jijiletublog
Member
- Jul 23, 2020
- 31
- 74
Wenye akili ndio wanajua kuwa Magufuli kashinda kwa kishindo lakini manyumbu ayawezi kuelewa maana yanapelekwa tuNi wapumbavu na wajinga pekee watakaokubaliana na matokeo ya uchaguzi huu,huyo Machage na Mpuuzi mwenzake ni wasaka tonge tu,hii nchi CCM imechokwa ila wanalazimisha tu ,wanaotetea udhalimu uliofanywa na NEC kuipa ushindi CCM ni wale wenye maslahi na hiki chama na si mamilioni ya Watanzania walioteseka chini ya CCM kwa zaidi ya miaka 50.