Fimbo ya Musa
Member
- Jul 21, 2012
- 94
- 13
Bwana Yesu asifiwe... Tumsifu Yesu kristo wapendwa... Natumai mu wazima. Kwakweli vifungu hivi vya BIBLIA huwa vinanitia nguvu sana: 1. Niite,nami nitakuitikia,nami nitakuonesha mambo makubwa,magumu usiyoyajua. (Yeremia 33:3) 2. Yeye aniaminiye mimi,kazi nizifanyazo mimi,yeye naye atazifanya; naam na kubwa kuliko hizo atafanya,kwa kuwa mimi naenda kwa Baba. (Yohane 14:12). Wewe je ni aya zipi zinakubariki mpendwa? Mbarikiwe wote.