Kama kuna maajabu basi yapo Tanzania.
Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo wastaafu bado wanakatwa tozo (jina lingine la kodi) Wastaafu hawa walipokuwa kwenye ajira walishakatwa kodi kupitia mfumo wa PAYE. Hiki wanachokipata sasa kupitia pensheni hakipaswi kuwa na makato ya aina yoyote kwa sababu tayari yalishalipiwa kodi.
Hizi tozo zitawachonganisha wastaafu na serikali yao
Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo wastaafu bado wanakatwa tozo (jina lingine la kodi) Wastaafu hawa walipokuwa kwenye ajira walishakatwa kodi kupitia mfumo wa PAYE. Hiki wanachokipata sasa kupitia pensheni hakipaswi kuwa na makato ya aina yoyote kwa sababu tayari yalishalipiwa kodi.
Hizi tozo zitawachonganisha wastaafu na serikali yao