Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Uko sahihi kabisa ila kwa sasa nashukuru MUNGU tu kuwa ameshaibishwa, yaani hata akiwa huru hatakua na akili za kipuuzi tenaTunahitaji mfumo wa upelelezi unaozingatia haki siyo mwongozo wa siasa. Tunahitaji Katiba mpya.