kibaWaKitaa
Member
- Apr 26, 2021
- 26
- 55
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa vichekesho vya mchekeshaji namba moja kwa sasa (Mkojani) utagundua flow yake ya utoaji wa kazi imeshuka mno.
Mkojani alikua anatoa muvi moja au mbili ndani ya wiki moja na zote zikawa kali...lkn tang tuanze kumuona ona OnTop...maInterview kibao na deals kapata bas muvi ndo tunaziskilizia kwnye bomba.
Je, ni sawa yeye kuacha utaratibu wake ule ama hii itampoteza?
Mkojani alikua anatoa muvi moja au mbili ndani ya wiki moja na zote zikawa kali...lkn tang tuanze kumuona ona OnTop...maInterview kibao na deals kapata bas muvi ndo tunaziskilizia kwnye bomba.
Je, ni sawa yeye kuacha utaratibu wake ule ama hii itampoteza?