondoka nayo kufanya delivery then pesa unampa badae.
 
Itakua wewe tu ndio umechelewa kujua udalali upo kwenye kila nyanja, hivi hapa kuna mtu nilimdalalia akapata kazi kwenye kampuni flani ni engineer kwenye mshahara wake nakula 25% kila mwezi .
 
Unapojaribu kwenda Beyond na wengine kuna mambo mawili
1)Upunguze gharama za Huduma ya mwanzo
2)UMake profit zaidi ya hao prayer wengine.

Sasa wewe instead kuja na kitu cha tofauti na chenye high profit margin kushinda hao uliowataja umeshuka chini zaidi.

Udalali ni game ya kuuza asset kuna asset nyingi ila kubwa ni Gari, Nyumba na Viwanja Big shark lazima wacheze na uwanja huo nilitegemea wewe kama Game changer uwende beyond kuleta kitu cha tofauti kwa Title ya uzi wako kama kudalalia kampuni zinazouzwa nk au kubadili udalali huohuo kuufanya kwatofauti kama Airnbnb nk ila naona wewe umeshuka chini zaidi kuelezea udalali wa vitu vyenye faida mbuzi.
 
Itakua wewe tu ndio umechelewa kujua udalali upo kwenye kila nyanja, hivi hapa kuna mtu nilimdalalia akapata kazi kwenye kampuni flani ni engineer kwenye mshahara wake nakula 25% kila mwezi

hapa unafanya wizi mzee .
 
Habarini Wandugu JF

To the Point

Kumekua na Dhana Kwamba Mtu kuwa dalali au kutaka kujihusisha na udalali ni lazima iwe kwenye viwanja / nyumba na Magari (magari ndio trend ya siku hizi) + ni kazi flani inadharaulika wakati majuu kuna watu millionaires in $ kwa udalali tu kwani hapa kwetu tuna fail nn ??

Dhumuni la kuleta uzi huu ikifaa ni ku brainstorm idea zingine za udalali mtu anaweza ji position as his / her profession na maisha yakaenda ukicheck swala la ajira limekua mtihani kwa sasa kwenye jamii zetu.

Idea mbili tatu za udalali ambazo mimi binafsi nimewaza

1. Spare za Magari
2. Kudalalia Mafundi
i.e
Fundi Welding (Unachukua kazi unatafuta fundi
Mnapatana bei and u make ur margin)

Fundi Masofa (hivyo hivyo)

Designer Clothing (Mambo ya Suit za Maharusi etc Washonaji wachache sana wengi wana idea tu ila washonaji ni wengine)

Karibuni Wadau Tu Share Maarifa.

My dream ni kuwa a big dalali in Kariakoo big tym.

Kwa USA kuna PIMP na GIGOLO.
 
Unapojaribu kwenda Beyond na wengine kuna mambo mawili
1)Upunguze gharama za Huduma ya mwanzo
2)UMake profit zaidi ya hao prayer wengine.

Sasa wewe instead kuja na kitu cha tofauti na chenye high profit margin kushinda hao uliowataja umeshuka chini zaidi.

Udalali ni game ya kuuza asset kuna asset nyingi ila kubwa ni Gari, Nyumba na Viwanja Big shark lazima wacheze na uwanja huo nilitegemea wewe kama Game changer uwende beyond kuleta kitu cha tofauti kwa Title ya uzi wako kama kudalalia kampuni zinazouzwa nk au kubadili udalali huohuo kuufanya kwatofauti kama Airnbnb nk ila naona wewe umeshuka chini zaidi kuelezea udalali wa vitu vyenye faida mbuzi.

Tupe idea za deal / idea za faida ng’ombe. Karibu
 
Watanzania na waafrica ni tumalala

Ngoja nikuchekeshe

Kuna wazungu walianzisha mfumo wa kuwa madalali wa hoteli wakajiita Booking.com ni mabilionaire

Kuna wazungu walianzisha mfumo wa kuwa madalali wa kupanngisha NYUMBA na vyumba wamejiita airbnb ni mabilionaire

Billionaire namba 2 duniani Jeff Bezos biashara yake iliyompa utajiri ni udalali, alianzisha mfumo wa kudalalia bidhaaa zinazouzwa na watu mbalimbali akauita Amazon

Sisi waafrica bado tuko usingizini
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Tupe idea za deal / idea za faida ng’ombe. Karibu
Kashakupa mdau huyu
Watanzania na waafrica ni tumalala

Ngoja nikuchekeshe

Kuna wazungu walianzisha mfumo wa kuwa madalali wa hoteli wakajiita Booking.com ni mabilionaire

Kuna wazungu walianzisha mfumo wa kuwa madalali wa kupanngisha NYUMBA na vyumba wamejiita airbnb ni mabilionaire

Billionaire namba 2 duniani Jeff Bezos biashara yake iliyompa utajiri ni udalali, alianzisha mfumo wa kudalalia bidhaaa zinazouzwa na watu mbalimbali akauita Amazon

Sisi waafrica bado tuko usingizini
 
Udalali upo kila nyanja hata ktk majeneza unaeongea nae ni dalali muuzaji yupo kushoto hata maeneo ya kuzikia unapigwa udalali wkt hutolewa bure ndo mana wanaandika usikubali kutoa pesa ili upewe eneo la kuzikia
 
Watanzania na waafrica ni tumalala

Ngoja nikuchekeshe

Kuna wazungu walianzisha mfumo wa kuwa madalali wa hoteli wakajiita Booking.com ni mabilionaire

Kuna wazungu walianzisha mfumo wa kuwa madalali wa kupanngisha NYUMBA na vyumba wamejiita airbnb ni mabilionaire

Billionaire namba 2 duniani Jeff Bezos biashara yake iliyompa utajiri ni udalali, alianzisha mfumo wa kudalalia bidhaaa zinazouzwa na watu mbalimbali akauita Amazon

Sisi waafrica bado tuko usingizini

Idea zipo nyingi tu, issue kilochofanya yale makampuni yakatoboa ni yalikua listed kwenye stock exchange.....si kingine.

Sasa kwetu huku watu tunataka kukaza wenyewe kila kitu.

Mfano yule jamaa hapa bongo alikua anajiita Mr. Problemsolved yupo wapi ?? Sina updates zake..madogo wanao fanya coding bla bla wengi naona wanaranda randa tu posta na vi apple laptop vyao hamna la maana. Tehe

Bongo Sihami 🤣
 
Habari, Mimi ni Johnson Yesaya Mgelwa, mkurugenzi mtendaji Ishai Real Estate.

Ishai Real Estate ni moja ya biashara chini ya kampuni inayoitwa Ishai Company Limited. Ishai Real Estate, ni biashara ya udalali ambayo inatumia zaidi tehama/teknolojia na mifumo ya kompyuta katika kuwakutanisha wauzaji na wanunuzi wa nyumba, viwanja, mashamba na mali zingine zisizohamishika.

Kupitia "Simu yako, Laptop, au kifaa chochote chenye internet" unaweza KUUZA, KUNUNUA au kupanga nyumba au chumba kupitia mtandao bila kukutana na dalali yeyote. Yote hayo unaweza kuyafanya kupitia tovuti yetu ya www.ishai.co.tz na App yetu ya Ishai Real Estate inayopatikana playstore.

Kama wewe ni mmiliki wa nyumba na unahitaji kuuza nyumba yako, piga picha nyumba au jengo lako na kisha ingia katika tovuti yetu inayopatikana kwa www.ishai.co.tz kisha juu kulia utaona neno post ad, hapo unaweza kuweka nyumba yako kwaajili ya mauzo. Hivyo hivyo kwa nyumba na vyumba vya kupangisha pamoja na mashamba.

Kwa watafutaji wa nyumba kwaajili ya kununua au kupanga, vyumba vya kupanga n.k wanatakiwa kuingia kwenye tovuti yetu ya www.ishai.co.tz na kutafuta aina ya mali wanayoitaka.

Lengo letu kuu ni kurahisisha zaidi namna watu wanavyoweza kupata makazi kwa urahisi zaidi bila madalali, yaani simu yako ndiyo dalali wako.

Tunapatikana katika mitandao yote ya kijamii

.Facebook. Ishai Real Estate
.Instagram. Ishai Real Estate
.Twitter. Ishai Real Estate
.YouTube. Ishai Real Estate
.Tiktok. Ishai Real Estate

Ofisi zetu zipo mikocheni Dar es-salaam
Tupigie /WhatsApp 0758218269 au 0628729934

Tovuti: www.ishai.co.tz
Ishai Real Estate Simu yako dalali wako .
-1030674115.jpg
IMG_20220921_203058_970.jpg
IMG_20220920_093635_356.jpg
IMG_20220919_213104_395.jpg
20220916_085654_0000.jpg
IMG_20220901_094317_470.jpg
IMG_20220813_140528_217.jpg
20220820_144431_0000.jpg
20220814_161841_0000.jpg
20220810_174856_0000.jpg
20220815_163345_0000.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom