britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
Kuna watu wengine wananichanganya, Ukimuuliza Magufuli independently anautambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel Taifa teule la Mungu, Taifa takatifu kabisa kuwahi kutokea, lakin anaibuka mtu from no where kwamba hautambui mji huo? yeye kama nani?
Tuanze kujiuliza wakati sisi Tunajidai kujitenga na mataifa makubwa ,Kagame yupo anaomba waisrael wahamie kwake,
Netanyahu Kaudhuria kuapishwa kwa Kenyatta sisi tunasubiri kuwaita akina Mseven na Nkurunzinzah ambao hawana impact kwa jambo lolote kwetu,
IPO WAPI SLOGAN YA KUTOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOWTE YA MWALIMU?
Tumeshuhudia serikali za hivi karibuni zikichagua upande kabisa ,
Mfano mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya Tanzania na wasoviet suala ili linamtenga Marekani anayewapa ARVS au mnasubiri kupata zile fake za mwenge?
Kuna nini kati ya Magufuli na Wasoviet?
Tumeshuhudia Tanzania ikikiuka maazimio ya baraza la umoja wa mataifa kwa kujihusisha na KOREA KASKAZINI hasa katika masuala ya kuuziana silaha kali kali, ipo wapi NON ALIGNED MOVEMENT?
Leo hii anaibuka Mahiga na kusema kwaamba Tanzania haitambui jerusalem kama mji mkuu wa Israel??? Tanzania kama nani nchi Omba omba ulimwenguni?
Matamko yetu yawe ya Busara na Kujikita kugawa milion 50 za kila kijiji badala ya kuongelea ambayo hatuna uwezo nayo, na wenda yakatusababishia matatizo,
Kashasema Mkuu na kiranja mkuu wa Dunia alafu mtu ambaye hata si msaidizi wa monitor ukanda wa Afrika mashariki unasema sema nini??
Mahiga ungetumia muda wako kulaani yanayoendelea Libya, Rwanda na Uganda ambapo nchi hizo wananchi wake wako kwenye matatizo makubwa ya uongozi wa kidikteta unaenda kukemea mambo ya mji mkuu???
kweli serikali ya awamu ya Tano yaweza kuwa inaendeshwa na media na Kiki za matamko ili waziri asikike yupo
Britanny
Tuanze kujiuliza wakati sisi Tunajidai kujitenga na mataifa makubwa ,Kagame yupo anaomba waisrael wahamie kwake,
Netanyahu Kaudhuria kuapishwa kwa Kenyatta sisi tunasubiri kuwaita akina Mseven na Nkurunzinzah ambao hawana impact kwa jambo lolote kwetu,
IPO WAPI SLOGAN YA KUTOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOWTE YA MWALIMU?
Tumeshuhudia serikali za hivi karibuni zikichagua upande kabisa ,
Mfano mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya Tanzania na wasoviet suala ili linamtenga Marekani anayewapa ARVS au mnasubiri kupata zile fake za mwenge?
Kuna nini kati ya Magufuli na Wasoviet?
Tumeshuhudia Tanzania ikikiuka maazimio ya baraza la umoja wa mataifa kwa kujihusisha na KOREA KASKAZINI hasa katika masuala ya kuuziana silaha kali kali, ipo wapi NON ALIGNED MOVEMENT?
Leo hii anaibuka Mahiga na kusema kwaamba Tanzania haitambui jerusalem kama mji mkuu wa Israel??? Tanzania kama nani nchi Omba omba ulimwenguni?
Matamko yetu yawe ya Busara na Kujikita kugawa milion 50 za kila kijiji badala ya kuongelea ambayo hatuna uwezo nayo, na wenda yakatusababishia matatizo,
Kashasema Mkuu na kiranja mkuu wa Dunia alafu mtu ambaye hata si msaidizi wa monitor ukanda wa Afrika mashariki unasema sema nini??
Mahiga ungetumia muda wako kulaani yanayoendelea Libya, Rwanda na Uganda ambapo nchi hizo wananchi wake wako kwenye matatizo makubwa ya uongozi wa kidikteta unaenda kukemea mambo ya mji mkuu???
kweli serikali ya awamu ya Tano yaweza kuwa inaendeshwa na media na Kiki za matamko ili waziri asikike yupo
Britanny