Kwamoto huu wa CCM Jimbo la Ushetu-Kahama Chadema mlikuwa sahihi kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "
"Hakuna kama Samia "
Sitaki kuongeza neno,hebu fungua mwenyewe hiyo video ili uone mafuriko ya maelfu ya watu huko Ushetu ikiwa ni siku ya Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Ushetu,ili kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kuandikwa ( Mb )
Uchaguzi huo mdogo utafanyika Tarehe 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wawili shindani toka vyama vya vikuu vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo kwa kisingizio cha Ukata,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1971181
CCM habari nyingine TanzaniaKwamoto huu wa CCM Jimbo la Ushetu-Kahama Chadema mlikuwa sahihi kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "
"Hakuna kama Samia "
Sitaki kuongeza neno,hebu fungua mwenyewe hiyo video ili uone mafuriko ya maelfu ya watu huko Ushetu ikiwa ni siku ya Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Ushetu,ili kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kuandikwa ( Mb )
Uchaguzi huo mdogo utafanyika Tarehe 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wawili shindani toka vyama vya vikuu vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo kwa kisingizio cha Ukata,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Levels za CCM hata kama wakiungana hawaweziCCM habari nyingine Tanzania
14|10|2021Kwamoto huu wa CCM Jimbo la Ushetu-Kahama Chadema mlikuwa sahihi kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "
"Hakuna kama Samia "
Sitaki kuongeza neno,hebu fungua mwenyewe hiyo video ili uone mafuriko ya maelfu ya watu huko Ushetu ikiwa ni siku ya Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Ushetu,ili kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kuandikwa ( Mb )
Uchaguzi huo mdogo utafanyika Tarehe 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wawili shindani toka vyama vya vikuu vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo kwa kisingizio cha Ukata,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidiMkuu Rais ameshasema mahakama zitende haki,
Mahakama itatenda haki pia kwa Mbowe na Sabaya
😍😍😍Nadhani huo ni ugonjwa wa ant-Chadema syndrome unaosumbua!
Ametoa ajira hewa 40,000👇🏿👇🏿👇🏿
Miezi sita ya Rais Samia,
Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona
#KAZIIENDELEE
Watu walishalamba ajira kitambo sana,Ametoa ajira hewa 40,000
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,Mkuu Rais ameshasema mahakama zitende haki,
Mahakama itatenda haki pia kwa Mbowe na Sabaya
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿Kwamoto huu wa CCM Jimbo la Ushetu-Kahama Chadema mlikuwa sahihi kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "
"Hakuna kama Samia "
Sitaki kuongeza neno,hebu fungua mwenyewe hiyo video ili uone mafuriko ya maelfu ya watu huko Ushetu ikiwa ni siku ya Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Ushetu,ili kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kuandikwa ( Mb )
Uchaguzi huo mdogo utafanyika Tarehe 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wawili shindani toka vyama vya vikuu vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo kwa kisingizio cha Ukata,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Mwacheni Mzee apumzike
Watanzania wamemwelewa sanaKwamoto huu wa CCM Jimbo la Ushetu-Kahama Chadema mlikuwa sahihi kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "
"Hakuna kama Samia "
Sitaki kuongeza neno,hebu fungua mwenyewe hiyo video ili uone mafuriko ya maelfu ya watu huko Ushetu ikiwa ni siku ya Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Ushetu,ili kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kuandikwa ( Mb )
Uchaguzi huo mdogo utafanyika Tarehe 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wawili shindani toka vyama vya vikuu vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo kwa kisingizio cha Ukata,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
🤣🤣🤣Ahsante kwa taarifa, ngoja tuone...
Chadema hawana pesa ya kampeni muwachangie, Niheri kuwa wakweli
nzuri sana hiiRais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,
miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000
Unaisemaje kasi ya Rais Samia?