Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Umuhimu wa kitu kizuri huonekana baada ya kutoweka.

Jiwe walilolikataa waashi lilikuwa jiwe kuu la pembeni.

Hakuna nabii anaekubalika kwao.

Mimi ni mmoja wa mtu aliemkosoa sana Magufuli, baada ya kufa nimegundua ukweli wa misemo hiyo hapo juu.

Rais Samia alianza kwa kuwapa tumaini Watanzania waliokuwa wamechoka na utawala wa Magufuli. Wengi tulijihisi hatuna uhuru wa kuongea na wa kisiasa. Tuliamini zaidi watu wa kwenye mtandao ambao wamegeuka na kuwa wanafiki.

Katika fuatilia yangu nimegundua Majaliwa ana uthubutu sana kuliko hata mama mwenyewe. Huyu mzee anajaribu kufuata kwa karibu nyayo za JPM lakini kwa sababu yeye siyo rais.

Tukiwa watz kwanini 2025 tusimpendekeze ili CCM impe kijiti?
Kwa sababu tume ya uchaguzi imedhoofishwa sana ama ?
 
Majiliwa mwenyewe hana muda mrefu katika uwaziri mkuu, hivyo nafasi inaangukia kwa Makamba ukweli mchungu ila lolote linaweza tokea akachukua Hussein Mwinyi kuhusu mpango hapana haiwezekani.
 
Majaliwa namkubali sana,
Yuko vzr katika kubana matumizi na value for money, Changamoto Yake ni kama magufuli, deplomasia ni zero,
wazungu watamsumbua, Ila wabongo watamuenjoy sana
 
Niamin mm huyu mama mwisho wake Ni 2025 yaan saiz wanamchora tu Ila ukifika muda muafaka watapita nae Kama upepo maana katiba ipo Waz kabisa Hana sifa za kugombea bara.

Na hata Kama atabadirisha katiba niamin mm Mobeyo hawez kukubali huu ujinga Tena ,alitumia busara lakin busara mwisho 2025 anyebisha abishe Ila 2025 Raisi Ni Kati ya majaliwa au mpango.

Najua ukweli unauma Ila iko hivyo bandugu na hakuna wa kukwepesha hili.
Huyo Mabeyo atakuwa hajastaafu tu mpaka huo mwaka?

Au umetumia Mabeyo kama kueleza wadhifa wa CDF?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niamin mm huyu mama mwisho wake Ni 2025 yaan saiz wanamchora tu Ila ukifika muda muafaka watapita nae Kama upepo maana katiba ipo Waz kabisa Hana sifa za kugombea bara.

Na hata Kama atabadirisha katiba niamin mm Mobeyo hawez kukubali huu ujinga Tena ,alitumia busara lakin busara mwisho 2025 anyebisha abishe Ila 2025 Raisi Ni Kati ya majaliwa au mpango.

Najua ukweli unauma Ila iko hivyo bandugu na hakuna wa kukwepesha hili.
Mkuu kivipi hana sifa za kugombea bara?
 
Umuhimu wa kitu kizuri huonekana baada ya kutoweka.

Jiwe walilolikataa waashi lilikuwa jiwe kuu la pembeni.

Hakuna nabii anaekubalika kwao.

Mimi ni mmoja wa mtu aliemkosoa sana Magufuli, baada ya kufa nimegundua ukweli wa misemo hiyo hapo juu.

Rais Samia alianza kwa kuwapa tumaini Watanzania waliokuwa wamechoka na utawala wa Magufuli. Wengi tulijihisi hatuna uhuru wa kuongea na wa kisiasa. Tuliamini zaidi watu wa kwenye mtandao ambao wamegeuka na kuwa wanafiki.

Katika fuatilia yangu nimegundua Majaliwa ana uthubutu sana kuliko hata mama mwenyewe. Huyu mzee anajaribu kufuata kwa karibu nyayo za JPM lakini kwa sababu yeye siyo rais.

Tukiwa watz kwanini 2025 tusimpendekeze ili CCM impe kijiti?
Sijaona mbadala wa Samia huko ccm hadi sasa
 
Umuhimu wa kitu kizuri huonekana baada ya kutoweka.

Jiwe walilolikataa waashi lilikuwa jiwe kuu la pembeni.

Hakuna nabii anaekubalika kwao.

Mimi ni mmoja wa mtu aliemkosoa sana Magufuli, baada ya kufa nimegundua ukweli wa misemo hiyo hapo juu.

Rais Samia alianza kwa kuwapa tumaini Watanzania waliokuwa wamechoka na utawala wa Magufuli. Wengi tulijihisi hatuna uhuru wa kuongea na wa kisiasa. Tuliamini zaidi watu wa kwenye mtandao ambao wamegeuka na kuwa wanafiki.

Katika fuatilia yangu nimegundua Majaliwa ana uthubutu sana kuliko hata mama mwenyewe. Huyu mzee anajaribu kufuata kwa karibu nyayo za JPM lakini kwa sababu yeye siyo rais.

Tukiwa watz kwanini 2025 tusimpendekeze ili CCM impe kijiti?
Hana lolote huyu tena ashukuru mama kampa mwanya wa kuonekana vinginevyo ni mzigo mzito Sana .
 
Yani hata watz wote wamnyime kura yeye ndo rais mnajifurahisha tu hapa
Sijawahi chagua ccm toka vyama vingi vianze ila kwa Mama nitamchagua yeye na sio ccm ,mama namkubali Sana sio kwa maneno bali vitendo👇

Screenshot_20211122-155113.png


Screenshot_20211122-154621.png


Screenshot_20211121-132128.png


Screenshot_20211121-132004.png
 
Back
Top Bottom