MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,415
- 4,881
Mapunguani wenzioWananchi ni sisi tumeamua hatuwataki akina Mbowe,Zitto et al
Mapunguani wenzioWananchi ni sisi tumeamua hatuwataki akina Mbowe,Zitto et al
Kwani demokrasia ni kuchagua wabunge wa chama kimoja cha kidola?Ndugu zangu,
Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.
Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!
Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.
Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!
Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM na Magufuli wameshinda uchaguzi huu wa 2020.Ndugu zangu,
Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.
Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!
Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.
Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!
Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
Asiyekubali kushindwa si mshindani
Kwani demokrasia ni kuchagua wabunge wa chama kimoja cha kidola?
Na matahira ndio wapiga kura sasa wenye akili zao mabishoo wako na simu zao tu wanachamba serikaliNi mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM na Magufuli wameshinda uchaguzi huu wa 2020.
Unajua wakati mwingine wewe mwenyewe unatakiwa ujiongeze.Usikubali kuchanganyiwa akili zote na viongozi wa chadema.Kama sera za mafly over zimeeleweka vyema inakuaje tena vibaka wenu wamekamatwa live na kura kwenye mabegi na vikapu ili kumnusuru mzee pombe??
How old are you?Unajua wakati mwingine wewe mwenyewe unatakiwa ujiongeze.Usikubali kuchanganyiwa akili zote na viongozi wa chadema.
Jiulize maswali ya msingi
1-Kama kweli karatasi za kupiga kura zilikamatwa
(i) Alikamatwa nani?
(ii) Alikamatwa na nani?
(iii) Huyo aliyekamata alichukuwa hatua au uamuzi gani?
(iv) Kuwa sehemu ye yote ya mamamiko ya kukamata karatasi za kupigia kura kulitolewa taarifa? (iwe tume ya uchaguzi au police?)
(v)Aliyetoa taarifaa alifuatilia kujua hatua ambazo zimechukuliwa?
Niwapelekee majizi na wauaji wataniua tu. Sina mbunge mimi na wala mbunge si kazi yake kutatua Kero zangu wakati zake na za chama chake zimeatamiwa na kichaa.Kamanda peleka kero zako kwa Mbunge wako zitatuliwe,jazba itakuua