PRJ2012
Member
- Oct 10, 2019
- 30
- 25
Siku hizi kuweka contact lens na kubandika kope imekuwa habari ya mjini. Ni wadada wachache sana ambao hawafuati trend hii.
Ila sasa jamani dada zangu mnapobandikwa vibaya kope huwa hamuoni? Shida ni kukosa wataalamu wa kazi hizi au mnafanya kwa bei chee? Kiukweli muda mwingine unatamani kuuliza mtu amekumbwa na nini usoni ila ndo hivyo tena sio kazi yako.
Macho ni sehemu sensitive sana jamani na inahitaji umakini mkubwa. Kuna urembo wa kuacha tu upite usilazimishe kufanya kila kitu utajikuta unapofuka bure.
Kuna wengine wanapendeza lakini 😂
Ila sasa jamani dada zangu mnapobandikwa vibaya kope huwa hamuoni? Shida ni kukosa wataalamu wa kazi hizi au mnafanya kwa bei chee? Kiukweli muda mwingine unatamani kuuliza mtu amekumbwa na nini usoni ila ndo hivyo tena sio kazi yako.
Macho ni sehemu sensitive sana jamani na inahitaji umakini mkubwa. Kuna urembo wa kuacha tu upite usilazimishe kufanya kila kitu utajikuta unapofuka bure.
Kuna wengine wanapendeza lakini 😂