Kwani CHADEMA inahitaji back up ya waislam ili kwenda ikulu?watuachie uislam wetu wafanye siasa zao

Status
Not open for further replies.
Mohammed Ally inabidi uwe organized kama kweli umeanzisha huu uzi kwa nia ya dhati. Na mojawapo ni kujibu maswali vizuri. Umeulizwa swali na hakulijibu, nami nina kukumbusha tena. Unadai serikali iliwaundia waislamu chombo BAKWATA kwa nia ya kuwa regulate. Lakini ajabu ni kwamba unaitaka tena SERIKALI hiyo hiyo inayowa regulate through BAKWATA iwaundie tena MAHAKAMA YA KADHI?! Huoni kwamba hizo statements zako mbili they are contradictory?! Ndiyo maana jamaa hapo juu akauliza nyinyi WAISLAMU mnachotaka ni nini hasa? Mkiundiwa chombo MLALAMIKA, msipoundiwa chombo na serikali MNALALAMIKA!?

sawa nimeuelewa

ila unachanganya kitu kimoja,sio dai la waislam kutaka serikali ituundie mahakama ya kadhi,

mahakama ya kadhi ni suala ambalo tumekuwa tunalidai liwepo kwenye nchi yetu kama lilivyo nchi zingine kama zetu za uganda,hata kenya

na sio kwamba tunaitaka serikali iunde la hasha,tulikuwa tunaitaka serikali itambue suala hilo kama suala lenye umuhim kwetu na wasiweke hoja za udni,sema hoja kuu iliyopo ni kwamba serikali ilikuwa inasema haiwez kuruhusu uwepo wa mahakam hiyo kisha bajeti ya kuendesha watoe wao

So,tunachotaka sisi kama waislam ni uhuru wa kutoingilwa kwenye mambo yetu kama watu wa iman zingine wanavyopewa uhuru huo
 
Naamini upo katika harakati za kujibu post yangu namba 44 hapo juu.
Kwa nyongeza; Ni kwa mamlaka gani wewe unaongea kwa nafsi ya WINGI, na kumvisha Bw Saidi nafsi ya UMOJA.

nadhan nilishakujibu mkuu

shukran
 
Shukran kwa kuja kujadiiana na mimi ndug mtanzania mwenzangu

Awali ya yote mimi sijaamua kuwagusa viongoz wengine ambao ni waislam walioko chadema kama hao uliowataja kama Prof Abdallah safari,Said Arfi na kadhalika kwa kuwa wao wameamua kufanya siasa na kuacha uislam wao nyumban,kwao,na kuaacha uislam wao misikitini

Hawakuthubutu kuuchukua uislam wao na kuupeleka kwenye majukwaa ya siasa kwa masilahi yao,hicho ndicho najaribu kufikisha kwa watu kama hao

Na kwa mantiki hiyo basi ninayo hoja ya kumwita makamu mwenyekiti wa CHADEMA zanzibar bwana said mohamed kuwa ni muhun kwani yeye kama imamu kazi yake inafahamika ndan ya uislam

Imam ni kiongoz wa ibada kwa waislam,na haruhusiwi kufanya shughuli hiyo ya siasa kwa kutumia backua ya uislam wake au uimamu wake

Lait angekwenda hapo kwenye jukwaa la siasa bila kuutaja uislam na uimamu wake mimi nisingemgusa,ila ni muhun kwa kuwa anajua fika mafundisho yanasemaje ila anaamua kupotosha kwa njaa zake

Chadema hiyo imeshawagharim tayari

Shukran


HOJA YA MSINGI,unapaswa kuelewa SAID MOHAMED alizungumzia dini katika mazingira gani ili kuhalalisha mantiki ya hoja yako. Lakini vilevile ungeenda mbele zaidi ya kujua tafsiri pana ya siasa?Nini ambacho watu wenye nia mbaya wamejaribu kuhubiri kwa siku nyingi dhidi ya vyama vya upinzani Tanzania kuhalalisha uhalali ya kisiasa.

SAIDI MOHAMED hakuchukua uislamu kueneza chuki,aliongea kubomoa chuki,alizungumzia kujenga umoja kama Taifa,alizungumzia kuepuka kutumia dini kama njia ya kupata mafanikio ya kisiasa.Kwenye siasa hatushindanishi dini gani ni bora kuliko nyingine,nani alikuwa Padri na nani Imamu tunazungumzia maono ya kifikra ya maendeleo yetu kama taifa.

SAID MOHAMED alikuwa haendeshi ibada alikuwa kwenye mkutano wa hadhara, kutaja kwamba yeye ni Imamu hilo ndio kosa?Kusema watanzania tusikubali kutumika kisiasa kwa mwamvuli wa dini hilo ndio kosa?Ndio amekuwa mhuni?

TAFAKARI,usikubali kuatarisha uwezo wako wa kifikra kwa kujificha kwenye ubaguzi kwa mwamvuli wa udini,ni hatari kwako na taifa kwa ujumla.
 
Shukran sana

Naomba nikujibu kwa ufupi sana kwani nipo katika shughuli za kujenga taifa langu kama wewe bila shaka.

Hoja kuu ambayo ninasimamia kumwita Said Mohamed ni muhun na asiejitambua ni kama hivi ifuatavyo.

Sio kosa kamam yeye muislam kujiingiza kwenye shughuli za kisiasa,mimi sijamtuhum yeye kwa kuwa kwake chadema au kuwa kwake mwanasiasa la hasha

Anawez kuwa mwanasiasa na ndio shughuli yake inayomwingizia kipato cha kula na familia yake,inashauriwa katia uislam na kusisitizwa kwamba lazima muislam afanye kazi halali ya kupata ridhk ya kumfaa yeye na familia yake,kwahiyo kwa yeye kuwa mwanasiasa ni juu yake.

Hoja nayosimama nayo na kumuita yeye mhun ni kwamba anafaham fika kwa mujibu wa uislam ni marufuku kuutumia uislam kwa manufaa ya ubinfas na kujipatia kipato kiholela kama afanyavyo yeye.

Asingekuwa na case ya kujibu kama angeamua kuuacha uimamu na uislam wake nyumban kwake na msikitini kisha akapanda kwenye majukwaa ya siasa,asingekuwa na lawama kwetu hata kidogo.

Ndugu sijui kama unajua maana ya swali

Swali maana yake ni mtu kuhitaji ufafanuzi wa yale yanayomtatiza
Sasa wewe hutoi huo ufafanuzi

Hii inaonekana huenda huna majibu

Kama unayo si ujibu hayo maswali unayoya quote?
 
Sitaki kusikia mtu yeyote akitaka Uislam na waislaam waangaliwe na serikali kama kundi maalumu.Yeyote anayefanya hivyo hata kama ana nia njema na uislam anaufanya uonekane kama ni kitu duni mbele za jamii zisizo waislam.Uislam usifikishwe mahali kwa baahati mbaya ama kwa makusudi uanze kuangaliwa kama makundi maalumu ya walemavu wanawake na watoto.Hiyo itakuwa ni kuuzalilisha jambo ambalo sidhani kama waislaam watalifurahia hata kidogo.
Japo mleta hoja anajaribu kuja kinyumenyume ila hoja kama kujadili "UISLAM" wa makamu wa CHADEMA kutoka Zanzibar kama vile chama kilitakiwa kiuangalie kwa makini sana "UISLAM"wake ndio kuufanya uwe kama kitu/kundi maalum kinachohitaji Special Care.
Uhalali wa mtu wa dini yoyote si jambo la maana kwa chama.Awe ameenda madrasa au hajaenda,awe ameenda msikitini au hajaenda awe amebatizwa au hajabatizwa awe ametengwa na dini yake au la kamwe si jambo la kujadiliwa kichama.
 
Naamini upo katika harakati za kujibu post yangu namba 44 hapo juu.
Kwa nyongeza; Ni kwa mamlaka gani wewe unaongea kwa nafsi ya WINGI, na kumvisha Bw Saidi nafsi ya UMOJA.

Huyo jamaa hajibu hoja sijui kwanini!!
 
Sitaki kusikia mtu yeyote akitaka Uislam na waislaam waangaliwe na serikali kama kundi maalumu.Yeyote anayefanya hivyo hata kama ana nia njema na uislam anaufanya uonekane kama ni kitu duni mbele za jamii zisizo waislam.Uislam usifikishwe mahali kwa baahati mbaya ama kwa makusudi uanze kuangaliwa kama makundi maalumu ya walemavu wanawake na watoto.Hiyo itakuwa ni kuuzalilisha jambo ambalo sidhani kama waislaam watalifurahia hata kidogo.
Japo mleta hoja anajaribu kuja kinyumenyume ila hoja kama kujadili "UISLAM" wa makamu wa CHADEMA kutoka Zanzibar kama vile chama kilitakiwa kiuangalie kwa makini sana "UISLAM"wake ndio kuufanya uwe kama kitu/kundi maalum kinachohitaji Special Care.
Uhalali wa mtu wa dini yoyote si jambo la maana kwa chama.Awe ameenda madrasa au hajaenda,awe ameenda msikitini au hajaenda awe amebatizwa au hajabatizwa awe ametengwa na dini yake au la kamwe si jambo la kujadiliwa kichama.

Word ............!!!!!
 
Shukran sana
1. Umemtolea Said mfano wa watu wahuni wahuni - Naamini Mungu wako hatafurahi kama tu umeamua kumhukumu mwenzio bila ushahidi wowote. Wewe na yeye ni viumbe wa Mungu na hakuna mwenye stahili ya kujiona msafi zaidi. Tunaomba uthibitishe uhuni wa Bw Saidi

2. Ume sema Bw Saidi ni mfano wa watu waliovishwa uislamu. Bila shaka unaamini uislamu ni dini ya mwenyezi Mungu iliyoletwa kwa ajili ya binadamu wote. Una uthibitisho gani kwamba Bw Saidi amevishwa uislamu na CHADEMA na kuwa hakuwa au hakustahili kuwa muislamu halali.

3. Umesema Bw Saidi amevishwa madaraka ya uislamu. Sasa hapo naamini ni rahisi kwako kuthibitisha. Maana bila shaka unazijua taratibu za mtu kupewa uimam katika misikiti. Tunaomba uje na uthibitisho kama Bw Saidi sio Imam kweli, au kama ni Imam basi CHADEMA walihusikaje katika yeye kuwa Imam

4. Umesema Bw Saidi amevishwa uislamu, na uongozi katika msikiti ili kuwezesha CHADEMA kufikia malengo ya kisiasa. Unaweza kufafanua ni kwa vipi ushiriki halali wa viongozi wa dini hususani uislamu unachangia katika kufikia malengo ya kisiasa?

Naomba nikujibu kwa ufupi sana kwani nipo katika shughuli za kujenga taifa langu kama wewe bila shaka.

Hoja kuu ambayo ninasimamia kumwita Said Mohamed ni muhun na asiejitambua ni kama hivi ifuatavyo.

Sio kosa kamam yeye muislam kujiingiza kwenye shughuli za kisiasa,mimi sijamtuhum yeye kwa kuwa kwake chadema au kuwa kwake mwanasiasa la hasha

Anawez kuwa mwanasiasa na ndio shughuli yake inayomwingizia kipato cha kula na familia yake,inashauriwa katia uislam na kusisitizwa kwamba lazima muislam afanye kazi halali ya kupata ridhk ya kumfaa yeye na familia yake,kwahiyo kwa yeye kuwa mwanasiasa ni juu yake.

Hoja nayosimama nayo na kumuita yeye mhun ni kwamba anafaham fika kwa mujibu wa uislam ni marufuku kuutumia uislam kwa manufaa ya ubinfas na kujipatia kipato kiholela kama afanyavyo yeye.

Asingekuwa na case ya kujibu kama angeamua kuuacha uimamu na uislam wake nyumban kwake na msikitini kisha akapanda kwenye majukwaa ya siasa,asingekuwa na lawama kwetu hata kidogo.

Asante kwa majibu mazuri.
Kuna mambo bado sielewi

1. Unaposema anajipatia kipato kiholela una maana gani

2. Unasema kwamba aache uongozi wake wa uislamu nyumbani au msikitini kwake. Wakati huo huo unasema Uislamu unamtaka mtu yeyote kufanya kazi na kupata kipato halali. Je, unamaanisha kwamba Saidi ajiuzulu uimam kabla ya kupanda kwenye majukwa ya kisiasa? Ina maana viongozi wengine wote wa kiisalmu hujiuzulu nafasi zao kabla ya kuingia 'ofisini' kwao?

3. Naomba ujibu hoja "ulizosahau" (nimezewekea red) hapo juu.
 
mohamedi Ali kama ni wewe mmenye ninayekufahamu basi bila shaka utakuwa ni moja kati ya wale wa dini namba 1 kabisa kwa jina la Ansaar.Umeonyesha chuki ya kipumbavu kabisa kwa muasisi wa taifa hili ewe mwana usiye na shukrani ambaye bila shaka shule uliyosoma ina alama ya msalaba iliyotaifishwa na Nyerere.

Umeongea kama mtu mwema sana lakini ni mnafiki uliyepidukia umejaza chuki nzito sana moyoni mwako.Unaumia sana kuona Chadema inasafishwa na propaganda ya udini.Ulikuwa unafurahi sana Chadema ilipokuwa inachafuliwa katika mambo ya udini.

Ushauri wangu kwako kama wewe si mwanasiasa kaa kimya uwaache wanasiasa wafanye kazi yao_Ondoa wivu kwa Bakwata jenga dhehebu lako liimarike.Kubalini kuanza upya acheni uroho wa madaraka na tamaa ya mali za Bakwata.Waigeni wenzenu walokole wamethubutu na wameweza na sauti yao inasikika husikii wakilalamikia Roma wala serikali.Dunia ya leo ni dunia ya ushindani.Muache kulalamika.Tumia iyo elimu yako vizuri shekhe wangu.
 
Last edited by a moderator:
Moja,propapanda ya Udini au dhana nzima ya udini muasisi wake ni CCM na wamefanya hivyo kwa malengo mafupi ya kisiasa "Kushinda Uchaguzi" kwa kuwagawa wakristo na waislamu. Kumbuka walisema/wanasema CUF ni waislamu,CHADEMA Wakristo hivyo kuhatarisha umoja wa kitaifa.

Mbili,umeonyesha chuki za wazi dhidi ya SAID MOHAMED na kumfananisha na "wahun wahun" sababu amezungumzia Uislam akiwa CHADEMA na kuhalalisha wazi kwamba wewe binafsi una mentality ya kidini na chuki dhidi ya wakristo na CHADEMA.

Tatu,Kwa kusema kwamba SAID MOHAMED ni "mhun mhun" umehalalisha kwamba viongozi wote wa kislamu ndani ya CHADEMA ni wahuni,Marehemu Bob Makani alikuwa mhun mhun,Prof.Safari ni mhun,Said Arfi ni mhun n.k. na hivyo kuhalalisha uwezo mdogo cha kifikra ambao umesababishwa na fikra za kibaguzi.

Tatu,Alichofanya SAID MOHAMED ni kung'oa hii mentality ya udini na si kumtumia Muislamu au Mkristo kwa manufaa ya kisiasa.Ni kujenga umoja wa kitaifa na si ubaguzi wa kidini kwenye mwamvuli wa kisiasa.Hakuzungumzia Muislamu kwa maana ya kumchukia Mkisto bali kusimamia matendo mema bila kupotoshwa kwa kutumia mwamvuli wa udini.

MWISHO, kwa mtu mwenye uwezo wa kuona mambo kwa uhalisia kwa kutumia fikra zake bandiko lako linajaribu kujenga ubaguzi na sio kubomoa ubaguzi,linaendeleza chuki.

You have said it. Mimi nilitafakari sana kama wewe na nikafikia conclusion nyingi sana: Mleta thread ndani ya moyo wake ni mdini kupindukia na anaendeleza yaleyale ya kuwatenganisha wakristo na waislamu.
Kwa nini mleta thread utuaminishe kuwa waislamu wanatumika na wanasiasa?
inamaana waislamu hawana akili, hawana uwezo wa kushiriki harakati za kisiasa hapa nchini kwa utashi wao binafsi bila kutumiwa na mtu yeyote?
By the way unamaana waislamu sio wanasiasa? sasa unaowaita wanasiasa wanaowatumia waislamu ni watu wa namna gani kuwazidi waislamu hadi wakawa na uwezo wa kuwatumia hao wanaotumika?


Kuonesha kuwa unajidharau na unataka kuwaambukiza kujiwadharau kwako waislamu wote unawasema wengine eti vyama vinawatumia unaowaita wahuni wahuni kama akina Said Mohamed.
Ni kweli hawa ni wahuni? Je ni uwongo kuwa yule bwana ni Imamu?
Na kama kweli ni imamu unapomwita muhuni na anatumika huoni unawadharau hata wale anaowaongoza?


By the way mbona msingi wa hoja yako haueleweki? Yule Imamu Said Mohamed alichofanya ni kupinga upotoshaji ambao hata wewe unaujua kuhusu viongozi wa vyama na historia ya imani zao kutumika kama propaganda za kuwatenganisha Watanzania (wapenzi, mashabiki na wanachama wa vyama hivyo) kwa misingi ya dini zao


Mwisho ili waislamu wasitumike kama ulivyojaribu kutuaminisha (inamaana umewatoa ufahamu wao binafsi)
unashauri nini?
Je wasishiriki siasa za nchi hii?
Au unapendekeza chama gani kati ya vilivyopo wajiunge nacho ambako hawatatumika? (maana hapa ndipo hasa unapolenga-kuwatenganisha waislamu na wakristo)

Watanzania tukemee udini ni hatari!
 
kwani ni nani hasa ambaye HAJATUMIWA NA CHADEMA AU CCM..
nakuunga mkono kwa kuwasilisha hisia zako ya kile kinachofanywa na wanasiasa dhidi ya watu wa imani yako. lakini tukiongelea kwa ujumla, sioni wale wasiotumika..
EDWARD LOWASA kaamua kuyatumia makanisa kama tingatinga la kutengeneza barabara yake kuelekea ikulu. sasa ivi makanisa ndio walaji wakubwa wa fedha za lowasa ambazo tuna hakika hakuzipata kwa njia ya halali. waislamu ndio hivyo usemavyo, wametumika tangu uhuru na wanaendelea kutumika hadi sasa.
bila kujitambua kama taifa, tutakuwa ni watu wa kutumika kama jinsi wafuasi wa CHADEMA wanavyotumikishwa na kikundi kidoooogo cha kimaslahi chenye BACKGROUND CHAFU KUPITA KIASI.
Ila usiwaze sana.. chama mbadala ya CCM NA CHADEMA kiko njiani. stay tuned bro! justice is on the way.
nakushauri uwe unafuatilia makala za kitila mkumbo kupitia gazeti la RAIA MWEMA kila jumatano.
zama za ulaghai wa kimakundi(dini na kabila) zinaelekea mwisho na mwisho wake utakuwa ni aibu
 
maswali gani?
mbona nimejibu??

Haya maswali hapa chini umejibu wapi??


1. Umemtolea Said mfano wa watu wahuni wahuni - Naamini Mungu wako hatafurahi kama tu umeamua kumhukumu mwenzio bila ushahidi wowote. Wewe na yeye ni viumbe wa Mungu na hakuna mwenye stahili ya kujiona msafi zaidi. Tunaomba uthibitishe uhuni wa Bw Saidi

2. Ume sema Bw Saidi ni mfano wa watu waliovishwa uislamu. Bila shaka unaamini uislamu ni dini ya mwenyezi Mungu iliyoletwa kwa ajili ya binadamu wote. Una uthibitisho gani kwamba Bw Saidi amevishwa uislamu na CHADEMA na kuwa hakuwa au hakustahili kuwa muislamu halali.

3. Umesema Bw Saidi amevishwa madaraka ya uislamu. Sasa hapo naamini ni rahisi kwako kuthibitisha. Maana bila shaka unazijua taratibu za mtu kupewa uimam katika misikiti. Tunaomba uje na uthibitisho kama Bw Saidi sio Imam kweli, au kama ni Imam basi CHADEMA walihusikaje katika yeye kuwa Imam

4. Umesema Bw Saidi amevishwa uislamu, na uongozi katika msikiti ili kuwezesha CHADEMA kufikia malengo ya kisiasa. Unaweza kufafanua ni kwa vipi ushiriki halali wa viongozi wa dini hususani uislamu unachangia katika kufikia malengo ya kisiasa?
 
HOJA YA MSINGI,unapaswa kuelewa SAID MOHAMED alizungumzia dini katika mazingira gani ili kuhalalisha mantiki ya hoja yako. Lakini vilevile ungeenda mbele zaidi ya kujua tafsiri pana ya siasa?Nini ambacho watu wenye nia mbaya wamejaribu kuhubiri kwa siku nyingi dhidi ya vyama vya upinzani Tanzania kuhalalisha uhalali ya kisiasa.

SAIDI MOHAMED hakuchukua uislamu kueneza chuki,aliongea kubomoa chuki,alizungumzia kujenga umoja kama Taifa,alizungumzia kuepuka kutumia dini kama njia ya kupata mafanikio ya kisiasa.Kwenye siasa hatushindanishi dini gani ni bora kuliko nyingine,nani alikuwa Padri na nani Imamu tunazungumzia maono ya kifikra ya maendeleo yetu kama taifa.

SAID MOHAMED alikuwa haendeshi ibada alikuwa kwenye mkutano wa hadhara, kutaja kwamba yeye ni Imamu hilo ndio kosa?Kusema watanzania tusikubali kutumika kisiasa kwa mwamvuli wa dini hilo ndio kosa?Ndio amekuwa mhuni?

TAFAKARI,usikubali kuatarisha uwezo wako wa kifikra kwa kujificha kwenye ubaguzi kwa mwamvuli wa udini,ni hatari kwako na taifa kwa ujumla.

Shukran sana,

Naona tunakwenda sawia,

Sifa za imam katika uislam zinafahamika,na kazi za imam katika uislam zinafahamika

kwenye siasa kuna changamoto na mambo mengi,hapa mimi naongea kama muislam mtanzania,

Wewe unaongea kam mkristo,mtanzania pia ni mwanachadema kwa maana nakuona hapo umo ndan ya gwanda,

Jambo ambalo najaribu kukuelewesha wewe ni kwamba pindi ikija kugundulika hizo propaganda wanazosemwa nazo chadema za udni zipo,yeye anakuwa ameudhalilisha uislam moja kwa moja kama kiongoz,

pia hapaswi kusimama kujinasibu kuwa yeye ni imam na muislam yupo chadema kwa hiyo wananchi ambao ni waislam wanaweza tu kumfuata halipo suala hilo

yeye kama anahitaj hivyo auwache uislam wake nyumban na msikitin pindi anapofika kwenye majukwaa ya siasa
 
"La kuvunda halina ubani" hata chadema wafanye nini inajulikana dhahiri kinanuka udini na ukabila.
 
Tokea lini chadema iliwapenda waislam? Chadema ni wanafiki na sijui huyo mnywa ulevi wa Jang'ombe wamemwokota wapi kutumika kama kikaragosi! Chadema mtume wetu wanamwita Malaya, mbakaji,mwamedi, na Allah wanadai ni shetani! Vp kumtumia huyo Saidi mlevi kuwasaidieni!
we juha lini chadema walimtukana mtume kama taasisi,mambo ya mtu mmoja mmoja usitake kuya-generalize,wewe huwa unaweka imani mbele katika mambo ambayo hayahitaji imani
kwanza mbaya wenu waislam ni ccm lakini kwa vile rais ni muislam mwenzenu na ndiye aliyewahadaa na mahakama ya kadhi hamtaki kumalaumu mnamalizia hasira zenu kwa chama makini chadema.
kama una hasira sana na imani yako vaa mabomu nenda kajilipue st.joseph pale posta maana huwezi kuchangia mada bila kutuletea imani yako ya dini..get education embecile.
 
Mleta mada,
Niliposoma mpangilio mzuri wa hoja nikikuwa excited nikidhani nakutana na data za uhakika kwani unaonekana u mzuri wa kujenha hoja.
Pengine ni kwa kujisahau au ni kwa sababu ya haraka ya kuleta hii mada, umeamua kutoa shutuma kali bila uthibitisho wowote ule.

Hoja nne nzito zinahitaji ushahidi, japo wa kimazingira basi, ili hoja yako kwa ujumla ikamilike.
Bwana Said alijitambulisha kuwa yeye ni imam huko Pemba.

1. Umemtolea Said mfano wa watu wahuni wahuni - Naamini Mungu wako hatafurahi kama tu umeamua kumhukumu mwenzio bila ushahidi wowote. Wewe na yeye ni viumbe wa Mungu na hakuna mwenye stahili ya kujiona msafi zaidi. Tunaomba uthibitishe uhuni wa Bw Saidi

2. Ume sema Bw Saidi ni mfano wa watu waliovishwa uislamu. Bila shaka unaamini uislamu ni dini ya mwenyezi Mungu iliyoletwa kwa ajili ya binadamu wote. Una uthibitisho gani kwamba Bw Saidi amevishwa uislamu na CHADEMA na kuwa hakuwa au hakustahili kuwa muislamu halali.

3. Umesema Bw Saidi amevishwa madaraka ya uislamu. Sasa hapo naamini ni rahisi kwako kuthibitisha. Maana bila shaka unazijua taratibu za mtu kupewa uimam katika misikiti. Tunaomba uje na uthibitisho kama Bw Saidi sio Imam kweli, au kama ni Imam basi CHADEMA walihusikaje katika yeye kuwa Imam

4. Umesema Bw Saidi amevishwa uislamu, na uongozi katika msikiti ili kuwezesha CHADEMA kufikia malengo ya kisiasa. Unaweza kufafanua ni kwa vipi ushiriki halali wa viongozi wa dini hususani uislamu unachangia katika kufikia malengo ya kisiasa?

Natarajia mjadala wa kistaarabu...

Asante

Tuko umeuliza maswali ya msingi sana na kuonyesha kiwango kikubwa cha kifikra katika kuchambua bandiko hili,kama mtoa mada ataweza kujibu maswali haya kwa ufasaha itakuwa ni kipimo kizuri cha kutambua uhalali wa hoja zake.Kushindwa kujibu maswali haya atadhihirisha kwa kiwango kikubwa kwamba anaendeshwa kwa HISIA tu.
 
Shukran sana,

Naona tunakwenda sawia,

Sifa za imam katika uislam zinafahamika,na kazi za imam katika uislam zinafahamika

kwenye siasa kuna changamoto na mambo mengi,hapa mimi naongea kama muislam mtanzania,

Wewe unaongea kam mkristo,mtanzania pia ni mwanachadema kwa maana nakuona hapo umo ndan ya gwanda,

Jambo ambalo najaribu kukuelewesha wewe ni kwamba pindi ikija kugundulika hizo propaganda wanazosemwa nazo chadema za udni zipo,yeye anakuwa ameudhalilisha uislam moja kwa moja kama kiongoz,

pia hapaswi kusimama kujinasibu kuwa yeye ni imam na muislam yupo chadema kwa hiyo wananchi ambao ni waislam wanaweza tu kumfuata halipo suala hilo

yeye kama anahitaj hivyo auwache uislam wake nyumban na msikitin pindi anapofika kwenye majukwaa ya siasa

Hivi Muislam haruhusiwi kuwa mwanansiasa??
 
Tuko umeuliza maswali ya msingi sana na kuonyesha kiwango kikubwa cha kifikra katika kuchambua bandiko hili,kama mtoa mada ataweza kujibu maswali haya kwa ufasaha itakuwa ni kipimo kizuri cha kutambua uhalali wa hoja zake.Kushindwa kujibu maswali haya atadhihirisha kwa kiwango kikubwa kwamba anaendeshwa kwa HISIA tu.

Sijaona pahala popote alipojibu hizo hoja ....!!!!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom