Omutontozi
Senior Member
- Nov 12, 2021
- 122
- 213
Yani hata watz wote wamnyime kura yeye ndo rais mnajifurahisha tu hapaBinafsi siwezi kumpa kura yangu ya turufu 2025 labda kama wata simamisha mgombea mwingine
Yani hata watz wote wamnyime kura yeye ndo rais mnajifurahisha tu hapaBinafsi siwezi kumpa kura yangu ya turufu 2025 labda kama wata simamisha mgombea mwingine
Kwa sababu tume ya uchaguzi imedhoofishwa sana ama ?Umuhimu wa kitu kizuri huonekana baada ya kutoweka.
Jiwe walilolikataa waashi lilikuwa jiwe kuu la pembeni.
Hakuna nabii anaekubalika kwao.
Mimi ni mmoja wa mtu aliemkosoa sana Magufuli, baada ya kufa nimegundua ukweli wa misemo hiyo hapo juu.
Rais Samia alianza kwa kuwapa tumaini Watanzania waliokuwa wamechoka na utawala wa Magufuli. Wengi tulijihisi hatuna uhuru wa kuongea na wa kisiasa. Tuliamini zaidi watu wa kwenye mtandao ambao wamegeuka na kuwa wanafiki.
Katika fuatilia yangu nimegundua Majaliwa ana uthubutu sana kuliko hata mama mwenyewe. Huyu mzee anajaribu kufuata kwa karibu nyayo za JPM lakini kwa sababu yeye siyo rais.
Tukiwa watz kwanini 2025 tusimpendekeze ili CCM impe kijiti?
Tena anapiga maji balaaaaahMpango hafai kabisa ni dhaifu mno
Huyo Mabeyo atakuwa hajastaafu tu mpaka huo mwaka?Niamin mm huyu mama mwisho wake Ni 2025 yaan saiz wanamchora tu Ila ukifika muda muafaka watapita nae Kama upepo maana katiba ipo Waz kabisa Hana sifa za kugombea bara.
Na hata Kama atabadirisha katiba niamin mm Mobeyo hawez kukubali huu ujinga Tena ,alitumia busara lakin busara mwisho 2025 anyebisha abishe Ila 2025 Raisi Ni Kati ya majaliwa au mpango.
Najua ukweli unauma Ila iko hivyo bandugu na hakuna wa kukwepesha hili.
Uta mpa wewe na familia yako, sisi tulio hitumu vyuoni na wamachinga hatwezi kumpaYani hata watz wote wamnyime kura yeye ndo rais mnajifurahisha tu hapa
Mkuu kivipi hana sifa za kugombea bara?Niamin mm huyu mama mwisho wake Ni 2025 yaan saiz wanamchora tu Ila ukifika muda muafaka watapita nae Kama upepo maana katiba ipo Waz kabisa Hana sifa za kugombea bara.
Na hata Kama atabadirisha katiba niamin mm Mobeyo hawez kukubali huu ujinga Tena ,alitumia busara lakin busara mwisho 2025 anyebisha abishe Ila 2025 Raisi Ni Kati ya majaliwa au mpango.
Najua ukweli unauma Ila iko hivyo bandugu na hakuna wa kukwepesha hili.
Wasomi wajinga wana tija gani kwa Taifa ??? Hamna movement yoyote mnaweza fanya kuziadabisha mamlaka zaidi ya kulia liaUta mpa wewe na familia yako, sisi tulio hitumu vyuoni na wamachinga hatwezi kumpa
Hatutaki mtu mwenye misimamo anachoamini kiwe ndivyo hivyo tunataka mtu anayefuata katiba na taratibu za uongoziMbona jamaa ana misimamo sana
Sijaona mbadala wa Samia huko ccm hadi sasaUmuhimu wa kitu kizuri huonekana baada ya kutoweka.
Jiwe walilolikataa waashi lilikuwa jiwe kuu la pembeni.
Hakuna nabii anaekubalika kwao.
Mimi ni mmoja wa mtu aliemkosoa sana Magufuli, baada ya kufa nimegundua ukweli wa misemo hiyo hapo juu.
Rais Samia alianza kwa kuwapa tumaini Watanzania waliokuwa wamechoka na utawala wa Magufuli. Wengi tulijihisi hatuna uhuru wa kuongea na wa kisiasa. Tuliamini zaidi watu wa kwenye mtandao ambao wamegeuka na kuwa wanafiki.
Katika fuatilia yangu nimegundua Majaliwa ana uthubutu sana kuliko hata mama mwenyewe. Huyu mzee anajaribu kufuata kwa karibu nyayo za JPM lakini kwa sababu yeye siyo rais.
Tukiwa watz kwanini 2025 tusimpendekeze ili CCM impe kijiti?
Eeh kwa kazi ya kulidanganya taifa yuko vizuri sana! Na uzuri huwa hakanushi hata akistukiwa 😅Aende Zanzibar akapumzike ila majaliwa uhakika yupo serious na kazi
Hana lolote huyu tena ashukuru mama kampa mwanya wa kuonekana vinginevyo ni mzigo mzito Sana .Umuhimu wa kitu kizuri huonekana baada ya kutoweka.
Jiwe walilolikataa waashi lilikuwa jiwe kuu la pembeni.
Hakuna nabii anaekubalika kwao.
Mimi ni mmoja wa mtu aliemkosoa sana Magufuli, baada ya kufa nimegundua ukweli wa misemo hiyo hapo juu.
Rais Samia alianza kwa kuwapa tumaini Watanzania waliokuwa wamechoka na utawala wa Magufuli. Wengi tulijihisi hatuna uhuru wa kuongea na wa kisiasa. Tuliamini zaidi watu wa kwenye mtandao ambao wamegeuka na kuwa wanafiki.
Katika fuatilia yangu nimegundua Majaliwa ana uthubutu sana kuliko hata mama mwenyewe. Huyu mzee anajaribu kufuata kwa karibu nyayo za JPM lakini kwa sababu yeye siyo rais.
Tukiwa watz kwanini 2025 tusimpendekeze ili CCM impe kijiti?
Sijawahi chagua ccm toka vyama vingi vianze ila kwa Mama nitamchagua yeye na sio ccm ,mama namkubali Sana sio kwa maneno bali vitendo👇Yani hata watz wote wamnyime kura yeye ndo rais mnajifurahisha tu hapa