Kwani Kungekuwa na tofauti gani kama CAG angestaafu miaka miwili ijayo na kutorenew contract?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,576
15,337
Mjadala huu naona kama hauna nguvu sana kimantiki.

Labda kama kuna jambo kubwa hapo ameondolewa ili asiliibue lkn sijaona.
Vinginevyo sioni tofauti kama angeondoka miaka miwili ijayo na hiki kilichotokea leo.

Ila Nitakachokikumbuka...

1: Ndio CAG aliyefanya kazi kiasi cha kufanya neno CAG kujulikana hata na wasiofuatilia mambo.

2: Anaondoka akiwa ameibua mambo mengi makubwa ambayo yanamtosha kupumzika akiicha historia itoe hukumu.

3: Ameondoka niliwa natamani angekuwa ndio anaingia, Alikuwa Imara kuliko kiongozi wowote wa kisiasa au kiselikali ambaye nimewahi kumuona au kumsikia nchini. Msimamo wa chuma.


Kukubwa tuache hisia kali za kisiasa na kushuku bila ushahidi, Tumuache huyu aliyeingia wenda akaanza na ukaguzi wa manunuzi ya ndege zetu njema tunazojivunia.


Mungu Mbariki Prof Assad
Mungu Ibariki Tanzania.

Ameondoka kiharamu au kihalali hiyo sio hoja, maana nimefuatilia minyukano ya kisheria humu nimeona kama Mizani imebalance pote. Nimebaki natangatanga nishike kipi nimeamua kumpongeza tu Prof Assad kwa utumishi mtukufu.
 
Uharaka wa hili tukio zima... Uteuzi, kuapishana na vijembe vilivyotolewa wakati wa hotuba vinadhihirisha kuwa nchi haipo kwenye mikono salama...!
Yangu macho...!
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa

Kwa Magufuli hakuna ujanja ujanja
 
Uharaka wa hili tukio zima... Uteuzi, kuapishana na vijembe vilivyotolewa wakati wa hotuba vinadhihirisha kuwa nchi haipo kwenye mikono salama...!
Yangu macho...!
mkuu uharaka na upolepole ungeleta tofauti gani.
vijembe mkuu tumezoea tangu Day 1
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa

Kwa Magufuli hakuna ujanja ujanja
wapinzani kwani bado wapo mkuu, naona kama wameshacompromise wote wamebaki wachache sana.
nadhani labda utumie neno '' wananchi'' sio ''wapinzani''
 
mkuu uharaka na upolepole ungeleta tofauti gani.
vijembe mkuu tumezoea tangu Day 1
Hivi wewe hujiulizi... Yule wa zamani masaa yake ofisini yanaisha leo usiku saa 6.. Na ukumbuke uteuzi na uapishaji vyote vimefanyika vikiashiria kuwa ni "termination"; yes Un-Fair Termination!

Alafu JPM kahutubia akipiga biti kuwa huwezi kuwa mamlaka ya uteuzi ukakosa mamlaka ya utumbuaji!
Wewe na Mimi na kila mtu tunafahamu kinga alizonazo CAG baada ya kuapishwa!!
Hushtuki tu!
 
Huwezi kuwa na uwezo wa kuteua usiwe na uwezo wa kutengua tumemsikia. Na kutengua kuna sababu hatakama ni ya siri
Mjadala huu naona kama hauna nguvu sana kimantiki.

Labda kama kuna jambo kubwa hapo ameondolewa ili asiliibue lkn sijaona.
Vinginevyo sioni tofauti kama angeondoka miaka miwili ijayo na hiki kilichotokea leo.

Ila Nitakachokikumbuka...

1: Ndio CAG aliyefanya kazi kiasi cha kufanya neno CAG kujulikana hata na wasiofuatilia mambo.

2: Anaondoka akiwa ameibua mambo mengi makubwa ambayo yanamtosha kupumzika akiicha historia itoe hukumu.

3: Ameondoka niliwa natamani angekuwa ndio anaingia, Alikuwa Imara kuliko kiongozi wowote wa kisiasa au kiselikali ambaye nimewahi kumuona au kumsikia nchini. Msimamo wa chuma.


Kukubwa tuache hisia kali za kisiasa na kushuku bila ushahidi, Tumuache huyu aliyeingia wenda akaanza na ukaguzi wa manunuzi ya ndege zetu njema tunazojivunia.


Mungu Mbariki Prof Assad
Mungu Ibariki Tanzania.

Ameondoka kiharamu au kihalali hiyo sio hoja, maana nimefuatilia minyukano ya kisheria humu nimeona kama Mizani imebalance pote. Nimebaki natangatanga nishike kipi nimeamua kumpongeza tu Prof Assad kwa utumishi mtukufu.
 
Hivi wewe hujiulizi... Yule wa zamani masaa yake ofisini yanaisha leo usiku saa 6.. Na ukumbuke uteuzi na uapishaji vyote vimefanyika vikiashiria kuwa ni "termination"; yes Un-Fair Termination!

Alafu JPM kahutubia akipiga biti kuwa huwezi kuwa mamlaka ya uteuzi ukakosa mamlaka ya utumbuaji!
Wewe na Mimi na kila mtu tunafahamu kinga alizonazo CAG baada ya kuapishwa!!
Hushtuki tu!
mkuu sijashtuka sana, ila nimeshtuka tu niliposikia kumbe hata ndani ya mwaka mmoja CAG anaweza kutumbuliwa na mteuzi.


'' Unfair Termination?'' mkuu hii mbona kama unaongeza chumvi mzee dingi.
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Prof. Assad hajastaafu. Hakuna anayestaafu akiwa na miaka 58.Kilichotokea ni mkataba wake kutokuwa renewed. Katiba haiilazimishi mamlaka ya uteuzi kurenew mkataba baada ya miaka mitano ya kwanza kumalizika
 
mkuu sijashtuka sana, ila nimeshtuka tu niliposikia kumbe hata ndani ya mwaka mmoja CAG anaweza kutumbuliwa na mteuzi.


'' Unfair Termination?'' mkuu hii mbona kama unaongeza chumvi mzee dingi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bora iwe hata chumvi unaweza kuongeza maji ukaendelea kula...
Nimeweka petroli kabisa...!!
 
Prof. Assad hajastaafu. Hakuna anayestaafu akiwa na miaka 58.Kilichotokea ni mkataba wake kutokuwa renewed. Katiba haiilazimishi mamlaka ya uteuzi kurenew mkataba baada ya miaka mitano ya kwanza kumalizika
Mkuu mimi nakubaliana nae. Huyu JPM anachokonoa kona za katiba ambazo huwa hatuzifikirii.
Nimegundua katiba na sheria huwa tunazikariri kama mapokeo.
Nilikuwa sijui hiyo concept ya miaka 5. Zamani nilikiwa najua CAG ataondoka akijisikia, au kama kafanya ufisadi kwa njia ya tume au kwa kifo au kustaafu kisheria.

Leo nimeongeza ufikiri mpya, maana majadiliano yote kwenye hiki kipengere sijaona mtu aliyekipinga kimantiki.
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa

Kwa Magufuli hakuna ujanja ujanja
mkuu alafu avator yako kama membe huyo. au nani? samahani kwa swali nje ya mada.
 
Back
Top Bottom