Kwakweli bata ukimchunguza sana huwezi kumla

gwijimimi

JF-Expert Member
Sep 24, 2011
7,344
3,602
kwakweli bata ukimchunguza sanaaa huwezi kumla jamani

Duh....oooh mimi nataka kumjua x wa bwana angu(akusaidie nini?)

oooh )wanaume )...oooh baby ulikuwa na mabwana wangapi kabla yangu?..... teh teh the(unaendesha sensa au roll call?).. mahaba nivuruge kama bunge la katiba.

Seriously,unategemea utaambiwaje hapo,.....zaidi ya kudanywa tu.....?

Embu tusiwe na akili za kushikiwa kama kuku au kondooo kudadadeki ...

Guys kama umeamua kuwa na huyo manzi(kwa wanaume) wewe kuwa nae tu as long as you are happy...
na wewe msichana kama umeamua kuwa na huyo chalii kuwa nae tu...masuala ya kuulizana past aka maswali ambayo am sure hauko ready kupokea majibu yake ya ukweli ni upuuzi mtupu...

Am sure hutoambiwa ukweli...ni uongo ndio utatatawala sababu either way it can either keep you negative perception on her/him sababu ya historia yake au dharau zitaanzia hapo

Eti unamuuliza kwanini uliachana na bwana ako au girl wako(probably hili swali linahitajika but what if alifumaniwa are you expecting atakuambia alifumaniwa?

Am just saying) hahaha mahaba nipoteze kama ndege ya malaysia mimi

.....hahaha hivi unategemea atasema ukweli hata kama makosa ni yake?
kama noma na iwe noma lazima avutie kwake ...oh baby si unajua mi napenda watu waaminifu (heheh nani hapendi mpenz awe mwaminifu?) eti my ex nilimfumania so i could not take it anymore u knw.....hehhe kumbe pengine alifumaniwa yeye... hehehe mahaba nitie wazimu nitie watu mawe mjini hapa

hahahha bongo dukinaaaaaaaa jamani tuhachane na haya mapast .aka maswali ya kimapokeo aka maswali ambayo hatuko ready kupokea majibu yake kwa moyo mmoja
take it from me no one is perfect but trust me you can make someone your perfect partner
you have a power to create a perfect patner so as your own monster by your self

let me ask you hata kama amedate mabwana/wanawake mia before u (she/he loved,she/he love and she/he probably will love again if u dump her/him) as long as she/he makes you happy what else do u need??
 
hehehehe ajichagulie mwenyewe hahaha

Aaanh sasa si anataka kujua kwa hiyo anapewa tahadhari asije sema oooonh watu wanasema ulikuwa padri siku hizi shemasi !!!!!!!!

Kukataa historia mi naona kama utumwa flani kwa hiyo akikomaa namwambia tu kwani nini bhana!!!!!!!!!
After all experience is the best teacher!!!!!!
 
Let bygones be bygones.

Of course kuna issue kama za watoto na upkeep ya hao watoto ama arrangemenr ilokuwepo na mzazi mwenzie but otherwise sijui dem wake walikuwa wangapi? Ama walichana kwa nini? What for?


Sometimes we build a future on the past!!!!!!!!!!!!!!!

Hebu imagine this............Hivi baby ulivyo mtamu hivi kweli ex wako hakutafuti....jibu liwe; watanifutaje wakati wote wameshafariki.........!!!!!????
 
Huwa sikuulizi lakini nachunguza kivyangu kama CIA, nikijiridhisha naendelea nikigundua makubwa nasitisha.

Ukute mkeo alikuwa anagawa 0713 na wewe unajidai nina mke, kumbe alishatoa mimba 5 na wewe unajidai nimeoa mke toka kwa Mungu.

Ukute mumeo ni sawa na wanaojipanga Meeda au Ambiance lakini yeye anafanyia ofisini, na wewe unajidai nimesali nikapewa mke mwema.

Kama wewe mwanamke unaweza ukaoa shoga.

Uchunguzi muhimu sana.
 
Let bygones be bygones.

Of course kuna issue kama za watoto na upkeep ya hao watoto ama arrangemenr ilokuwepo na mzazi mwenzie but otherwise sijui dem wake walikuwa wangapi? Ama walichana kwa nini? What for?

That's my woman
#karucee popote ulipo jua from the bottom of my heart am real proud if u
Natamani ni-renew our viapo vyetu tena
 
Sometimes we build a future on the past!!!!!!!!!!!!!!!

Hebu imagine this............Hivi baby ulivyo mtamu hivi kweli ex wako hakutafuti....jibu liwe; watanifutaje wakati wote wameshafariki.........!!!!!????

Heheheheheeh wivu lazima mkuuu ila hilo jibu dah nimechoka mwenyewe ila sitashangaa akieendelea kukuchokonoa like walikufa na nn?
 
Back
Top Bottom