Kwani demokrasia ni kuchagua wabunge wa CHADEMA na ACT-Wazalendo?

Ni wapumbavu na wajinga pekee watakaokubaliana na matokeo ya uchaguzi huu,huyo Machage na Mpuuzi mwenzake ni wasaka tonge tu,hii nchi CCM imechokwa ila wanalazimisha tu ,wanaotetea udhalimu uliofanywa na NEC kuipa ushindi CCM ni wale wenye maslahi na hiki chama na si mamilioni ya Watanzania walioteseka chini ya CCM kwa zaidi ya miaka 50.
Wenye akili ndio wanajua kuwa Magufuli kashinda kwa kishindo lakini manyumbu ayawezi kuelewa maana yanapelekwa tu
 
Mchange njaa inamsumbua sana huyu jamaa. Hanaga msimamo. Alipoondoka ACT alitangaza hadharani kwamba hataki kujihusisha na siasa, lakini njaa inamtesa.

Hana mbele wala nyuma, analazimika kuwa malaya wa kisiasa.
Na wewe unambele kweli?
 
Tukirejea katika Bunge lililopita, laiti vyama vya Upinzani vingekuwa na Wabunge wengi, huenda wangefanikiwa kuishinikiza Serikali ifanye "lockdown" jambo ambalo kama ilivyotokea kwa nchi jirani lingepelekea mateso makubwa kwa mamilioni ya wananchi. Kwa kuzingatia ukweli kuwa uchaguzi huu umefanyika katika mazingira ya COVID 19 duniani, haikwepeki kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa ni kipimo cha uongozi.

Kama inavyoeleweka, nyakati za majaribu ni nyakati za uongozi. Watu ama hubadilisha uongozi kwa kutafuta jemadari mpya, ama huwekeza imani zaidi kwa jemadari aliyepo anayefanya vizuri.

Watanzania wameling'amua hilo-na wamejibu katika sanduku la kura kuizawadia CCM ushindi wa kishindo. Haishangazi pia kuwa Serikali zilizoshindwa kuendesha mapambano haya kwa ufanisi- zimeadhibiwa na wapiga kura. Siku chache zijazo tutaona yatakayotokea katika uchaguzi wa Marekani. Laiti Kenya ingefanya uchaguzi mwaka huu, Rais Uhuru Kenyatta na Chama chake Jubilee wangeanguka vibaya sana.View attachment 1617270
Tatizo la mchange ni akili...ana akili mingi sana bwege huyu
 
Lockdown na wizi wa kura vina uhusiano gani? Njaa mbaya Sana!!

Kama huyo anayesifiwa kutokuweka lockdown aliwafurahisha watanzania, kwann kaamua kujipigia kura feki??

Angeacha sanduku la kura liamue aone.
Kitu gani hapo hujaelewa?
 
Ndugu zangu,

Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.

Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!

Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.

Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!

Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
Chandimu na mabeberu ndo wanataka hivyo! Wao upinzani ukishinda ndo demokrasia, yaani ya hovyo kabisa haya majitu!
 
Ndugu zangu,

Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.

Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!

Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.

Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!

Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
Lakini ni Jambo zuri kwa ndugai j aliekaa miaka20 na sio10 apitebila kupingwa abood miaka20 anajipya? Shabiby je miaka mingapi? Zungu je? Aisee tuna safari ndefu
 
Uko sawa mkuu,pia uchaguzi wa mwaka huu tofauti kabisa na chaguzi zote,umekuja na aina mpya ya campaign.Uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa ni juu ya maswala(ISSUES) na bla bla.

CCM walijiuza kwanza kwa kueleza WAMEFANYA nini miaka mitano iliyopita (wananchi wanatafakari na kuona kweli)Kiisha wanaomba kura na kuwaambia wanachi WATAFANYA nini miaka mitano ijayo(wananchi wanaona kuwa ni kweli maana waneona nini kimefanyika).
Ukienda upande wa pili hupati picha.

Mgombea kila kukicha issue ni yeye kupigwa risasi,kumtukana aliyeko madarakani,kulalamika,na kwa bahati mbaya sana kujichanganya,alichosema leo anasahau na kurukia kingine-mifano.

Kabla ya uchaguzi alisikika akisema watamshitaki Magufuli kwa kuwa amefanya campaign kwa miaka mitano baadaye amegeuka na kushangaa inakuwa ccm wameshinda wakati wao wamefanya mikutano mingi kuliko Magufuli?Sasa hapa uchue lipi?

Pili alisikika akisema wao wanataka maendeleo ya watu na sio vitu,Mara kauli hiyo akaisahau alipopand mwendokasi kwenda shopping kariakoo,akasikika akisema usafiri huu ni mzuri unapaswa uenezwe mji mzima EBO sasa ukienezwa mji mzima inakuwa maendeleo ya watu au vitu? Mtu kama huyu unamuelewa vipi?

Tatu amekuja na sera ya majimbo,alipobanwa kidogo tu hakuzungumza tena kuhusu majimbo.Sasa watu watakuelewaje?

Nne Kaja wa wakili Mr Armstadaum.Akawa mtovu wa nidhamu kupindukia anamwandikia mkuu wa nchi barua au waraka usiokuwa na heshima,anatisha na kusubutu kusema kwa nini CCM ipo wakati vyama vyote vilivyoleta uhuru vimekufa?

Ebo,mbona ahoji kwa nini Labour Party au Conservative vya Uiongereza bado vipo? Kwa nini haoji Republicane au Democratice vya marikani bado vipo?
Apo mwisho ndo nimejua wewe n mbumbumbu hujui siasa ya usa wala uingereza
 
Hahaha nimecheka kwa sauti mwenye uzii huu nakushauri kabla ya kuandika ungekaa chini ukanywa maji kwanza Akili ikatulia.

1-Kama kigezo hao akina Mdee, Zitto kukaa madarakani kwa miaka 10 Ni tatizo mbona Jiwe alikua mbunge kwa miaka 20 hatukusema.

2-Wewe haujui faida ya kambi ya upinzani bungeni hao ndo wanaumiza vichwa vya wabunge kwa hoja zao. Pasipo wao bungeni itakua Ndiyo mzee tu

3-CCM mbinu waliyo tumia Ni kidikteta Bora wangetoa tamko kua wanafta mfumo wa vyama vingi.
4-Jiwe ametumia njia ya vitisho ili CCM ishinde kwa kuwaambia wananchi kua wakimuchanganyia hata leta Maendeleo.

5-Namshukru mweshimiwa kwa kauli yake ya "Maendeleo hayana Chama" lakini akaongezea "Mkinichanganyia sileti Maendeleo"

Nazani umeelewa sasa kula ushibe ukalale

Ndugu zangu,

Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.

Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!

Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.

Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!

Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
 
Asiyekubali kushindwa si mshindani
Hahaha nimecheka kwa sauti mwenye uzii huu nakushauri kabla ya kuandika ungekaa chini ukanywa maji kwanza Akili ikatulia.
1-Kama kigezo hao akina Mdee, Zitto kukaa madarakani kwa miaka 10 Ni tatizo mbona Jiwe alikua mbunge kwa miaka 20 hatukusema.
2-Wewe haujui faida ya kambi ya upinzani bungeni hao ndo wanaumiza vichwa vya wabunge kwa hoja zao. Pasipo wao bungeni itakua Ndiyo mzee tu
3-CCM mbinu waliyo tumia Ni kidikteta Bora wangetoa tamko kua wanafta mfumo wa vyama vingi.
4-Jiwe ametumia njia ya vitisho ili CCM ishinde kwa kuwaambia wananchi kua wakimuchanganyia hata leta Maendeleo.
5-Namshukru mweshimiwa kwa kauli yake ya "Maendeleo hayana Chama" lakini akaongezea "Mkinichanganyia sileti Maendeleo"

Nazani umeelewa sasa kula ushibe ukalale
 
Back
Top Bottom