figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,851
JF member mzima na ukubwa wote unaogopa nisikushike mkono kisa eti kuna watu unaheshimiana nao.wewe ni mpenzi wangu ni haki yangu kukushika mkono,kiuno,kukuwekea mkono begani n.k.sasa kwanini ukubali kutoka na mimi kama unaogopa kukaa na mpezio?sijajua dhamila yako.kama una figganigga mwingine bora useme mapema nisepe.mimi mapenzi ya siri siyawezi.na huu ndo mwanzo ntaendelea kukushika kila ninapojiskia.ujumbe umefika.mia