Ohhh....mkononi mkuu
Hata akitaka kuvaa za kiunoni?Sio kweli. Fanya kile roho yako inafurahia..
Bado kesho tunamalizia practicalMitihani ya form 4 imeisha?
Sa hata culture unauliza mkali,hizo ni pigo sio za kila siku ila kuna siku unaliamsha man ,by the way just joke broMkuu usidhani kila mtu anatokea kijijini fara wewe
Ooh kumbeeMwanaume anavaaje kiunoni?
Culture Aina jinsia Mkuu unavaa tuuWakuu mimi napenda sana kuvaaa 'kacha' (Culture) za shanga wanazovaa Wamasai na napenda kuvaa za bendera za Africa, ila kuna watu huwa wananiambia hizi kacha wanastaili wavae watoto wa kike.
Je, ni kweli au?
Kwahiyo hata kama ni kiunoni ni sawa tuu?!Sio kweli. Fanya kile roho yako inafurahia..