BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Naomba kuuliza hivi ni kwanini watu wengi wakiwa wananunua magari wanaagiza Japan?
Kama ni kununua gari mpya (Toyota) si vibaya kununua Japan kwakuwa ndipo kiwanda chao kilipo hivyo bei itakuwa chini kidogo lakini hata used? used hata Ujerumani si zipo, ufaransa, uingereza nk
Kwanini tusiagize huko? je kwanini watu wanapenda Japan? kuna faida yoyote ile? au ukiagiza toka Japan kodi yake ni ndogo si sawa na ukiagiza kutoka nchi za ulaya?
Kama ni kununua gari mpya (Toyota) si vibaya kununua Japan kwakuwa ndipo kiwanda chao kilipo hivyo bei itakuwa chini kidogo lakini hata used? used hata Ujerumani si zipo, ufaransa, uingereza nk
Kwanini tusiagize huko? je kwanini watu wanapenda Japan? kuna faida yoyote ile? au ukiagiza toka Japan kodi yake ni ndogo si sawa na ukiagiza kutoka nchi za ulaya?