Kwakuwa Rais Magufuli kaingia vitani dhidi ya mabepari,ni jukumu letu kupambana na vibaraka wao

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Naam, kama somo lilivyo hapo juu vita vya kiuchumi dhiti ya mabepari wa kimataifa si rahisi,haijawahi kuwa rahisi. Tulilalamika sana na sasa Raisi Dr.Magufuli kajitoa kupambana nao si wadogo hawa ni wazito wengi ndio viongozi katika mataifa yao na taasisi za kimataifa zikiwemo taasisi zisizo za kiserikali za kimataifa zenye ushawishi duniani.

Mwl.Nyerere alipata kusema kipindi tunaingia kwenye azimio la Arusha kuwa ''tunapotaka kujikwamua kiuchumi dhidi ya mabepari na wakoloni, baadhi ya waafrika watatugeuka,watakuwa vibaraka wao dhidi yetu''.

Mkakati wa mabebari haya sasa ni dhahiri kupitia baadhi ya vyama vya siasa na taasisi zinazojiita za ''haki za binadamu'' na baadhi ya watu wenye ushawishi ambao ni watanzania na waafrika. kuna baadhi ya nchi jirani kama Kenya baadhi ya taasisi zimenunua vipindi katika media za huko ili kujenga taswira hasi dhidi ya maamuzi ya Tanzania kudai kodi na tozo stahiki. Hapa nchini kuna baadhi ya wanasiasa wamekuwa mara kadhaa wakiwawakilisha ''mabwana zao'' hao kwa njia mbalimbali.

Mkakati mkuu wa ''wawekezaji'' hao ni kutuondoa kwenye lengo, tusikubali kamwe kama taifa. Tusiyumbe, wanajitahidi kuleta ''vipaumbele'' vyao ambavyo havina tija kwa sasa tukatae hadi watulipe.

Naam, vibaraka hao wamo humu kwenye mitandao,hata humu JF. Ukiwasikiliza waweza kufikiri wana hoja,hapana ni nyoka tuwaangalie kwa makini wasije kutushawishi tukala lile tunda la katikati tukaangamia,tuwaue kwa kuwaponda vichwa vyao kwani ndio stahiki yao.

Namaliza kwa kukumbusha tu, wakati raisi anapambana na mabepari hayo sisi wananchi tupambane na vibaraka wao,tuwapuuze,'tuwachape' kwa hoja tuwadharau na tuwaondoe kwenye 'platforms' za mijadala kwa kura zetu mwaka 2020, hawafai.
 
Kwa bahati mbaya sisi wananchi tunaujua ukweli. Hili andishi lako inabidi uwapelekee watoto maana ndio hawajui kutofautisha mambo. Sio wewe tu, wenzako wengi akina msemajiukweli, nyani ngabu, nk mpaka Fred Mpendazoe kajaribu kuja kupima upepo lakini kakuta tunajitambua na tuna uwezo kuchambua chuya na mchele.

Hili andishi lako ni kujaribu kututoa nje ya ukweli alioongea Lissu, tunajua ni kwa jinsi gani ukweli ule umemuumiza mkulu na zaidi nyie wapambe ambao mnamtegemea watoto wenu waende chooni kutoa makinikia. Napenda kumuombea msamaha Lisu kwani ameongea ukweli uliowaumiza na kuacha madhara makubwa kuliko hata yeye alivyotegemea. Ila hiyo ndio tabia ya ukweli, na ukweli hata mkitumia jeshi, jazba, chuki, propaganda nk utaendelea kuwaumiza tu.
 
Kwa bahati mbaya sisi wananchi tunaujua ukweli. Hili andishi lako inabidi uwapelekee watoto maana ndio hawajui kutofautisha mambo. Sio wewe tu, wenzako wengi akina msemajiukweli, nyani ngabu, nk mpaka Fred Mpendazoe kajaribu kuja kupima upepo lakini kakuta tunajitambua na tuna uwezo kuchambua chuya na mchele. Hili andishi lako ni kujaribu kututoa nje ya ukweli alioongea Lissu, tunajua ni kwa jinsi gani ukweli ule umemuumiza mkulu na zaidi nyie wapambe ambao mnamtegemea watoto wenu waende chooni kutoa makinikia. Napenda kumuombea msamaha Lisu kwani ameongea ukweli uliowaumiza na kuacha madhara makubwa kuliko hata yeye alivyotegemea. Ila hiyo ndio tabia ya ukweli, na ukweli hata mkitumia jeshi, jazba, chuki, propaganda nk utaendelea kuwaumiza tu.
Naam,mpo pia 'wananchi' vibaraka.
 
Tundu ni kibaraka wala asikusumbue,tutamshushughulikia.............kama ashughuliwavyo nyoka.
Huna Hata Chembe Ya Unafiki Wewe?
Nyoka Anashughulikiwaje?
Na Yule Nyoka Wa Makengeza Mmeshamshughulikia?
Anzeni Na Nyoka Wa Kwenu Kwanza
Pia Acha Kuona Boriti Jichoni Kwa Mwenzio Wakati Jichoni Kwako Ipo.
OLE WAKO EWE MNAFIKI.

Viva Lissu The Great.
 
Na tupambane nao haswa kwa nguvu zetu zote na akili zetu zote bila kuchoka na tutawashinda kwa sababu Mungu yu pamoja nasi.
 
Huna Hata Chembe Ya Unafiki Wewe?
Nyoka Anashughulikiwaje?
Na Yule Nyoka Wa Makengeza Mmeshamshughulikia?
Anzeni Na Nyoka Wa Kwenu Kwanza
Pia Acha Kuona Boriti Jichoni Kwa Mwenzio Wakati Jichoni Kwako Ipo.
OLE WAKO EWE MNAFIKI.

Viva Lissu The Great.
Nyoka anapugwa kichwa, tuungane kumpiga....
 
bepari ndio nani ?je umeshahoji kuhusu yale mahekalu pale Lushoto au Bwagamoyo,wenzako wanahoji la pale N.... na hakuna aliyepelekwa rumande au kuitwa kuhojiwa hiyo ndio democracy in the making.
 
Mwaka 1967 mliwaaminisha watanzania kuwa mnapambana na Mapepari ............ 50 years later bado mnataka kuja na wimbo ule ule na tone ile ile!! Walau mjitahidi kubadili tone basi!!
 
Back
Top Bottom