Ninayajua machungu yake lakini ningekushahuri hapa lakini najua hapa siyomahali pake ungeniambia sababu yakuachana kwa PM.Ningekupa njia rahisi najua hata usingizi hupati maana hata ukimwona unasikia mwili unaishiwa nguvu japo unajikaza au hata kumpotezea lakini moyo unakuwa unaenda mbio pili unaweza kusema sipigi simu ukakaa hata siku tatu lakini ya nne utapiga tu najua hayo matatizo from my experience fanya hivyo ntakupa njia.Habar ya wakti huu wanajamvi,
naombeni mnipe njia za kumsahau mtu mloachana ukiwa bado unampenda coz naumia kupita kiasi jamani najitahidi kila namna nimsahau lakini wapi tuna mwezi na nusu sasa tangu tuachane
mmmmmmmhhhhhhwanaume huwa tunatafuta kifaa kikali zaidi fasta....pengine mwenye wowowo kubwa kumzidi lol
Hhahaha!!! Kaka KiizaNinayajua machungu yake lakini ningekushahuri hapa lakini najua hapa siyomahali pake PM.
]#Tafuta kitu ambacho unakipenda ndio kifanye hicho avoid kwenda sehemu ambazo mlikuwa mnakwenda pamoja, keeps yourself busy usikae peke yako sehemu moja jichanganye na marafiki, if you have a family jitahidi kuwa karibu nao
coz hayakakukuta ndiyo mana igwe
Ninayajua machungu yake lakini ningekushahuri hapa lakini najua hapa siyomahali pake ungeniambia sababu yakuachana kwa PM.Ningekupa njia rahisi najua hata usingizi hupati maana hata ukimwona unasikia mwili unaishiwa nguvu japo unajikaza au hata kumpotezea lakini moyo unakuwa unaenda mbio pili unaweza kusema sipigi simu ukakaa hata siku tatu lakini ya nne utapiga tu najua hayo matatizo from my experience fanya hivyo ntakupa njia.
kama wewe ni mwanamke dawa ni kutafuta mtu mwenye nanihino kubwa zaidi
utamsahau fast lol
Nimejikuta nacheka mpaka basiwanaume huwa tunatafuta kifaa kikali zaidi fasta....pengine mwenye wowowo kubwa kumzidi lol
Time is the Best Healer....
Hakuna Short Cuts..., ila kwa kuweza kupitisha muda keep yourself busy, fanya kazi sana na usikae peke yako jichanganye na marafiki zako na kufanya mambo unayopenda..., kama ukiwa peke yako hususan usiku ndio mawazo yanakuja kwa wingi, basi hakikisha unaenda kulala ukiwa umechoka, baada ya kufanya kazi za kukuongezea wewe maendeleo..., tafuta hobby ambayo ni physical iwe mazoezi au hata kulima kuhakikisha unachoka na akili yako haipo occupied na mawazo...
Ingawa sishauri killing the good moments lakini ikibidi kama mawazo yakija concentrate on the negatives za huyo bwana..., kuliko kukumbuka only the good times sababu utazidi kuumia...., You will never forget easily lakini atleast you will learn to cope after some time
Life Goes On........., Live and Let Die