Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,610
Tunachotaka CHADEMA wawafute uachama hao wasaliti haraka sanaNimemsikiliza John John Mnyika akitoa tamko kuhusu jambo hili leo...
Kwa ufupi linafikirisha sana. Mtu anaweza kujiuliza kama ndivyo hivi yalivyo mambo haya, nini hasa maana yake...?
Kuna assumption mbili hapa;
MOSI; Kuna shida ndani ya CHADEMA. Ni mchakato halali kabisa umefanyika ndani ya chama bila mamlaka za juu za chama kujua. Wamekuja kushtuka, wanaona manyoya tu huku kuku akiwa ameshaliwa...
MBILI; Kama ni kweli chama hakikushiriki kufanya uteuzi huu sawasawa na taratibu za kisheria zinavyotaka na wakati huohuo hawa wanawake wakapata uhalali wa kisheria kuapishwa kuwa wabunge, then tunapaswa kujiuliza swali moja muhimu sana, kuwa, imekuwaje mambo haya yakawezekana na kuwa halali kisheria...?
Kama tuhuma za CHADEMA kupitia kwa katibu mkuu wake John Mnyika dhidi ya "system" ama "dola" ama "serikali" kushiriki kuihujumu CHADEMA kupitia jambo hili, basi we are in big trouble as nation....!
Kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 kwa "system" ama "dola" kulazimisha CCM ishinde kwa kura za "wizi wa kishindo" kwenye Urais, ubunge na udiwani, basi hakika hakuna kinachoweza kuizuia hii "system" kufanya lolote jingine kuhalalisha inachokitaka kitokee au kifanyike...!!
Ni tahadhari tu kwa CHADEMA, kwamba, Magufuli atatumia nguvu ya fedha kufanikisha yote haya...
CCM ya Magufuli iko very desperate and strategic kutekeleza mission hii hatari kabisa ya kishetani....
Silaha kuu inayotumiwa kuua kila kitu ni RUPIA yaani fedha...
Kila mtu anahitaji fedha, au siyo jamani?
Anachofanya Magufuli na ambayo ndiyo silaha kuu ndilo anayojivunia kutekeleza adhma yake hii ovu ni kutengeneza njaa ya uhitaji ama njaa ya fedha..
Baadaye, anawatupia mamilioni mbele yao wenye uhitaji aliowalenga lakini huku akisema "terms and conditions apply"...
Hyakanani vile, hata kama ni mume na mke mbele ya njaa ya fedha, possibility ya kusalitiana ni 99%...
Huu ndiyo mtihani CHADEMA wanaopaswa kuushinda kwa sababu Tanzania yetu ya sasa chini ya Magufuli ina akisi simulizi ya hadithi ya ANIMAL FARM...
Mnyama mwenye nguvu kama simba, dubu nk ndiye anaye survive ndani ya ANIMAL FARM...!!