Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

Nyani nakusapot 100 % wapinzan hawajielew ivi walitegemea nn kwa tume ile ile ilioteuliwa na watu wale wale tena mtu alisha sema anamlipa mkurugenzi then mkurugenz amtangaze mpinzani hiv hawa ndugu zetu walitegemea kutangazwa wameshinda uchaguzi kwa tume hii mkurugenzi ni kama tena hata hajifichi viongozi wa upinzan mjitafakari sana hamjui mnachotaka na hamjui mnachopigania such a bunch of stupid people shame wanawazid ata hawa walio rig this election
Na 2025 watashiriki tena katika mazingira haya haya na watategemea kushinda!
 
Kuna sababu nyingi za kushiriki uchaguzi. Kwa uongozi wa sasa kususia uchaguzi ni kosa kubwa kwani kunawanufaisha sana wanasiasa wasiokuwa na uwezo wa kushindana kwa hoja. Faida ya kushiriki ni kubwa sana kuliko kususia uchaguzi.
1. Kampeni ilidhihirisha udhaifu mkubwa wa ccm; hasira hiyo ya kuzidiwa hoja jukwaani ndiyo imepelekea uharamia tunaoshuhudia kama njia ya kujifariji.
2. Pamoja na ubabe wote wagombea wa ccm walilazimika kupiga magoti kuomba kura
3. Watanzania na dunia nzima sasa wanajua ccm hawana uwezo wa kushindana kwenye uchaguzi.
4. Matokeo yanayotangazwa ni hadaa tu kuwa upinzani umefutika wakati kila mtu anajua wameporwa ushindi.
 
Kuna sababu nyingi za kushiriki uchaguzi. Kwa uongozi wa sasa kususia uchaguzi ni kosa kubwa kwani kunawanufaisha sana wanasiasa wasiokuwa na uwezo wa kushindana kwa hoja. Faida ya kushiriki ni kubwa sana kuliko kususia uchaguzi.
1. Kampeni ilidhihirisha udhaifu mkubwa wa ccm; hasira hiyo ya kuzidiwa hoja jukwaani ndiyo imepelekea uharamia tunaoshuhudia kama njia ya kujifariji.
2. Pamoja na ubabe wote wagombea wa ccm walilazimika kupiga magoti kuomba kura
3. Watanzania na dunia nzima sasa wanajua ccm hawana uwezo wa kushindana kwenye uchaguzi.
4. Matokeo yanayotangazwa ni hadaa tu kuwa upinzani umefutika wakati kila mtu anajua wameporwa ushindi.
Haya, na waendelee kushiriki tu na nyie msiache kupiga kura.
 
Mkuu Nyani Ngabu wazo lako zuri sana hata mm nilikuwa nafikiria hivyo ila shida inakuja ukiachilia mbali ACT na Chadema vile vyama vingine mi naona sio wapinzani wangeshiriki kwakuwa vile vyama viliwahi kulaani Chadema wanatoa kauli za uchochezi
Je kugoma kwa Chadema na ACT tu ingewasaidia ilihali vyama kama TADEA vinashiriki?
 
Hapana!

Hakuna kilicho kipya!

Mazingira ya uchaguzi wa 2020 ndo yale yale ya 2015, 2010, 2005!

Tatizo ni usahaulifu wenu tu.

Mwaka jana wapinzani waligomea uchaguzi serikali za mitaa-kulitokea nini?

Mwaka 1995 waligomea uchaguzi wa marudio Dar-Kitu gani kilifanyika?

Bunge la katiba walisusia-Ilisaidia nini?
 
Mkuu Nyani Ngabu wazo lako zuri sana hata mm nilikuwa nafikiria hivyo ila shida inakuja ukiachilia mbali ACT na Chadema vile vyama vingine mi naona sio wapinzani wangeshiriki kwakuwa vile vyama viliwahi kulaani Chadema wanatoa kauli za uchochezi
Je kugoma kwa Chadema na ACT tu ingewasaidia ilihali vyama kama TADEA vinashiriki?
Tadea hata wakishiriki siwezi kukosa usingizi.

They are a non-factor.

Mimi nazungumzia vyama vinavyo matter.
 
Mwaka jana wapinzani waligomea uchaguzi serikali za mitaa-kulitokea nini?

Mwaka 1995 waligomea uchaguzi wa marudio Dar-Kitu gani kilifanyika?

Bunge la katiba walisusia-Ilisaidia nini?
Kugoma kunapaswa kuwe sustained.

Pia, kunapaswa kuendane na mbinu zinginezo.

Sijasema kugoma kuwe ndo kila kitu.

Hata hivyo, mimi sina akili. Nimeishia kidato cha 4. Ndo maana nabeba maboksi sasa hivi.

Na ndo maana labda ninatoa ushauri wa kizuzu.

Basi ni bora waendelee tu kushiriki hizo chaguzi maana wao na wafuasi wao wana akili kuliko mimi.

Wasubiri 2025 wagombee tena.
 
Kweli bila ya hivyo kugoma labda CHADEMA na ACT tutafute mbinu nyingine ila sio kwa Masanduku ambayo kila kitu wanafanya CCM kuaandaa uchaguzi au tufanye kampeni ikifika uchaguzi tunagoma maana hata ukishiriki wanashinda wao
 
Kweli bila ya hivyo kugoma labda CHADEMA na ACT tutafute mbinu nyingine ila sio kwa Masanduku ambayo kila kitu wanafanya CCM kuaandaa uchaguzi au tufanye kampeni ikifika uchaguzi tunagoma maana hata ukishiriki wanashinda wao

Kushiriki ukafanyiwa uovu ndo unakuwa na proof kuwa ni waovu kweli, otherwise watakugeuzia kibao kuwa hauko serious katika kutafuta ridhaa za wananchi.
 
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
Unavyo jifanya unajua hebu jaribu kuongoza hata chama chama marehemu Mtikila tukuone, ni rahisi sana kukosoa fanya wewe tuone mfano
 
Kwenye mpangilio wa siasa za vyama vingi nikiangalia kushoto kulia tuna lean towards the rwandan model. Au mnasemaje great thinkers?
 
Hapana mkuu sina chuki na Lowasa. Ila hayo yote si mapya kwenye chaguzi zetu. Hivi kweli unategemea hiyo fairness itatoka mbinguni? Anyway tuendelee kuomba CCM wawe fair
Nope una blame upinzani kwa kitu ambacho Kiko nje ya uwezo wao hasa awamu hii wamepitia machungu mengi so kulaumu wao ni uonevu, Kuna mtu anaweza shindana na mkono wa chuma wa jiwe Jana tu hyo unaenda piga kura wako ccm maboksi yamejaa kura hamna mawakala wengine. Jukumu la kutetea masilahi ya nchi ni letu sote sio kulaumu upinzani na Sasa wamebaki ccm ndio furaha ya wengi
 
Hahaha
tapatalk_1604007241081.jpeg
tapatalk_1604007236110.jpeg
 
Kwangu kushiriki uchaguz ni fursa isiopaswa kuachwa kwa sababu
Tumekagua uhai wa chama to the grassroots
Wamemuonesha mtawala vile hakubaliki.
Wamefungua ufaham wa watu wengi zaid n kuongeza wanachama.
Wamejenga Imani zaidi kwa watu.
Wamesikiliza kero za watu.
Mwisho huwez msusia fisi bucha
 
Back
Top Bottom