IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 541
Pesa bila mikakati sio kila kitu ni pesa. Ili muamini;hoja yangu,tokea tumekusanya za Tozo kipi kimefanyika tukaanbiwa hiki ni Ile Tozo yenu? Mbona mwananchi moja moja anazidi kudidimia? Gesi juu Petroli juu, mafuta ya kula juu. Sasa kuanzia tarehe 8/09/2921 ukihamisha tu pesa benki kwenda benk nyingine inakula kwako.
Si muda mrefu nina shaka hata ukitoa kwenye ITM tutakatwa Tozo. Kama hatutaweza basi tuufuate ushauri wa Waziri wa Fedha ule wa kuhamia Burundi
Asante Mheshimiwa, Mungu akupe maisha marefu ulete kali zaidi ya hii.
Ameen
Si muda mrefu nina shaka hata ukitoa kwenye ITM tutakatwa Tozo. Kama hatutaweza basi tuufuate ushauri wa Waziri wa Fedha ule wa kuhamia Burundi
Asante Mheshimiwa, Mungu akupe maisha marefu ulete kali zaidi ya hii.
Ameen