Hiyo Katiba iwekeni kwenye ilani ya chadema afu mkichaguliwa ndio mtaiandika ,bahati mbaya sana haipo kwenye ilani ya ccm
Kwa hiyo ulitaka Rais anyenyekee mambo ya hovyo? Hapo bado mtaongea yote hadi ikafike 2030 sio leo
Kwa lugha yetu maandishi yako bayana ukutani mnashindwaje kuyasoma enyi MAPROFESA wa lugha ya kiswahili?!!Ilipokuwa kwenye ilani ya ccm ya 2015-2020 yule kiongozi muovu akagoma kuitekeleza, wanaccm mlimfanya nini ili tujue kama mnaongozwa na ilani?
Endelea kufurahisha nafsi yako....Rais au majizi ya kura?
Inaweza kuwepo kwenye ilani bali ikawa sio kipaombeleIlipokuwa kwenye ilani ya ccm ya 2015-2020 yule kiongozi muovu akagoma kuitekeleza, wanaccm mlimfanya nini ili tujue kama mnaongozwa na ilani?
Inaweza kuwepo kwenye ilani bali ikawa sio kipaombele
Dogo bibi yako,Africa hii siasa hazijawahi kuwa na tija wala kusaidia kuleta ugali..majibu yako Kenya na South Africa.Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara dogo.
Inini mwanangu ahahahahTabia ni kama ngozi, ukivua tu dera, kanzu, msuli, koti, shati n.k watu wataiona yote
Mama anaucharaza kisawasawa yaani mithili ya MbapeKuongoza nchi sio Kama unaongoza familia ya watu watatu,,, na asipokuwa makini atajuta ,ajichanganye aruhusu mbowe, lisu, Zito, Mnyika, Heche ,Lema , Mstiko,Mdee n.k waingie mtaani wafanye mikutano ya siasa hata huu mwaka mmoja atauona ni mrefu amwuulize kikwete walivyomfanya miaka ile akina Slaa, Zito, Lissu, alitamani awaue nchi ilikuwa inawaka Moto,,Yule bwana sio mjinga kuwazuia maana hawa jamaa wana uwezo mkubwa , wanauwezo wa kutumia mwezi mmoja kuingia mtaani ukatamani wafe wote kwa korona ,haya Bi mkubwa kazi kwako
Dogo bibi yako,Africa hii siasa hazijawahi kuwa na tija wala kusaidia kuleta ugali..majibu yako Kenya na South Africa.
Kinachoweza kuleta ugali mezani ni sera za Uchumi tuu ambazo ndio zinashughulikiwa..
Fanya Kazi Katiba mpya haitaleta ugali utakuja shtuka umezeeka hakuna umefanya zaidi ya kulalama,kulaumu na watu watakushangaa maana your peers are making wewe unapayuka hovyo.
Maisha bora yapi wewe kima? Acha broberiang dingi lipa kodi unaongea nonsense hapaWw ni dogo unapanic nini? Kenya na South Africa wana katiba bora na ushahidi uchumi wao ni bora kuliko wetu.
Kwa taarifa yako mimi sio tajiri lakini nina maisha bora maana ni mpambanaji wa ukweli. Ni hivi tunataka katiba mpya ili tudhibitishe kuwa itaondoa ugali mezani na kuharibu maisha ya wananchi.
Maisha bora yapi wewe kima? Acha broberiang dingi lipa kodi unaongea nonsense hapa
Wewe ndo mwenye taarifa halafu unaongea kimafumbo!Alianza vizuri kutoa hotuba zenye kusisimua na kuelekeza kwa upole na unyenyekevu mwingi lakini siku hizi ni kufokafoka tu na kujihami kana kwamba ameambia anaenda kupinduliwa mda si mrefu. Au CCM wamemharibu mapema hivi.
Ukisikiliza hotuba ya juzi kwa viongozi wa dini ni kama alienda akiwa amewapania kuwapa vidonge vyao.
Yaani amebadirika ghafla na tayari inferiority complex imeshaanza kuonekana wazi. Tafadhari arudi kwenye mstari mana anaonekana vita ikija anaweza kimbja nchi kabisa.
Urais wa bahati nasibu huoAlianza vizuri kutoa hotuba zenye kusisimua na kuelekeza kwa upole na unyenyekevu mwingi lakini siku hizi ni kufokafoka tu na kujihami kana kwamba ameambia anaenda kupinduliwa mda si mrefu. Au CCM wamemharibu mapema hivi.
Ukisikiliza hotuba ya juzi kwa viongozi wa dini ni kama alienda akiwa amewapania kuwapa vidonge vyao.
Yaani amebadirika ghafla na tayari inferiority complex imeshaanza kuonekana wazi. Tafadhari arudi kwenye mstari mana anaonekana vita ikija anaweza kimbja nchi kabisa.