Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,643
- 11,996
Asipoenda unamkata kwenye kodi! Atajijua mwenyewe!Asipoenda mnamfanyaje na je kwanini wenye nyumba wasiitwe mapema kabla ya wizi kufanyika ?
Asipoenda unamkata kwenye kodi! Atajijua mwenyewe!Asipoenda mnamfanyaje na je kwanini wenye nyumba wasiitwe mapema kabla ya wizi kufanyika ?
😆😆😆 Nani haogopi kulogwa ?Asipoenda unamkata kwenye kodi! Atajijua mwenyewe!
Huu ufala wa uchama ndo umetufikisha hapa we lofa jibu hoja na sio kumuattack mtuEti una nyumba mbili, kwa makao makuu yapi ya Chadema?.
Hamna mmiliki wa nyumba anayeshabikia Gaidi . Wewe ni mpangaji tu huko Tandale.
Umeme unawekewa hata Kama Nyumba haijapimwa na haiko maeneo rasmiSerikali imekuwa ikitamka wazi kuwa ni asilimia 25 tu ya eneo la Tanzania ndilo limepimwa. Maana take zaidi ya 75% ya nyumba zote zimejengwa maeneo yasiyopimwa, ujenzi wake unafanyika bila vibali na hivyo hazitambuliwi rasmi kwenye data za ardhi. Acha upotoshaji.
Mimi sio msemaji wao,nimenukuu tu maelezo ya afisa wao aliyoyasema jana(niliona kupitia Itv)Nani atakwenda ? kwanini hili lisingefanyika kabla ya makato kuanza ?
Majengo yanayotumia umeme tofauti na wa TANESCO kodi hii haitawahusu?!Hebu tulipe hii kodi jamani! Imekuwapo muda mrefu tumekuwa tukilipa na wengine wakikwepa kulipa! Hivi mwenye nyumba ambaye hanunui umeme kwenye nyumba uliyopanga watampata wapi? Dawa ni hiyo wewe unayenunua umeme ukatwe na wewe utamkata mwenye nyumba wakati wa kulipa kodi yake! Chukulia kwa mfano unalipa kodi kwa miezi 6 kuna ugumu gani wewe kumkata shilingi elfu 6 ya kodi ya jengo? Tulipe kodi! Katika hili niko upande wa mama!
Hujaelewa kwa vile umekuja kichwa kichwaAnkara ya umeme inasomeka jina lako mpangaji ukilipa? Hadi useme hawamjui mwenye Nyumba ? Wewe mleta mada ndio hujielewi ukinunua umeme kule TRA na Tanesco wanajua mwenye Nyumba ndie kanunua .Ya kusema wewe ndie umenunua Hilo Ni lako na mwenye Nyumba wako si la TRA Wala Tanesco
Na je kodi ya Mapato kwa kupangisha unalipaAu mfano unanyumba ambayo umepangisha watu, umo kila mpangaji ana mita yake, so kila mpangaji analipa ama, mana kusema umuhamishie mpangaji moja majukum ni kuleta mtafarakano
Suala hili limeelezwa vizuri sana na serikali na utaratibu umewekwa vyema. Wewe unajaribu kulitumia kufikiri linaweza kukupa millage ya kisiasa. Bahati mbaya kwako watanzania tumelipokea vyema na tunalipa kazi inaendelea. Tafuta lingineAsipoenda mnamfanyaje na je kwanini wenye nyumba wasiitwe mapema kabla ya wizi kufanyika ?
KweliCCM wameshafeli tangu siku nyingi
Kodi ya Majengo imelipwa ndani ya nchi hii kwa miaka na miaka , kwa kipindi kirefu ililipwa kwenye Halmashauri na kuwa mapato ya Halmashauri husika ili kusaidia miradi mbali mbali , mimi mwenyewe nina nyumba 2 kwenye halmashauri ya Temeke , nafahamu ninachoandika , Jina langu linafahamika vema kabisa na Halmashauri hiyo kama wenye nyumba wengine wanavyofahamika , huku kila jengo au nyumba ikirasimishwa kwa kupewa namba Maalum na kubandikwa Ukutani ili kila mtu aone .
Baada ya uchaguzi Mkuu wa 2015 ccm kuangushwa kwa kunyang'anywa halmashauri kubwa kubwa , ikiwemo Halmashauri ya Jiji la DSM , yenye majengo mengi na yenye kulipiwa pesa nyingi , kwa roho yake Mbaya , Rais wa wakati huo Magufuli akaamua kuzinyang'anya kodi ya majengo halmashauri kwa vile sasa zilikuwa chini ya Chadema , na kuamuru wenye majengo wote nikiwemo mimi kulipia kodi hiyo kupitia TRA , rekodi zote zipo na wenye nyumba wote wapo na wanatambulika na tayari walishawekwa kwenye mfumo wa malipo ( japo baada ya uchafuzi wa 2020 kodi hii imerejeshwa tena halmashauri maana chadema hawapo tena ), sasa kuwalipisha watu wasiohusika huku wahusika wanaopaswa kulipa kodi wapo na wanafahamika ni wizi wa kishamba sana uliolenga kutunisha mfuko wa serikali kwa NJIA YA HARAMU .
Kama walipaji walishakuwa kwenye mfumo na wanafahamika , huku kila nyumba mpya inayojengwa ujenzi wake hufanywa baada ya vibali vya halmashauri , kwanini Serikali imeamua kupora pesa za raia wasiohusika ?
Itaendelea ....
Wanatuona mabwege hawa naniliuCCM wameshafeli tangu siku nyingi
mno yaani !Wanatuona mabwege hawa naniliu
Wizi uliozidi wa wale wahujumu uchumi yaniKodi ya Majengo imelipwa ndani ya nchi hii kwa miaka na miaka , kwa kipindi kirefu ililipwa kwenye Halmashauri na kuwa mapato ya Halmashauri husika ili kusaidia miradi mbali mbali , mimi mwenyewe nina nyumba 2 kwenye halmashauri ya Temeke , nafahamu ninachoandika , Jina langu linafahamika vema kabisa na Halmashauri hiyo kama wenye nyumba wengine wanavyofahamika , huku kila jengo au nyumba ikirasimishwa kwa kupewa namba Maalum na kubandikwa Ukutani ili kila mtu aone .
Baada ya uchaguzi Mkuu wa 2015 ccm kuangushwa kwa kunyang'anywa halmashauri kubwa kubwa , ikiwemo Halmashauri ya Jiji la DSM , yenye majengo mengi na yenye kulipiwa pesa nyingi , kwa roho yake Mbaya , Rais wa wakati huo Magufuli akaamua kuzinyang'anya kodi ya majengo halmashauri kwa vile sasa zilikuwa chini ya Chadema , na kuamuru wenye majengo wote nikiwemo mimi kulipia kodi hiyo kupitia TRA , rekodi zote zipo na wenye nyumba wote wapo na wanatambulika na tayari walishawekwa kwenye mfumo wa malipo ( japo baada ya uchafuzi wa 2020 kodi hii imerejeshwa tena halmashauri maana chadema hawapo tena ), sasa kuwalipisha watu wasiohusika huku wahusika wanaopaswa kulipa kodi wapo na wanafahamika ni wizi wa kishamba sana uliolenga kutunisha mfuko wa serikali kwa NJIA YA HARAMU .
Kama walipaji walishakuwa kwenye mfumo na wanafahamika , huku kila nyumba mpya inayojengwa ujenzi wake hufanywa baada ya vibali vya halmashauri , kwanini Serikali imeamua kupora pesa za raia wasiohusika ?
Itaendelea ....
Ni hatari sn nchi ya tozoKo kwa wale wa flame au office za NHC tunaenda au NHC wanakuwa washaenda, na hayo majumba ya mashirika wanataka walipa umeme ndo walipe kodi za majumba yao
Hatua ya kukamua wasiohusika ?Nimeipongeza serikali kwa hatua hii kubwa
TANZANIA tunahitaji muda tu kufika taifa lenye maendeleo pia
Kivipi !Hatua ya kukamua wasiohusika ?