Wayaring
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 304
- 248
Nilidhani mambo mengi wanayo yapinga wanakuwa na hoja. Kumbe jamaa wanapinga tu, Ndiyo ubora wao.Suala hili limeelezwa vizuri sana na serikali na utaratibu umewekwa vyema. Wewe unajaribu kulitumia kufikiri linaweza kukupa millage ya kisiasa. Bahati mbaya kwako watanzania tumelipokea vyema na tunalipa kazi inaendelea. Tafuta lingine