Kwako Waziri wa Afya: Matatizo matatu ya Hospitali ya Muhimbili na Mloganzila ni haya

Pole kwa unadishi wa ainahii. Naomba uwe unaweka aya fupi fupi ili tusichoke kusoma maandiko yako.
Ninachokiona, unatoa pongezi kwa woga. Unaamini tukisifia huduma zitakuwa nzuri. Unafikia hatua ya kushauri dawa feki nitoe ripoti, kwani thrd hii inafanya nini hapa? Hii ni ripoti kwamba Muhimbili kuna dawa feki! UNataka turudi hospitali na boksi la dawa?

Wa TZ wote wana kazi zao ndo maana mkulima aliambiwa kama una njaa, ufe tu! Kwa nini unataka lugha ya kulemba eti sasa ni nafuu? Shule ambazo wamefeli wameambiwa ninyi ni hovyo! Unatakla tusema sasa kuna nafuu ya kufeli? Nani asiyefahamu kwamba madaktari wanafika Muhimbili kutafuta wagonjwa wa kupeleka private? Hufahamu kweli?
Eti niweke aya fupi fupi,hizo zako zina ufupi gani?! Na kwanini unapenda kurahisishiwa rahisishiwa?pambana uelewe,kama huelewi pumzika sio kulilia short cuts kama ulivyoamua kufanya short cut ya kuja kulalamika humu umepewa dawa fake badala ya kufata utaratibu wa kutoa taarifa hiyo nyeti sehemu proper kwa manufaa ya Taifa.
My take;
Tatizo la dawa fake muhimbili sidhani kama lipo kwa kiwango unachojaribu kuiaminisha jamii,na pia tatizo hili ni la kidunia usidhani lipo Tanzania tu,so cha msingi ni kufata utaratibu wa kureport ili kuwe na records taifa liweze kufanyia kazi,badala ya kuongea kishabiki na kuexaggerate mambo.
 
Eti niweke aya fupi fupi,hizo zako zina ufupi gani?! Na kwanini unapenda kurahisishiwa rahisishiwa?pambana uelewe,kama huelewi pumzika sio kulilia short cuts kama ulivyoamua kufanya short cut ya kuja kulalamika humu umepewa dawa fake badala ya kufata utaratibu wa kutoa taarifa hiyo nyeti sehemu proper kwa manufaa ya Taifa.
My take;
Tatizo la dawa fake muhimbili sidhani kama lipo kwa kiwango unachojaribu kuiaminisha jamii,na pia tatizo hili ni la kidunia usidhani lipo Tanzania tu,so cha msingi ni kufata utaratibu wa kureport ili kuwe na records taifa liweze kufanyia kazi,badala ya kuongea kishabiki na kuexaggerate mambo.
Kwenye hiyo My take yako umejichanganya kidogo. Unasema "Tatizo la dawa fake muhimbili sidhani kama lipo kwa kiwango unachojaribu kuiaminisha jamii". Hapa anakataa, Lakini unamaliza kwa kusema "na pia tatizo hili ni la kidunia usidhani lipo Tanzania tu"

Naona unakataa Muhimbili kwa vile pengine ni mwajiriwa wa pale au una masilahi lakini unasema ni tatizo la dunia. Kwa hiyo Muhimbili siyo sehemu ya dunia? Au Muhimbili yenyewe ni bora kuliko viwango vya dunia?
 
Hili taifa sijui tunapelekwa wapi, badala ya watawala kuguswa, kuomba radhi na kujirekebisha kwa wananchi wao.

Wao wanakuja na maandiko ya kujitetea ambayo ukiyachunguza kwa umakini pia utakuta yamejaa dharau na matusi kwa wananchi. Inahuzunisha sana na kukatisha tamaa.

Soon tutamsikia ummi mwalimu akija na kelele zake kama muimba taarabu naye akileta siasa kwenye uhai wa watu simply ma PHD holders hawawezi kuongea na mtu ambaye hajaenda shule, very shameful. Mungu tu atusaidie kuona wapi tunapojikwaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli hiyo ni shida kubwa sana kwa hawa profesionals wetu. Daktari hafunguki kwa mgonjwa kumsaidia eti kwa sababu mgonjwa hajui medical issues. Kuna baadhi ni wazuri wakiona wana maelezo mgonjwa hatayaelewa wanamtaka aje na mtu mwingine, lakini walio wengi hawajali wanakurundikia madawa tu nenda kanywe. Ukienda kwenye internet ukasearch dawa uliyopewa utakuta ina masharti kibao na athari na tahadhari za matumizi ambazo huambiwi unapopewa na wato dawa au daktari aliyekuandikia. Nina mfano mmoja ambapo mgonjwa anashida ya figo na daktari ndiye aliyemwambia hivyo mgonjwa baada ya vipimo kutoka maabara. Mgonjwa akaandikiwa dawa akaondoka na kuendelea kuzutumia lakini hakuambiwa kuwa kutokana na shida yake anapaswa kupunguza ulaji wa baadhi ya vyakula na matunda kwani yanzidi kumuongezea shida kwenye mwili. Mgonjwa kwa sababu ya ugonjwa akaendelea kula matunda kwa wingi na uji wa ulezi, nyama ambavyo vyote hivyo ni hatarishi kwa mgonjwa wa figo. Madaktari wawe msaada kwa wagonjwa na si kupitisha siku tu kazini.
Mimi naona ni bora quality kuliko quantity - nikiwa maana ni bora daktari ahudumie wagonjwa wachache lakini kwa ubora kuliko wengi pasi na ubora.
 
Tusijifanye madaktari wanapaswa kuwa Watakatifu, wakati sisi pia maeneo yetu ya kazi hatufanyi vizuri. Kila siku madaktari madaktari, mbona sisi hatusemi madhaifu ya professions zetu? Au sisi malaika?
Na wao waseme mapungufu ya wengine kwani 'nyani haoni kundule'. Hatuwezi kuacha kuyasema mapungufueti kwa sababu nasi tuna mapungufu, kwani upungufu wangu siuoni mimi bali mwingine. Nawewe sema mapungufu ya Wahandisi, wahasibu, mahr , waalimu, mapolisi n.k. ili Taifa letu lisonge mbele. Tuache politiki wakati wa kujadili mustakabali wa nchi yetu ndugu zangu. Mjadala huu ni muhimu sana na nampongeza aliyeuanzisha na ninwaasa wachangiaji tuitendee haki hoja hii na tuidadavue kwa uwazi kwani kila mmoja hapa ni mwathirika wa adha za huduma za afya. Hatupaswi pia kuelekeza shutuma kwa madaktari tu bali kwa wadau wote wakiwemo watunga sera na watawala.
 
Kwenye hiyo My take yako umejichanganya kidogo. Unasema "Tatizo la dawa fake muhimbili sidhani kama lipo kwa kiwango unachojaribu kuiaminisha jamii". Hapa anakataa, Lakini unamaliza kwa kusema "na pia tatizo hili ni la kidunia usidhani lipo Tanzania tu"

Naona unakataa Muhimbili kwa vile pengine ni mwajiriwa wa pale au una masilahi lakini unasema ni tatizo la dunia. Kwa hiyo Muhimbili siyo sehemu ya dunia? Au Muhimbili yenyewe ni bora kuliko viwango vya dunia?
Mimi sio mwajiriwa wa muhimbili,kuhusu interest ni kweli nna interest kama ifuatavyo:
Mtu anapojaribu kuaminisha jamii kwamba muhimbili imejaa dawa fake anakuwa anapotosha na kuathiri mwenendo wa huduma katika hospitali hii kubwa inayotegemewa na taifa,hivi tunavyoandika posts zetu kuna mamia ya watu wanaandikiwa madawa muhimbili na wanatakiwa kuyatumia ili kutatua matatizo yao ya afya,suppose mtu anapita humu jukwaani anakuta MTU anajiropokea tu muhimbili imejaa madawa fake unadhani mtu atakuwa na imani na dawa aliyoandikiwa na kupewa hapo?na matokeo yake hatatumia dawa kwa kuamini kuwa ni fake na hiiitapelekea kufubazwa kwa juhudi za wataalamu wetu kupambana kuimarisha afya zetu, kwa kuwa watatoa dawa lakini mtaani watu watazitupa kwa kuamini kuwa ni fake.....siku utakapougua kwa kiwango cha kutokujitambua ukapelekwa muhimbili ukahudumiwa na kurudi kujitambua na hatimaye kurudi kwenye shughuli zako utarudi hapa kutueleza huo mnaoita "ufake" wa muhimbili,tuache kubeza watu wanaojitoa kwa ajili yetu.
 
Eti niweke aya fupi fupi,hizo zako zina ufupi gani?! Na kwanini unapenda kurahisishiwa rahisishiwa?pambana uelewe,kama huelewi pumzika sio kulilia short cuts kama ulivyoamua kufanya short cut ya kuja kulalamika humu umepewa dawa fake badala ya kufata utaratibu wa kutoa taarifa hiyo nyeti sehemu proper kwa manufaa ya Taifa.
My take;
Tatizo la dawa fake muhimbili sidhani kama lipo kwa kiwango unachojaribu kuiaminisha jamii,na pia tatizo hili ni la kidunia usidhani lipo Tanzania tu,so cha msingi ni kufata utaratibu wa kureport ili kuwe na records taifa liweze kufanyia kazi,badala ya kuongea kishabiki na kuexaggerate mambo.
Sijui una uelewa wa kiwango gani, maana naweza jikuta ktk mjadala na dogo wa sekondari ambaye hajafundishwa kujitegemea ktk kujenga hoja.

Netiquette inakutaka utumie aya fupi ktk mawasiliano ya kimtandao!! Kama ulikuwa hujui nakupa pole na hongera kwa kuelimika kupitia JF. Hiyo ndo faida ya JF. Unapata nafasi ya kujadili na walio juu yako kwa uelewa.

Dawa feki ni tatizo la kidunia, kwa hiyo iweje? Tuache tu! Kama hata muhimbili inafahamu hivyo, itueleze inavyopambana nalo badala ya hizi bhla! bhla zako za kufuata utaratibu. Utaratibu unasemaje hapo Muhimbili. Nimesoma mkataba wa huduma kwa wateja wa Muhimbili, unazungumzia bhla! bhla kama zako hizi!
 
Sijui una uelewa wa kiwango gani, maana naweza jikuta ktk mjadala na dogo wa sekondari ambaye hajafundishwa kujitegemea ktk kujenga hoja.

Netiquette inakutaka utumie aya fupi ktk mawasiliano ya kimtandao!! Kama ulikuwa hujui nakupa pole na hongera kwa kuelimika kupitia JF. Hiyo ndo faida ya JF. Unapata nafasi ya kujadili na walio juu yako kwa uelewa.

Dawa feki ni tatizo la kidunia, kwa hiyo iweje? Tuache tu! Kama hata muhimbili inafahamu hivyo, itueleze inavyopambana nalo badala ya hizi bhla! bhla zako za kufuata utaratibu. Utaratibu unasemaje hapo Muhimbili. Nimesoma mkataba wa huduma kwa wateja wa Muhimbili, unazungumzia bhla! bhla kama zako hizi!
Endelea kuita muhimbili blah blah...sio kama nakuombea mabaya lakini kuna siku muhimbili itakutendea jambo,kama si wewe basi itakuwa ndugu yako wa karibu sana kwa maana ukweli una tabia ya kulipiza kisasi...kama si Leo basi kesho na utajutia maneno yako.
 
Mimi sio mwajiriwa wa muhimbili,kuhusu interest ni kweli nna interest kama ifuatavyo:
Mtu anapojaribu kuaminisha jamii kwamba muhimbili imejaa dawa fake anakuwa anapotosha na kuathiri mwenendo wa huduma katika hospitali hii kubwa inayotegemewa na taifa,hivi tunavyoandika posts zetu kuna mamia ya watu wanaandikiwa madawa muhimbili na wanatakiwa kuyatumia ili kutatua matatizo yao ya afya,suppose mtu anapita humu jukwaani anakuta MTU anajiropokea tu muhimbili imejaa madawa fake unadhani mtu atakuwa na imani na dawa aliyoandikiwa na kupewa hapo?na matokeo yake hatatumia dawa kwa kuamini kuwa ni fake na hiiitapelekea kufubazwa kwa juhudi za wataalamu wetu kupambana kuimarisha afya zetu, kwa kuwa watatoa dawa lakini mtaani watu watazitupa kwa kuamini kuwa ni fake.....siku utakapougua kwa kiwango cha kutokujitambua ukapelekwa muhimbili ukahudumiwa na kurudi kujitambua na hatimaye kurudi kwenye shughuli zako utarudi hapa kutueleza huo mnaoita "ufake" wa muhimbili,tuache kubeza watu wanaojitoa kwa ajili yetu.
Mkuu majibu uliyoyatoa yako vizuri binafsi huyu zygot ni adui namba moja katika taifa hili tunaposema swala la Afya hata ajui Huduma za Afya hapa tz tumepiga hatua lengo lake ni kuchochea sasa MTU kama huyu anaetishia usalama wa Afya za wananchi unamuachaje kwa mfano hata kama nimimi na Nina mamlaka achana nalo hili
 
Pole, boss! Elimu siyo kujua kusoma na kuandika tu, ni mchanganyiko wa mengi. Huu uandikaji wako ni tatizo, na yawezekana hutafika mbali kimaisha maana, dunia hii siyo ya ubora duni tena!
We jamaa jinga sana we una maisha gani mpaka unalia na muhimbili kama unaona uduma itolewayo hapo haikufai panda pipa nenda India sio leta majungu ya kishamba
 
Hii ni moja ya dawa feki niliyopewa muhimbili. Niliponunua dukani aina nyingine yenye contents hizo hizo mgonjwa kapona! Hii inasambazwa na kampuni ya kitanzania imetengenezwa china.

IMG_0307.JPG
 
Back
Top Bottom