Kwani nini kimempata Mkojani?

kibaWaKitaa

Member
Apr 26, 2021
26
55
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa vichekesho vya mchekeshaji namba moja kwa sasa (Mkojani) utagundua flow yake ya utoaji wa kazi imeshuka mno.

Mkojani alikua anatoa muvi moja au mbili ndani ya wiki moja na zote zikawa kali...lkn tang tuanze kumuona ona OnTop...maInterview kibao na deals kapata bas muvi ndo tunaziskilizia kwnye bomba.

Je, ni sawa yeye kuacha utaratibu wake ule ama hii itampoteza?
 
Huyu jamaa ni pasua kichwa sana.
d0e812818e1d448fa88ff280cff904d0_1609094975444.jpg


Binafsi, bongo movie naweza kuangalia movie za wasanii wawili tu, Nabii Mswahili (Madebe) na Mkojani. Wako vizuri sana kila mmoja kwenye field yake ya ku-act.
 
Kama unajuana naye mpe ushauri huu;

Huyo character Mkojani kamuexploit sana kiasi kwamba sasa habebi uzito wa awali.

Afikirie zaidi script, story, continuity na mwisho wa story.

Arely zaidi kwenye humour kutoka kwenye convo kuliko mavazi na muonekano kwa ujumla.
 
Kama unajuana naye mpe ushauri huu;

Huyo character Mkojani kamuexploit sana kiasi kwamba sasa habebi uzito wa awali.

Afikirie zaidi script, story, continuity na mwisho wa story.

Arely zaidi kwenye humour kutoka kwenye convo kuliko mavazi na muonekano kwa ujumla.
Sawa mkuu
 
Jamaa mda wote ni masuala ya ngono tuu, na umahiri wa kutembea na wake za watu , na pia story ndeefu sana ,....
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom