Kwani ni makampuni mangapi yanatudai? Kila mtanzania akichangia shilingi 1000 tunaweza kulipa madeni?

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,884
Si jambo jema kuona Mali zetu tulizonunua kwa jasho letu zikikamatwa na wadaiwa wetu.tukiamua kuwa wazalendo twaweza kujikusanya tukalipa madeni yote.mfano mzuri ni wa wakiki Alberto msando amechangisha million tano kulipia deni pale Muhimbili.

Watanzania tuko more than 50 million .tukichukua tu 15 million na kila mmoja akachangia 1000 tunapata :150000000x1000=15 billion.

Ndugu zangu watanzania ,hatuwezi kutoka katika umsakini kama hatuna mshikamano.Faida ya ndege zetu ni kwetu sisi watanzania wote .Faida itokanayo na ndege zetu tutajengewa Barbara,mashule,mahospital,tutanunua dawa za hospital ,mkopo wa elimu ya juu,mishahara ya wafanyakazi nk.

Mitandao ya simu inaweza kusaidia kukusanya michango hiyo kama bunge likiridhia hili.
Kwanini tuzalilishwe eti kisa madeni.
 
Hii iwe kila mwezi na ianze mara moja na kila mwenye passport inayosoma Tanzania achangie...Uzalendo unaanza na wewe..
 
Kwanza serikali itulipe madeni yetu tunayoidai ndiyo tuanze kufikiria hayo mengine!
 
Yaani madudu mfanye wenyewe halafu gharama za kulipa tulipe sisi! Kama vipi uzeni kile kivuko cha Bagamoyo ili pesa itakayopatikana, ikakombolee hiyo ndege.
 
Mkuu umejuaje kuwa sababu ya ndege kushikiliwa ni kutokana na madeni? Nijuze zaidi ili na mimi nikienda kusimulia watu wengine nikiulizwa nisikose jibu.
 
Shida watu watapata kichaka cha kupiga, michango itolewe kunakostahili serikali inakusanya kodi
 
Si jambo jema kuona Mali zetu tulizonunua kwa jasho letu zikikamatwa na wadaiwa wetu.tukiamua kuwa wazalendo twaweza kujikusanya tukalipa madeni yote.mfano mzuri ni wa wakiki Alberto msando amechangisha million tano kulipia deni pale Muhimbili.

Watanzania tuko more than 50 million .tukichukua tu 15 million na kila mmoja akachangia 1000 tunapata :150000000x1000=15 billion.

Ndugu zangu watanzania ,hatuwezi kutoka katika umsakini kama hatuna mshikamano.Faida ya ndege zetu ni kwetu sisi watanzania wote .Faida itokanayo na ndege zetu tutajengewa Barbara,mashule,mahospital,tutanunua dawa za hospital ,mkopo wa elimu ya juu,mishahara ya wafanyakazi nk.

Mitandao ya simu inaweza kusaidia kukusanya michango hiyo kama bunge likiridhia hili.
Kwanini tuzalilishwe eti kisa madeni.
Mkuu vuta subira. Wajuaji wachonge dili bila hata bp na waweke matumboni 10%. Kumbe dili mbovu na sisi tuliisha lipia 110% - 100 bei halisi na 10 waliyoweka matumboni. Unapata wapi msuri wa kusema tuchangie tena?
 
Si jambo jema kuona Mali zetu tulizonunua kwa jasho letu zikikamatwa na wadaiwa wetu.tukiamua kuwa wazalendo twaweza kujikusanya tukalipa madeni yote.mfano mzuri ni wa wakiki Alberto msando amechangisha million tano kulipia deni pale Muhimbili.

Watanzania tuko more than 50 million .tukichukua tu 15 million na kila mmoja akachangia 1000 tunapata :150000000x1000=15 billion.

Ndugu zangu watanzania ,hatuwezi kutoka katika umsakini kama hatuna mshikamano.Faida ya ndege zetu ni kwetu sisi watanzania wote .Faida itokanayo na ndege zetu tutajengewa Barbara,mashule,mahospital,tutanunua dawa za hospital ,mkopo wa elimu ya juu,mishahara ya wafanyakazi nk.

Mitandao ya simu inaweza kusaidia kukusanya michango hiyo kama bunge likiridhia hili.
Kwanini tuzalilishwe eti kisa madeni.
Wazo mtambuka kwanini tusiuze mali za ccm tukalipa madeni
 
Mbona tunachangia laki kadhaa kila mwezi tunakatwa kodi za mishahara. Hawa ni mafisadi tu wanajinufaisha matumbo yao na familia zao. Mm nataka wakamate hata hii anga ya Tanzania mia sichangii.
 
Si jambo jema kuona Mali zetu tulizonunua kwa jasho letu zikikamatwa na wadaiwa wetu.tukiamua kuwa wazalendo twaweza kujikusanya tukalipa madeni yote.mfano mzuri ni wa wakiki Alberto msando amechangisha million tano kulipia deni pale Muhimbili.

Watanzania tuko more than 50 million .tukichukua tu 15 million na kila mmoja akachangia 1000 tunapata :150000000x1000=15 billion.

Ndugu zangu watanzania ,hatuwezi kutoka katika umsakini kama hatuna mshikamano.Faida ya ndege zetu ni kwetu sisi watanzania wote .Faida itokanayo na ndege zetu tutajengewa Barbara,mashule,mahospital,tutanunua dawa za hospital ,mkopo wa elimu ya juu,mishahara ya wafanyakazi nk.

Mitandao ya simu inaweza kusaidia kukusanya michango hiyo kama bunge likiridhia hili.
Kwanini tuzalilishwe eti kisa madeni.

Kodi ninayokamuliwa (na inatumika vibaya) inawatosha. Silipi hata senti tano zaidi.
 
Mipango siyo matumizi...

Kwa nini tuchangishane? Kwani kodi tunazokatwa zinaenda wapi au zinafanya nini?

Ila hao wanaocheza na mali za Tanzania wanamchezea mwenyeketi siyo, hawamjui vizuri...



Cc: mahondaw
 
Kwani ni makampuni mangapi yanatudai? Kila mtanzania akichangia shilingi 1000 tunaweza kulipa madeni?
Naona nyie wezi mnaotafuna hela zetu laana imeanza kuwatafuna na iwatafune bila huruma. Ona sasa, baada kuvimbiwa mmeanza bila aibu kujitokeza moja moja kwa kujitaja...leo @zamlenda, kesho sijui atafuata nani! Watanzania tunawachora tu na mkae mkijua mtakuja kuzitapika bila kupenda na hatutajali mnazitapika kupitia matundu gani...ni swala la muda tu na siku ya siku haiko mbali. Shenzi type!
 
Back
Top Bottom