mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Hongera mhasibu wa chadema kwa kutoa siri za chama.Chadema wangeisha fanya ,tatizo fedha yote ya ruzuku anachukua Mbowe,anakidai chama kwa muda mrefu sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar ni Nchi wana Katiba yaoNaomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu wameshaanza kujipa moyo eti Znz inajitegemea, hawamjui Zitto vizuri. 2020 ndo watamfahamu vizuri. Na niliwauliza 2015 ACT ilitoa wapi Ela za kampeni?, Mpaka Sasa hivi sijapata jibu. Wajinga ndio waliwao.Kuna Watu wa ' Upinzani ' nchini Tanzania wanadhani Mtu mmoja ni Mwenzao na wanamuamini kwa 99% hadi wanamkaribisha ' Jikoni ' Kwao ila wangejua kama kuna Mtu ambaye ndiyo anawaumiza na anawachuuza huku akiwasanifu ni ' Mtu Fulani ' hivi na mpaka wakija Kumshtukia nina uhakika watakuwa wameshapotea na kuvurugika kabisa. Naomba niishie hapa tafadhali.
Ha ha Baba chipa your in shock alit ukija kwa Jakaya kwa Nyie washamba endeleeni kulia mchezo mkali mumechezewa hamkutegemeaKuna Watu wa ' Upinzani ' nchini Tanzania wanadhani Mtu mmoja ni Mwenzao na wanamuamini kwa 99% hadi wanamkaribisha ' Jikoni ' Kwao ila wangejua kama kuna Mtu ambaye ndiyo anawaumiza na anawachuuza huku akiwasanifu ni ' Mtu Fulani ' hivi na mpaka wakija Kumshtukia nina uhakika watakuwa wameshapotea na kuvurugika kabisa. Naomba niishie hapa tafadhali.
Naomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Wewe unaamini Zitto ni mpinzani?.Naomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Msiwe wageni wa mambo. Hii ni zuga tangu kipindi cha Mwl Nyerere, uraisi wa Shein hautambuliki popote Duniani, hata UN hawamtambui kama Raisi ndo maana huwa haendi popote kama raisi. Zanzibar haina jeshi, haina uwakilishi popote duniani.Ilikuwa ni njia aliyoitumia Nyerere kuwatawala wa Znz Smoothly nao wakaingia mkenge. Raisi wa Zanzibar ni kama pambo tu. Umewahi kusikia Znz ina balozi nchi fulani?,.. Raisi wa Jamhuri ya Muungano ( Znz ikiwemo)ni JPM, jeshi ni moja tu la JWTZ.Hii topic ni pana ifatilie utaelewa tu.Sehemu gani tena nyingine ya Tanzania ina Rais wake kama Zanzibar?
Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
Mkuu tokea lini Zanzibar ikawa nchi . Zanzibar ni sehemu ya Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto na Mbowe wote siyo wapinzani hilo halina mjadala!Wewe unaamini Zitto ni mpinzani?.
Ni nchi kwenye challenge CUPZanzibar si nchi…….Zanzibar ni nchi!
Zanzibar sio nchi, haitambuliki UN wala popote, nchi ni TanZanIa(Tanganyika + Zanzibar), hata Raisi wa Znz hatambuliki popote Duniani. Nyerere aliwaongopea wa Znz ili kuwatawala kirahisi.Umewahi kusikia balozi wa Znz nchi yoyote Duniani?, Umewahi kusikia Raisi wa Zanzibar atembelea nchi fulani Kama Raisi?.. Yule ni raisi mapambo tu(geresha). Fatilia vizuri utaelewa.Zanzibar ni Nchi wana Katiba yao
Zanzibar sio nchi, haitambuliki UN wala popote, nchi ni TanZanIa(Tanganyika + Zanzibar), hata Raisi wa Znz hatambuliki popote Duniani. Nyerere aliwaongopea wa Znz ili kuwatawala kirahisi.Umewahi kusikia balozi wa Znz nchi yoyote Duniani?, Umewahi kusikia Raisi wa Zanzibar atembelea nchi fulani Kama Raisi?.. Yule ni raisi mapambo tu(geresha). Fatilia vizuri utaelewa.
zanzibar ni nchi au sio nchii? jibu kwanza hiloNaomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Wewe kwako ziko mwili mzima. Totally contaminated.Kama zilizopo Kichwani Kwako.