Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Yani hapo ni saw a na kusema Kikwete aendelee kuongoza Nchi.Majaliwa in ndugu yake Salma Kikwete amefika hapo kwa kuwa Kikwete alitaka awe hapo.
 
Huyu huyu aliyesema Rais yuko vizuri anaendelea kuchapa kazi, halafu juzi akawaambia wawekezaji waje kwa wingi umeme upo wa kutosha

CCM wawe makini nae, wakimpa ticket anaweza anza kupiga kampeni za upinzani
 
Umuhimu wa kitu kizuri huonekana baada ya kutoweka.

Jiwe walilolikataa waashi lilikuwa jiwe kuu la pembeni.

Hakuna nabii anaekubalika kwao.

Mimi ni mmoja wa mtu aliemkosoa sana Magufuli, baada ya kufa nimegundua ukweli wa misemo hiyo hapo juu.

Rais Samia alianza kwa kuwapa tumaini Watanzania waliokuwa wamechoka na utawala wa Magufuli. Wengi tulijihisi hatuna uhuru wa kuongea na wa kisiasa. Tuliamini zaidi watu wa kwenye mtandao ambao wamegeuka na kuwa wanafiki.

Katika fuatilia yangu nimegundua Majaliwa ana uthubutu sana kuliko hata mama mwenyewe. Huyu mzee anajaribu kufuata kwa karibu nyayo za JPM lakini kwa sababu yeye siyo rais.

Tukiwa watz kwanini 2025 tusimpendekeze ili CCM impe kijiti?
Msitake kumtilia nuksi mzee wa watu akang'olewa kwenye kiti cha u waziri mkuu,
 
Hata wao ndio wamepanga hivyo. Hayo maneno ya Samia kutaka kuendelea ni ya kuwapoteza watu wasione kinachokuja.

Ila huyo mtu hatufai kabisa, yupo ki maslai zaidi... Alafu muongo muongo sana.

Nafasi ya urais sio ya kufanyia majaribio. Vinginevyo tutaendelea kujuta miaka yote.
 
Hata wao ndio wamepanga hivyo. Hayo maneno ya Samia kutaka kuendelea ni ya kuwapoteza watu wasione kinachokuja.

Ila huyo mtu hatufai kabisa, yupo ki maslai zaidi... Alafu muongo muongo sana.

Nafasi ya urais sio ya kufanyia majaribio. Vinginevyo tutaendelea kujuta miaka yote.

Huyo jamaa ni Magufuli aliyechangamka..Tatizo watanzania tuko wavivu sana kung’amu mambo
 
Tatizo bongo ccm hata wangepitisha shati liwe rais wa nchi hii, hakika linakuwa, hii nchi hakuna demokrasia kabisa, suluhu ya haya yote Ni katiba mpya
Asante,yan CCM wakiamua kumueka Pierre anakuwa Rais
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom