Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
- Thread starter
- #161
Na 2025 watashiriki tena katika mazingira haya haya na watategemea kushinda!Nyani nakusapot 100 % wapinzan hawajielew ivi walitegemea nn kwa tume ile ile ilioteuliwa na watu wale wale tena mtu alisha sema anamlipa mkurugenzi then mkurugenz amtangaze mpinzani hiv hawa ndugu zetu walitegemea kutangazwa wameshinda uchaguzi kwa tume hii mkurugenzi ni kama tena hata hajifichi viongozi wa upinzan mjitafakari sana hamjui mnachotaka na hamjui mnachopigania such a bunch of stupid people shame wanawazid ata hawa walio rig this election