Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.
Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!
Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.
Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!
Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.
Baada ya Watanzania kutafsiri kwa vitendo umuhimu wa maendeleo ya watu na vitu kumeibuka mjadala mpya wa eti kwa sababu wagombea wa ACT na CHADEMA hawajachaguliwa basi hakuna demokrasia.
Hivi demokrasia ni lazima kuwe na wabunge mchanganyiko? La hasha!
Kama hawata kaa chini kutafakari chanzo cha anguko lao hakika watapotea.
Kuna ubaya gani Mbunge aliyekaa Bungeni kwa zaidi ya miaka kumi kama akina Mbowe, Zitto na wenzao wakipigwa chini? Je, wana jambo lolote jipya kwa wananchi? La hasha!
Demokrasia haimaanishi kuwa lazima wabunge CHADEMA au ACT-Wazalendo wachaguliwe.